[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu kwenye hiyo daf yako hata wakikuongeza gear zingine 4 jumla uwe na gear 20 bado mwenye gari ndogo inayoweza kufika 180 bila shida atakupoteza . [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..
5L itawahi mkuu,lori lenye mzigo kufika 140 labda iwe 124 kipisi.Sawa mkuu! Hata kama 5l ni heavy kufika 140, kwa uzoefu wako 5l akipangwa na hizo za mbao kutokea iringa to dar nani ataingia wa kwanza?
Assume hakuna limitations!
Ina namba A!!?Wakuu Leo huu mzigo umepita mtani kwetuView attachment 2412302
Ana ishu, ishu ingekua Toleo la 2021 au 22 alafu ina namba A
Mkuu kipande cha Njombe -Songea huwezi kukimbia na lori hata uwe na roho ngumu kiasi gani ukifanya hivyo tutakuzika mapema tu.Ha! Hujawai kukutana na gari kubwa ina tembea! Bahati nimeyaendesha! Chuma zinatembea inafika mahala mwili wote unakua ganzi na baridi huku ukisikilizia nini kinatokea dashboard ni makelele! Hiki kipande cha dar_moro tunafutaga visaani hiyo milima hapo kati chuma hua zinapanda zenyewe bila kukanyaga accelerato na una 30tonnes mgongoni! Nenda songea kipande cha kutoka songea kwenda mbinga na kutoka songea kuitafuta njombe to makambako na hiyo gari ndogo ukafanye ligi na trucks! Utakapo ipita hiyo gari ni kwenye kupanda na si tambarare au anashuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kwa sasa sababu ya ving'amuzi ila sio kweli hiliHamna basi inafuata zile coaster haswa ikiwa na driver experienced
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hupajui hukimbii! Japo hapozoeleki ila kuna vipande muhimu sana usipo shuka vizuri utapanda kwa shida sanaMkuu kipande cha Njombe -Songea huwezi kukimbia na lori hata uwe na roho ngumu kiasi gani ukifanya hivyo tutakuzika mapema tu.
Hata watoe ving'amuziLabda kwa sasa sababu ya ving'amuzi ila sio kweli hili
Mkuu narudia tena ile njia malori hayakimbii katembea sana speed 60-70 haizidi hapo.Kama hupajui hukimbii! Japo hapozoeleki ila kuna vipande muhimu sana usipo shuka vizuri utapanda kwa shida sana
Hapana mzee,waliosafiri na mabasi kuanzia 2015 kurudi miaka ya nyuma watakuambia hili...Tena usifanyr utani mkuu,sifahamu mambo kuhusu magari ila hili hapana labda bus iwe sung long.Hata watoe ving'amuzi
Grande mark 2 yangu mafundi wameniharibia engineMkuu kipindi flani nilitafutaga Sana gari ya mkononi kwa mtu either cresta/ grande mark 2 yenye 1jz/2jz-gte lkn nilikosaga.
Ni gari Chache Sana zilibahatika kupata hio engine. Niliwahi kuendesha Verossa VR25 yenye 1jz-gte Nilikuwa namwaga Moto tu njia nzima.
🤣🤣🤣🤣vipi nyuma haukuacha bajaji zikiteketea utafikiri ziko kuzimuMkuu kipindi flani nilitafutaga Sana gari ya mkononi kwa mtu either cresta/ grande mark 2 yenye 1jz/2jz-gte lkn nilikosaga.
Ni gari Chache Sana zilibahatika kupata hio engine. Niliwahi kuendesha Verossa VR25 yenye 1jz-gte Nilikuwa namwaga Moto tu njia nzima.
1jz ilikuwa na issue ya kuvujisha oil kwa chini wakafungua wakarekebisha wakazalisha tatizo la kuvujisha kwa pembeni ambayo haidondoki inaishia kutengeneza utando na vumbi pembeni so haidondoki chini Ili ijulikane, gari ilimwagwa oil ikatembea km 600 tu ikaisha ikaanza kuunguza mapiston. From there kila kitu kikawa mtihani kuhusu kubadilisha engine nyingine nikawa napata feki Hadi Leo lipo garageIna engine gani? Na wameiharibu nini?