Je, ni "Stamina" au "Size" ya uume ndio humfanya mwanamke afurahie zaidi ngono?


Mkuu wewe ni Expert and Experienced Soldier. Hatari sana.
 

What is the best position to reach G Spot and O Spot ?
 
Hongera ila mwisho wa siku kuchapiwa kupo pale pale, tena sometimes unaweza umejaaliwa uume plus, mkongo anampata mpuuzi ana kitambi plus kibamia unapinduliwa.

Kuchapiwa ni siri ya ndani, wengi wameshavhapiwa sana ...... ni kawaida manaa haya mambo mtu hufanya katika usiri mkubwa.

Angalau uwe Na Performance nzuri ndani ili mtu akichapwa. Ujiulize umekwama wapi
 
sijui niseme wanaume wengi tukilielewa hili tutaacha kuishi na expectation, wanawake wengine unakila kitu ila akavutiwa na ukarimu, mwenekano,wadhifa na n.k wa mtu akatoa nje. Coz ugali kila cku unachosha na tusisahau mungu kampa kila mtu safari yake so likukuta imekula kwako mjuba, jikaze pambana nalo.
 

Ndiyo hivyo. Sometimes kuishi na mwanamke inahitaji maturity. anazunguka hukoooo, ikifika usiku anakumbuka kwake ni wapi , inatosha.

Kama kweli wewe Una descipline, basi it is okay unaweza kuwa mchunguzi dhidi ya mwenzako. But always shurti kukumbuka kuwa mwananamke ni mtu huru, Na Sio vizuri kuanza kumuwekea mitego na restrictions juu ya mali yake .

Kama mali yake huitumii kama anavyopenda, anao uhuru kumpa mtu atakaeitumia vyema na kuleta amani ya mwili wake.

Mwanaume siku zote anapashwa kufahamu hammiliki mwanamke, mwanamke anajimiliki Mwenyewe, Hivyo mwanaume aache expectation dhidi ya mwanamke eti kisa mke wangu au mwenza wangu.

Kuwa mke haina maana asiwe na uhuru wa kutumia hazina yake , kuwa mke ni kuishi kwa heshima na nidham na kulea. Ila anapohitaji Sexual Satisfaction, ni uhuru wake kuamua na kuona wapi ataipata. Kama ni kwako basi sawa , kama ni sehemu nyingine basi sawa, muhimu awe makini na afya yake.
 
Vyote viwili havina mchango wowote.Kuna vitu vitatu vinavyosaidia kumfurahisha mwanamke kwenye unyumba
1.Hela
2.Fedha
3.ni no 1 na 2 hapo juu
 
I cant help myself ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… yani hio dharau inatoka katika sakafu ya moyo wako sio!
 
Wanawake waacheni kama walivyo jamani hawana kitu wanaweza kusema sasa naridhika ni wao wenyewe waamue tu "now enough" ila wakiamua unaweza kuwa na vyote viwili lkn huna pesa hapo atachepuka, hivi mtu kama Pierre liquid awe na vyote ivyo viwili na pesa juu ndo asichapiwe kama ana mtoto mzuri[emoji15]??

I'm sure kijana mwezetu diamond platnumz ana vyote ivyo+pesa chafu lkn there's story wale mapacha wa kule Nigeria mmoja wapo alimkula Zari kipindi penzi lao bado lipo moto na kijana wetu[emoji2958]

Unamridhisha vizuri na pesa unampa lkn ktk pita pita zake kkoo anakutana na ex wake ambaye nae alikuwa anamfanya vizuri na walikula good time lenye memory za kutosha enzi zao utake usitake watapeana contact na atampangia ratiba yake ya show hata mara moja kwa mwezi[emoji3525]
 
Sure , hii multiple cums in one round lazima iwe ni Experience kubwa sana for sure na stamina ya maana na utulivu usiokuwa na papara.

Hii multiple cums makes woman stupid and crazy ... atavuka hata bahari kufuata bakora.
kwani wao wanasemaje
 
Hatusemagi tu lakini mngeishuhudia dharau yake mngejiua, uanaume uko hapo sasa Kama huwezi kuuonyesha unategemea nini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚madharau km yote, kopo tupu lisilofaa kwa matumizi hata kuwekea chumvi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Heheheheh hapo ndipo pale ambapo hata tajiri anadhalilika ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 

Kuna wanawake hawajui kusema HAPANA.

As long as Una convince, basi utapiga. Lakini pia kuna wanawake wanaamini , ukiwa kijana fuโ€c!k as much as you can .... ni vizuri pia kujua different tastes za men , kama ilivyo muhimu kujua different tastes za woman.

Kitu muhimu mwanaume asiwe na expectation sana kuwa nimemuoa sasa hii ni mali yangu , it is stupid Kuamini kuwa mwanamke ni mali yako. Wewe make sure watoto anaokuzalia ni wako.

Suala kampa nani hilo ni lake . Kwanza ni asilimia chache ya sana au hakuna kabjsa wanawake waliokaa kwenye ndoa kuanzia miaka 2 wakapata Sexual Satisfaction ndani ya ndoa. Ni ngumu sana.

Sifa kubwa ya mwanaume akishamuweka mwanamke ndani , hata hamu nae tena inapungua, wakati mwingine hamu inaisha kahisaaa yaani unaishi na mke wako kama ndugu tena. Sasa why asiwe na back up wakati wewe huwezi kumfanya kwa speed Ile anayoitaka.

Ishu kubwa hapa usiwe na expectation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ