Je, ni "Stamina" au "Size" ya uume ndio humfanya mwanamke afurahie zaidi ngono?

Je, ni "Stamina" au "Size" ya uume ndio humfanya mwanamke afurahie zaidi ngono?

Vyote viwili havina mchango wowote.Kuna vitu vitatu vinavyosaidia kumfurahisha mwanamke kwenye unyumba
1.Hela
2.Fedha
3.ni no 1 na 2 hapo juu

Sawa wewe kazi yako Itakuwa ni kutafuta fedha, halafu yeye kazi yake itakuwa ni kupeleka hizo fedha kwa mwanamme mwîngine
 
Screenshot_20210807-051949.jpg
 
Tafuteni hela bhana....mengine ni nyongeza tu
 
Guys , ni muhimu sana tukajua mustakabali wa kizazi chetu. Tumeona Vijana wengi sana wakiingia kwenye wimbi la kutumia madawa ya kuongeza size ya uume ikiaminika kwamba ni kitu ambacho mwanamke anapenda na ni ishara ya URIJALI na USHUJA.

Katika generation ya sasa, the average penis kwa urefu ni between 5.1 and 5.5 inches (12.95-13.97 cm), nje ya hapo wewe ni EXCEPTION.

Kadhalika ifahamike kwamba size ya Uume au Uke huwa ni genetic encryptions na inheritance kama ilivyo weusi na weupe, urefu na ufupi. Kuna portion ndogo sana kubadili huo ukweli.

Hakuna kitu ambacho kitaweza like seriously kuongeza uume wako bila ya kuwa na madhara in the future, moja ya madhara yake ni kupoteza stability na kushindwa kusimama kabjsa.

Wakati mwingine tukubali kwamba shida ipo kwa wanawake wetu ambapo ELASTICITY ya uke inaharibika hivyo kutengeneza hole ambayo it needs something bigger than the hole itself to create friction and feel pleasure.

Takwimu zinaonesha kwamba asilimia 80% ya married couples wana multiple relationships nje ya ndoa zao, huku wanaume ikiwa ni sehemu ya tamaa na wanawake ikiwa ni sehemu ya kutafuta sexual satisfaction.

When it comes to sexual satisfaction, mwanamke ndiyo inamuathiri sana na kama haipati ndani ..... no way ni lazima akaitafute nje.

Aidha, Wakati mwingine kwa mwanamke kuchepuka sio umalaya bali ameshindwa kupata sexual satisfaction ndani ya nyumba ....siamini kama ni dhambi kwa mwanamke kutoka nje ya ndoa ikiwa kwa namna yoyote ameshindwa kupata Climx ndani ya nyumba. Wanaume wengi ni selfish na wana ignore hisia za mwenza aliye nyumbani. Ukiona mke wako au mwenza wako humfikishi to climax, and she never talks about it ..... jua unasaidiwa no way , only anafanya kwa akili ili mtunze familia .

There is nothing makes woman CRAZY than sexual satisfaction,let that sink in [emoji1630]

Naleta hii mada wadau kujadili, na wadada mtuambie, What matters to you;

Stamina ya mwanaume during foreplay ndiyo inayokuletea satisfaction au Ni saizi ya uume wake mkubwa more than 6 Inches ndiyo inakuletea satisfaction?

Kama ni Saizi ya Uume, What if uume ni mkubwa lakini hauna STAMINA, yaan chini ya dakika 5 mtu ameshatapika huku wewe umeachwa na Unfinished Pleasure , Je size itaendelea kuwa ni kigezo kwako ?

Tufunguke kusaidia jamii kuacha kukimbizana na vumbi la Congo na mitishamba inayowapelekea kupata shida za FIGO.

Stamina or Size that leads to Sexual Satisfaction( Divine Transcendence Beyond Time and Infinity Pleasure)
Pale unapogundua wewe ni exception[emoji41]
 
Mleta mada umeelezea vizuri kiuhalisia kwenye jamii!

Lakini sijui kifanyike nini maana inashangaza watu kuoana halafu bado kutoridhishana na kutoka nje ya ndoa?

Sasa inamaana gani kuoa?

Though ulichoandika ndicho kinachofanyika kwa sehemu fulani lakini inashangaza sana.
 
Guys , ni muhimu sana tukajua mustakabali wa kizazi chetu. Tumeona Vijana wengi sana wakiingia kwenye wimbi la kutumia madawa ya kuongeza size ya uume ikiaminika kwamba ni kitu ambacho mwanamke anapenda na ni ishara ya URIJALI na USHUJA.

Katika generation ya sasa, the average penis kwa urefu ni between 5.1 and 5.5 inches (12.95-13.97 cm), nje ya hapo wewe ni EXCEPTION.

Kadhalika ifahamike kwamba size ya Uume au Uke huwa ni genetic encryptions na inheritance kama ilivyo weusi na weupe, urefu na ufupi. Kuna portion ndogo sana kubadili huo ukweli.

Hakuna kitu ambacho kitaweza like seriously kuongeza uume wako bila ya kuwa na madhara in the future, moja ya madhara yake ni kupoteza stability na kushindwa kusimama kabjsa.

Wakati mwingine tukubali kwamba shida ipo kwa wanawake wetu ambapo ELASTICITY ya uke inaharibika hivyo kutengeneza hole ambayo it needs something bigger than the hole itself to create friction and feel pleasure.

Takwimu zinaonesha kwamba asilimia 80% ya married couples wana multiple relationships nje ya ndoa zao, huku wanaume ikiwa ni sehemu ya tamaa na wanawake ikiwa ni sehemu ya kutafuta sexual satisfaction.

When it comes to sexual satisfaction, mwanamke ndiyo inamuathiri sana na kama haipati ndani ..... no way ni lazima akaitafute nje.

Aidha, Wakati mwingine kwa mwanamke kuchepuka sio umalaya bali ameshindwa kupata sexual satisfaction ndani ya nyumba ....siamini kama ni dhambi kwa mwanamke kutoka nje ya ndoa ikiwa kwa namna yoyote ameshindwa kupata Climx ndani ya nyumba. Wanaume wengi ni selfish na wana ignore hisia za mwenza aliye nyumbani. Ukiona mke wako au mwenza wako humfikishi to climax, and she never talks about it ..... jua unasaidiwa no way , only anafanya kwa akili ili mtunze familia .

There is nothing makes woman CRAZY than sexual satisfaction,let that sink in [emoji1630]

Naleta hii mada wadau kujadili, na wadada mtuambie, What matters to you;

Stamina ya mwanaume during foreplay ndiyo inayokuletea satisfaction au Ni saizi ya uume wake mkubwa more than 6 Inches ndiyo inakuletea satisfaction?

Kama ni Saizi ya Uume, What if uume ni mkubwa lakini hauna STAMINA, yaan chini ya dakika 5 mtu ameshatapika huku wewe umeachwa na Unfinished Pleasure , Je size itaendelea kuwa ni kigezo kwako ?

Tufunguke kusaidia jamii kuacha kukimbizana na vumbi la Congo na mitishamba inayowapelekea kupata shida za FIGO.

Stamina or Size that leads to Sexual Satisfaction( Divine Transcendence Beyond Time and Infinity Pleasure)
samahani mkuu umeoa ama?
 
Mkuu mwanamke n kiumbe complicated sana , No way unaweza ukam satisfy .. utatumia kila style, utajitahid utumie muda mwingi before hujakojoa ..lakini akitoka nje akakutana na mtu mwingine aliyemvutia ataliwa tuu ...sababu za mwanamke kutoka nje ni nyingi na nyingine hazielezeki, ila still zinawapa wao sababu ya kutoka ...kikubwa kuliko vyote kwa sisi wanaume ni kujifunza kutokua na expection yeyote ...sisi tuishi nao tuu... , Tutapoteza muda na concetration kwa kutaka kumtawala mwanamke lakini when it come sex choice anayo yeye ...akiamua kuliwa ataliwa tuu
 
Mkuu mwanamke n kiumbe complicated sana , No way unaweza ukam satisfy .. utatumia kila style, utajitahid utumie muda mwingi before hujakojoa ..lakini akitoka nje akakutana na mtu mwingine aliyemvutia ataliwa tuu ...sababu za mwanamke kutoka nje ni nyingi na nyingine hazielezeki, ila still zinawapa wao sababu ya kutoka ...kikubwa kuliko vyote kwa sisi wanaume ni kujifunza kutokua na expection yeyote ...sisi tuishi nao tuu... , Tutapoteza muda na concetration kwa kutaka kumtawala mwanamke lakini when it come sex choice anayo yeye ...akiamua kuliwa ataliwa tuu

Umeongea vyema sana Kaka . Ukiuliza sababu nyingine za kupigwa nje , yaani unaweza kushangaa. Kuna mwanamke Mmoja nilimuambia tell me the truth kama ulishawahi kuchepuka dhidi ya your man na why. Akasema amewahi na Sababu kubwa ni alivutiwa na jinsi ambayo staff mwenzake ofisini alivyo disminder kwa madem na jinsi alivyo msiri kwa mambo yake .so kwa Character hiyo akajikuta tu anamshobokea jamaa, jamaa akamla na ni kimya kimya hatari na hakuna aliyewahi kujua.

Haya mambo ni complicated sana
 
Back
Top Bottom