Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
1.Kujiepusha na ugomvi usiokuwa na maana , kama sheria zipo .
2. Uaminifu na watu kuheshimu ndoa za wengine, sio kutongoza mke wa mtu ilihali unajua kabisa kaolewa.
3. Tabia ya urafiki na kushirikiana na majirani, sisi binadamu sio wanyama tuntakiwa kushirikiana kuna leo na kesho.
2. Uaminifu na watu kuheshimu ndoa za wengine, sio kutongoza mke wa mtu ilihali unajua kabisa kaolewa.
3. Tabia ya urafiki na kushirikiana na majirani, sisi binadamu sio wanyama tuntakiwa kushirikiana kuna leo na kesho.