Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitumiwa bili unatakiwa ulipe ndani ya siku Saba zaidi ya hapo ni wao na maamuzi Yao. Yes 7 days.Kumekuwa na utaratibu wa Dawasa kufika eneo la nyumba na kukata maji bila hata kutoa taarifa kama wanakata maji ilhali wenye nyumba wapo na namba za simu wanazo kwenye karatasi zao.
Je, hii ni sawa?
Baada ya tarehe ya mwisho ya kulipia kuna wiki ya ziada baada ya hapo wanakata.Hili deni linalozungumziwa hapa ni limetumwa siku sita nyuma.
"Lipa ndani ya siku 30", mimi naambiwa ivo kwenye bili ya maji, au kila mkoa na mda wake!?Ukitumiwa bili unatakiwa ulipe ndani ya siku Saba zaidi ya hapo ni wao na maamuzi Yao. Yes 7 days.
Mimi nilitaka kukatiwa kuuliza wakasema 7 days inatakiwa ilipwe na haikuwa zaid ya elfu 5 nikalipa"Lipa ndani ya siku 30", mimi naambiwa ivo kwenye bili ya maji, au kila mkoa na mda wake!?
Kama watakata gharama ni zao kurudisha ni zako, ila mnaweza ongea mambo yakaisha, wakikomaa utalipa. Sina hakika yaweza fika 30000Sawa asante kwa taarifa
Je, baada ya kulipia kuna gharama nyingine?
Au nikishalipia wanarudisha freely?
unalipa kwa control number, kwani bili ya maji unaipata tokea wapi? ikiwa unatumiwa kwenye simu yako na hujalipa dawasa wamekuwa na utaratibu wa kukumbusha wateja kulipa maji mara kwa mara na huo ukumbusho serves as ' demand notice' na wakikukatia faini ni 30k.Na yenyewe wanantumia control number au nawapa cash?
Control Number.... Utaona pale.... Gharama za kurudisha maji zitaainishwa kwenye hiyo control number.Na yenyewe wanantumia control number au nawapa cash?