Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu ..mujarabu kbsa hiliKama wao wenye gari yenye thamani zaidi ya million 10, wananidai jero, why Mimi nisidai 100?
Nidhamu ya fedha inaanza na financial management katika level ya chini (sana), hata Bil Get haachagi change ya kiasi chochote kile!Sasa kama Wewe Abiria Mwenzangu umeshika Simu ya Gharama (ya Kitajiri) ya Tsh 1,700,000/= na Unaidai Chenji yako ya Tsh 100/= kwa Kondakta tena kwa Kelele nyingi Daladalani Mimi GENTAMYCINE Choka Mbaya mwenye Simu yangu hii ya Phillips Kitochi nifanyeje?
Najua kuwa Hela yoyote ni Halali ya Mhusika ila sometimes unaweza Ukadharaulika na Hadhi yako Kushuka kwa Ushamba na Ujuha kama huu.
Na huyu Mwamba niliyekutana nae leo Kimwonekano wake si kwamba ana Dhiki ya Kimaisha kama Mimi GENTAMYCINE bali anaonekana ni Mtu mwenye Maisha yake mazuri ila alikuwa anakomaa kudai Chenji yake ya Tsh 100/= kwa Kondakta ndani ya DalaDala kama vile Beki wa Yanga SC Bakari Nondo Mwamnyeto anavyowakomalia Washambuliaji Hatari ili Wasifunge Magoli.