Je, ni vizuri kumpa mpenzi wako mpya stori zako za nyuma za mahusiano yako?

Je, ni vizuri kumpa mpenzi wako mpya stori zako za nyuma za mahusiano yako?

Paka leo mke wangu anajua yeye ndio alikuwa wa kwanza... kwangu.. alafu kaninyoosha na tukio kishamba.. bado ana hiyo imani sinaga hayo mambo
Mapenzi ni mchezo wa uongo na kuliana timing, mimi siongeagi ukweli na sioni sababu ya kuongea ukweli.!!
Kwanza mapenzi ukiwa mkweli yanachosha na inasababisha mtu kuwa na kisirani kisichoisha.!! Muache abaki kwenye uongo.!!
 
Mapenzi ni mchezo wa uongo na kuliana timing, mimi siongeagi ukweli na sioni sababu ya kuongea ukweli.!!
Kwanza mapenzi ukiwa mkweli yanachosha na inasababisha mtu kuwa na kisirani kisichoisha.!! Muache abaki kwenye uongo.!!
ndio ivyo anajua alinitoa bikra ya uboroo.. kumbe hahaha! na anajua naogopa sana wasichana sasa angefunguliwa folder angelazwa ICu
 
Mapenzi ni mchezo wa uongo na kuliana timing, mimi siongeagi ukweli na sioni sababu ya kuongea ukweli.!!
Kwanza mapenzi ukiwa mkweli yanachosha na inasababisha mtu kuwa na kisirani kisichoisha.!! Muache abaki kwenye uongo.!!
Hayo tuyaite mapenzi ya uongo.
 
Soma huo huo mstari vizuri sio kila kitu cha kuwaambia hawa viumbe ni bora uk
Screenshot_20240718-203502.png
ala buyu siku ukikosea atasema ndio maana hata yule aliondoka soma huo mstari wa 5
 
mfano namwambi alikua ananiridhisha kuliko yeye
No, when you tell, don't make a comparison.

Mwambie mfano

Yaan Yule my X alikuwa anajua kufanya micro phone test yaan kwenye one or two tupo vzr .
 
No, when you tell, don't make a comparison.

Mwambie mfano

Yaan Yule my X alikuwa anajua kufanya micro phone test yaan kwenye one or two tupo vzr .
Uuuuweeeeh wazee wa kufafanua wanaelewa tu
 
ndio ivyo anajua alinitoa bikra ya uboroo.. kumbe hahaha! na anajua naogopa sana wasichana sasa angefunguliwa folder angelazwa ICu
😹😹😹 dah.!!
Na yeye anaamini kweli??
Hata ukichepuka anahisi wanakusingizia.
 
Back
Top Bottom