Grim Langdon
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 774
- 2,262
Kweli kabisakumuuliza mwanamke mambo yake ya nyuma kuna mambo mawili: ama akueleze ukweli ambao usingependa kuusikia au akudanganye uendelee kuishi katika uongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisakumuuliza mwanamke mambo yake ya nyuma kuna mambo mawili: ama akueleze ukweli ambao usingependa kuusikia au akudanganye uendelee kuishi katika uongo.
Bikra muhimu.Yaliyopita si ndwele
Yes.Uuuuweeeeh wazee wa kufafanua wanaelewa tu
Mhhh, unabalaa weweMwenye hunikula saiv
Hahahaha kwaninMhhh, unabalaa wewe
acha bwan wewe,, unataka mingo za humu zinikimbieYes.
My ex hakuwa mtamu Kama wewe Mrs R
Sometime ni sahihi kama anauliza
Haina haja kama hajauliza ila akiuliza unamwambia
Anaekukula usithubutu kwambia, atapata fimbo ya kukuchapia, na itakua kila ukifanya kosa atasema ndio maana mliachana na x yule. Halitamtoka kichwani maisha yenu yote. Pita kimnya tuHahahaha kwanin
hakika aseeee,,ila kuna wafukunyuku wanapenda kujua yalopitaAnaekukula usithubutu kwambia, atapata fimbo ya kukuchapia, na itakua kila ukifanya kosa atasema ndio maana mliachana na x yule. Halitamtoka kichwani maisha yenu yote. Pita kimnya tu
NakaziaBikra muhimu.
Humu hamna MTU WA maaana, we nisikilize mimiacha bwan wewe,, unataka mingo za humu zinikimbie
umesema humu hamna mtu wa maana,, including weweHumu hamna MTU WA maaana, we nisikilize mimi
Mimi sipo humuumesema humu hamna mtu wa maana,, including wewe
uko wapMimi sipo humu
Mimi na Ms R hatupo humuuko wap
Hahahaha tupo wapiMimi na Ms R hatupo humu
Tupo piemHahahaha tupo wapi