kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Nina dada yangu ambaye ameolewa.
Huyu dada yangu na Mme wake kila siku ni matatizo tu.
Maisha Yao yamekuwa kama movie tu.
Mara ana mpiga na kumfukuza nyumbani kwake baada ya miezi kazaa ana Rudi kumchukuwa mke wake
Wazazi ni watu wa Dini unajua kwenye ukristo na sheria Zatu ukimuacha mke Wako Bila talaka uyo bado Mke wako tu.
Licha ya Ivo dada yangu naye ana mpenda huyu Mme wake saana pamoja Na vituko vyote ambavyo anamfanyia lakini akirudi Kuja kumuomba msamaha cha ajabu ana msamehe Na wanarudiana Tena wakienda kukorofishana Tena anajileta nyumbani hata ukimkatalia Mama ana mtetea binti yake.
Jana alikuja nyumbani amelewa alikuja kuongeya na Mke wake dada yangu alikaribishwa nyumbani vizuri Na mke wake wakaanza kuongeya kwa upumbavu wao wakaanza kubebana hapa hapa nyumbani kwetu kwa kukosa adabu huyo Mme wake akaanza kutukana mke wake mbele ya familia na kibaya zaidi akaanza kutukana mpaka familia yangu sisi tulivyotaka kuingilia ili tumfunze adabu uyu bwege, dada yangu akaanza kumtetea Mme wake pamoja na kuona anavyo kosea familia yetu adabu bado akawa mpande wa uyo Mme wake tu.
Je, ni vizuri kumpiga shemeji Yako
Maana Kuna kitu nafikiria hapa
Huyu dada yangu na Mme wake kila siku ni matatizo tu.
Maisha Yao yamekuwa kama movie tu.
Mara ana mpiga na kumfukuza nyumbani kwake baada ya miezi kazaa ana Rudi kumchukuwa mke wake
Wazazi ni watu wa Dini unajua kwenye ukristo na sheria Zatu ukimuacha mke Wako Bila talaka uyo bado Mke wako tu.
Licha ya Ivo dada yangu naye ana mpenda huyu Mme wake saana pamoja Na vituko vyote ambavyo anamfanyia lakini akirudi Kuja kumuomba msamaha cha ajabu ana msamehe Na wanarudiana Tena wakienda kukorofishana Tena anajileta nyumbani hata ukimkatalia Mama ana mtetea binti yake.
Jana alikuja nyumbani amelewa alikuja kuongeya na Mke wake dada yangu alikaribishwa nyumbani vizuri Na mke wake wakaanza kuongeya kwa upumbavu wao wakaanza kubebana hapa hapa nyumbani kwetu kwa kukosa adabu huyo Mme wake akaanza kutukana mke wake mbele ya familia na kibaya zaidi akaanza kutukana mpaka familia yangu sisi tulivyotaka kuingilia ili tumfunze adabu uyu bwege, dada yangu akaanza kumtetea Mme wake pamoja na kuona anavyo kosea familia yetu adabu bado akawa mpande wa uyo Mme wake tu.
Je, ni vizuri kumpiga shemeji Yako
Maana Kuna kitu nafikiria hapa