Je, ni vyuo gani vinaongoza kwa kutoa wasomi walioiva vizuri Tanzania?

Hivi kwani nini UCLAS ( Ardhi university) na MUHAS waliviondoa UDSM?

Maana baada ya kuondolewa UDsm ukitoa coet na coist na wale wa agriculture kozi nyingine za ovyo ovyo tu
 
Dar es salaam maritime institute, Africa viwili tu kingne magharibi njoo kwa mabaharia pale watu wachache wanajua nn wanafanya Unique africa achana na mbwembwe za udsm na aridhi
Hiyo institute ndo unalinganisha na university kama UDSM ARDHI UNIVERSITY au MUHAS?hebu kuwa serious
 
Ina maana MUHAS wanaokutibu,na Ardhi university wanakujengea nyumba hawana kitu?
Anyway labda Kwa kuwa yalikuwa matawi ya udsm Zamani

wote hao ni matawi ya udsm na bado wahadhiri wa udsm ndo wanaofundisha matawi hayo sasa mtu anakuja kulinganisha udsm na SEKOM kweli[emoji35][emoji35]
 
Wasomi walioiva vizuri wanapikwa kwa gesi maana yenyewe inawahisha. Ila ukitumia mkaa na vile vyungu vya asili, huwa wanakuwa na ladha nzuri
 
Kabisa mkuu

Hebu angalia watu wanaodahiliwa pale ni dv 1 na two Kali sambaba na Ardhi university kuna mapgm na mapcm kibao pale

MUHAS sasa bila point sita udokta usahau

Sasa eti mtu analinganisha hivi vyuo na UDom au sauti vyenye watu WA point 17
 
Haya maswali Mkuu yanajibika hasa kwa wale waliosomea ICT katika vyuo vingi tu hapa Tz
 
Huo si ukweli.
Lile somo la Human resources management ni la nn.
Mm hapa nina diploma ya clinical medicine na nimejiajiri kwa korokoro kibao na now najisomesha degree ni upeo tu wa mtu msisingizie mfumo wa elimu
Tatizo unejibu kibinafsi sana bado hujajibu kijamii zaidi.

Jifanye una diploma ya ualimu/sheria/ugani unawezaje kuitumia nje mfumo rasmi wa ajira? Kumbuka wakati unajibu uwe ni mtoto wa kutoka familia masikini yaani wewe msomi na tajiri pekee kutoka kwenye familia yako.
 
Ahhaahh! Definitely n respect kwa kuliona hili mkuu...
 
Haya maswali Mkuu yanajibika hasa kwa wale waliosomea ICT katika vyuo vingi tu hapa Tz
Mkuu nahisi bado hujanipata pointi yangu ilipo. Ninachotaka kusema hapa ni kwamba tunasoma ili tuajiriwe BASI kijana anapokosa ajira kinachofuata ni kilio haijalishi amesomea wapi na fani ipi.

Tuamke leo hii hakuna ajira serikalini wala taasisi binafsi je, jamii yetu ina njia mbadala wa kujikwamua na kutatua changamoto kimaisha nje ajira?

Au ndio hivyo tumemezwa na wanaohimiza vijana wajiajiri wakati wao wakipewa huduma zote za kibinadamu kwa kodi zetu bure. Kwanini wanaohamasisha kujiajiri wasiache kazi zao na kujiari kama kweli kujiajiri ni dili?

Mkuu tunahitaji kujiuliza maswali magumu magumu na kukipata majawabu yake kama taifa/jamii basi tutatoka pale tulipo.

Huo ushabiki wa UDSM na UDOM mimi binafsi nauona ni utoto na ulimbukeni tu sababu hata waliopita huko waneshindwa kuisaidia jamii wamebaki kuvaa nusu uchi na kata k huku wakiijita eti ni WASOMI.
 
KARUME INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY. Chuo kipo vizuri sana, kipo ZANZIBAR. Ukimpata mmoja wa aliyesoma chuo hiki utajionea.

Ni moja ya vyuo vichache duniani vyenye CCTV CAMERA katika chumba cha mtihani.
 
Kuchukua watu wenye sifa si kigezo cha uhalalisho wa hoja yako mfu,ukiishi kwa kukariri maisha ni shida sana,na kama umeoa au kuolewa namwonea huruma mkeo au mumeo kwa hasara hii ndani ya familia,hopeless kabisa wew ngamia
 
Mi nipo nasoma chuo cha KKKT nasomea ubunge mimi na mleta uzi.

Mleta uzi darasani ni hopeless kabisa, ana walakini ubongoni kama dhaifu wetu wa kijani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…