Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,867
Dar es salaam maritime institute, Africa viwili tu kingne magharibi njoo kwa mabaharia pale watu wachache wanajua nn wanafanya Unique africa achana na mbwembwe za udsm na aridhi
Mimi nimesoma UDOM kwa miaka mitatu mbona SIASA sikuziona? Na kuhusu miundombinu mbona ipo ya kutosha labda uainishe hiyo miundombinu ya aina ipi kwa mfano?Nimepata kuwa kwenye Gymnasium sköla tulikuwa tunaangalia ubora wa vyuo hasa vya Afrika, ni aibu
Kwa Tanzania UDSM baada ya maprofesa kuingiza siasa na kushindana kuandika mathesisi,
Kimeshuka sana, japo Kwa TZ hakina Mpinzani ,
Pili chuo wali ki dismantle kwa kukigawa gawa mara UCLAS MUHAS vikaondoka,
Ukija upande mwingine, IFM, DIT, SUA na Mzumbe wako vema sana, baada ya UDSM
Udom siasa na UCCM mwingi sana., hata miundombinu si ya kutosha kwa baadhi ya Faculties
Britannica Encyclopedia