Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 679
- 870
sio kupga faulo tu, hata heading ni shida..Mleta Uzi umeongea point ya maana Sana ,Kuna muda najiuliza Sana Hawa wachezaji huko mazoezin huwa wanafanya kazi gani?
Je makocha wa mazoez Wana style moja ya mazoezI?
Mpka Sasa kwenye lig yetu mtu hatar wa kupiga freekick Ni mmoja tu Ntibanzokiza wengine wote Wana bahatisha tu.
Nirud kwa timu yangu Simba huko ndio hovyo kabisa kuanzia wapiga freekick ,wapiga penalty hovyo kabisa, angalau upigaji kona.
Siku ikatokea Simba imeingia matuta na timu yeyote Simba anaaga mapema Sana .Freekick 5 hufungi hata moja !!!Na hii sio kwa Simba tu Ni kwa vilabu vyote
Kuna kitu kinaitwa jumping reach ni tatizo.