Je, ni wakati sasa Simba Sports Club kutafuta free kick specialist au waliopo wana uwezo huo?

Je, ni wakati sasa Simba Sports Club kutafuta free kick specialist au waliopo wana uwezo huo?

lwambof07

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
4,643
Reaction score
5,335
wasp

Ukiangalia kwa mfano game ya leo Vs Mlandege SSC imepata faulo nyingi sana kwenye maeneo ambayo kama wangetumia vizuri basi wangeweza pata goli hata moja lakini hawakufanya hivyo.

Timu zenye wachezaji wenye uwezo wa kupiga mipira iliyokufa kuna nyakati ndiyo pekee huleta matokeo kwenye timu husika.

Je, ni wakat sasa wa kutafuta wachezaji wenye uwezo wa kupiga mipira iliyokufa au hakuna haha hiyo?

images (5).jpg
images (4).jpg
images (3).jpg
images (1).jpg
images (2).jpg
 
Kabisa tena,kuna free kick nyingi zenye kuzaa matunda lakini akuna fundi wa izo mambo.

Nakumbuka Roberto Calos na David Beckham kwenye free kick tano basi angalau tatu lazima wakuumize.
 
Kabisa tena,kuna free kick nyingi zenye kuzaa matunda lakini akuna fundi wa izo mambo.
Nakumbuka Roberto Calos na David Beckham kwenye free kick tano basi angalau tatu lazima wakuumize.
upo sahihi kabisa hawajatumia ipasavyo hizo nafasi kabisa
 
Wachezaji wengi wa bongo free kick ni kubahatisha ,kidogo Saido anapiga vizuri
bongo n shida ndiyo sasa hivi wanampunga watafute hata nje ya bongo
 
Mafundi wa kupiga freekick bongo
1.Saido
2.fei toto
3.aucho
4.david bryson
5.mayele
6.w. edga
.
20.Morrison
 
Hilo si jukumu la head coach.
umahiri wa kupiga faulo ni jitihada binafsi za mchezaji.

Yapo mazoezi maalumu ya kulenga shabaha ambayo mchezaji yeyote anaweza kujitengea muda wake binafs akajizatiti kwny eneo hili na kujizolea umaarufu.

Bahati mbaya sio simba tu, mafundi wa kupga faulo wameadimika duniani..

David bekham alikuwa anatenga muda maalumu nje ya wenzake kujizoeza kulenga shabaha.

Ni mazoezi tu, hakuna muujiza.
 
Simba kila kitu ni majanga timu lina nuksi na malaana

Laana ipo huko kwenu utopolo(yanga).
Msukule ulitaka kunyonyana denda na hersi uwanjani, achilia mbali usodoma wa kabwili…!! Yaani utopolo ni mikosi kila mahali.
Timu imejaa masodoma!
 
Mafundi wa kupiga freekick bongo
1.Saido
2.fei toto..
Daah watu Kama nyie Mimi nawaitaga minyero ,wenzio wanazungumzia fact ya mpira wewe unaleta ushabik ndez haya kalia [emoji867]
 
Mleta Uzi umeongea point ya maana Sana ,Kuna muda najiuliza Sana Hawa wachezaji huko mazoezin huwa wanafanya kazi gani?

Je makocha wa mazoez Wana style moja ya mazoezI?

Mpka Sasa kwenye lig yetu mtu hatar wa kupiga freekick Ni mmoja tu Ntibanzokiza wengine wote Wana bahatisha tu.

Nirud kwa timu yangu Simba huko ndio hovyo kabisa kuanzia wapiga freekick ,wapiga penalty hovyo kabisa, angalau upigaji kona.

Siku ikatokea Simba imeingia matuta na timu yeyote Simba anaaga mapema Sana .Freekick 5 hufungi hata moja !!!Na hii sio kwa Simba tu Ni kwa vilabu vyote
 
Kabisa tena,kuna free kick nyingi zenye kuzaa matunda lakini akuna fundi wa izo mambo.

Nakumbuka Roberto Calos na David Beckham kwenye free kick tano basi angalau tatu lazima wakuumize.
Kati mashabiki wa soka JF huwa nakupa 89%
 
Hawajaadimika wapo mkuu kina Trent wanafunga mara nyingi tu labda umeacha kuangalia mpira.
wanaweza kuwapo lakn ni mmoja mmoja.
sana. hata waliopo ni too average.

Nyakati zile mafundi hodari wa kupga free kick walikuwa ni wengi tena kwa wakt mmoja.

Pirlo, Beckam, Juninho, Carlos, ian hart, Gaucho,
Hao walikuwa ni rank 'A'

Gerald, Bridge, Geremi, nk ilikuwa ni rank iliyofuata..wengne nimewasahau.
 
Back
Top Bottom