Je, ni wakati sasa Simba Sports Club kutafuta free kick specialist au waliopo wana uwezo huo?

Je, ni wakati sasa Simba Sports Club kutafuta free kick specialist au waliopo wana uwezo huo?

Mimi ni mshabiki wa simba lakini kwa haya yanayoendelea lazima ukweli usemwe timu yetu imekosa mipango viongozi wanamtajataja chama tu kwani hakuna wachezaji wengine? pesa ya luiz imetumikaje? viongozi fix tu...usajili haueleweki eti analetwa shibubu mtu anamiaka 42 wakatati wenzetu wanasajili makinda si kutwa na vibabu tubadilike jamani
simba yetu moja
mirinda yetu moja
kuna wakat SSC sajili zake sizielewi unataka kusema Africa nzima yupo Chama tu na team zote dunian haiwez kuuza mchezaji au wachezaji muhimu bila ya kupata mbadala wake walivyoondoka Chama na mwenzake hela ilikuwepo mm nilitegemea walete wabada plus forward mmoja matata pale mbele
 
Kabisa tena,kuna free kick nyingi zenye kuzaa matunda lakini akuna fundi wa izo mambo.

Nakumbuka Roberto Calos na David Beckham kwenye free kick tano basi angalau tatu lazima wakuumize.
Kwa hapa Africa now nani specialist wa freekick? Na je utamnunua mchezaji ili tu akusaidie freekicks ukiwa timamu kweli? Maana mabao ya freekicks ni machache mno duniani imagine Messi na ubora wake hajafikisha mabao 65 tu ya freekick wakati ana mabao 700 hivi ya carrier yake
 
Morison alifunga kwa freekick dhidi ya Red Arrows
Na duniani hakuna timu inanunua mchezaji wa kupiga freekicks tu kama ipo itaje
 
Mleta Uzi umeongea point ya maana Sana ,Kuna muda najiuliza Sana Hawa wachezaji huko mazoezin huwa wanafanya kazi gani?

Je makocha wa mazoez Wana style moja ya mazoezI?

Mpka Sasa kwenye lig yetu mtu hatar wa kupiga freekick Ni mmoja tu Ntibanzokiza wengine wote Wana bahatisha tu.

Nirud kwa timu yangu Simba huko ndio hovyo kabisa kuanzia wapiga freekick ,wapiga penalty hovyo kabisa, angalau upigaji kona.

Siku ikatokea Simba imeingia matuta na timu yeyote Simba anaaga mapema Sana .Freekick 5 hufungi hata moja !!!Na hii sio kwa Simba tu Ni kwa vilabu vyote
Huyo mtaalamu unayemsema kashapiga freekicks ngapi hadi sasa na kafunga magoli mangapi?
 
Morison alifunga kwa freekick dhidi ya Red Arrows
Na duniani hakuna timu inanunua mchezaji wa kupiga freekicks tu kama ipo itaje
sio kununua kwa ajili ya free kick pekee hapana ukichunguza asilimia kubwa ya wachezaji wanaojua kupiga hiyo mipira hata uwanjan sio vilaza kama unavyosema
 
Kwa hivyo Simba imnunue nani specialist wa freekicks? Na je mchezaji yupi wa timu yoyote hapa bongo amefunga magoli 10 ya freekicks kwa mwaka kama kweli ni ishu muhimu kihivyo? Hao hao waliopo wafanye mazoezi ya freekicks tu hakuna mchezaji ambaye akipewa kupiga freekicks unahesabu 99% ni kufunga kama yupo mtajeni hapa kwa waliopo now
 
Kwa hivyo Simba imnunue nani specialist wa freekicks? Na je mchezaji yupi wa timu yoyote hapa bongo amefunga magoli 10 ya freekicks kwa mwaka kama kweli ni ishu muhimu kihivyo? Hao hao waliopo wafanye mazoezi ya freekicks tu hakuna mchezaji ambaye akipewa kupiga freekicks unahesabu 99% ni kufunga kama yupo mtajeni hapa kwa waliopo now
na ndiyo maana nikauliza je wanunue au waliopo wanafaa ukirejea kwenye kichwa habar utaona
 
na ndiyo maana nikauliza je wanunue au waliopo wanafaa ukirejea kwenye kichwa habar utaona
Waliopo wanafaa , Morison amefunga kwa freekick , Mwenda anajua kufunga kwa Freekicks , Wawa vilevile nadhani tu tatizo ni uwekezaji wa makocha kuamua kuipa time ya kutosha sension ya set pieces na hadi sasa naona improvement kubwa hasa kwenye kona jambo ambalo lilikuwa tatizo sana nyakati za nyuma.Huwezi kutegemea kikosi hiki ambacho kinajaribu kuundwa upya kupata kikosi bora zaidi kikupe kila kitu 100%
Na by the way sisi tulio na kaujuzi kadogo tu ka mpira tunaamini hakuna timu iliyokamilika 100% kila timu ina udhaifu wake kazi ni kuugundua na kuutumia vema tu.
 
Waliopo wanafaa , Morison amefunga kwa freekick , Mwenda anajua kufunga kwa Freekicks , Wawa vilevile nadhani tu tatizo ni uwekezaji wa makocha kuamua kuipa time ya kutosha sension ya set pieces na hadi sasa naona improvement kubwa hasa kwenye kona jambo ambalo lilikuwa tatizo sana nyakati za nyuma.Huwezi kutegemea kikosi hiki ambacho kinajaribu kuundwa upya kupata kikosi bora zaidi kikupe kila kitu 100%
Na by the way sisi tulio na kaujuzi kadogo tu ka mpira tunaamini hakuna timu iliyokamilika 100% kila timu ina udhaifu wake kazi ni kuugundua na kuutumia vema tu.
umenena vyema kabisa inabidi wawekeze kwenye hili swala nalo walipe uzito wake
 
Hilo si jukumu la head coach.
umahiri wa kupiga faulo ni jitihada binafsi za mchezaji.

Yapo mazoezi maalumu ya kulenga shabaha ambayo mchezaji yeyote anaweza kujitengea muda wake binafs akajizatiti kwny eneo hili na kujizolea umaarufu.

Bahati mbaya sio simba tu, mafundi wa kupga faulo wameadimika duniani..

David bekham alikuwa anatenga muda maalumu nje ya wenzake kujizoeza kulenga shabaha.

Ni mazoezi tu, hakuna muujiza.
Cm,, c,,, on x h. P x X,,,, p x x r zzz., and.,
 
Back
Top Bottom