deedee
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 257
- 417
Wakuu naomba kufahamu wataalamu wa magari, je ni wazo jema mtu kutaka kuuza Vanguard ya mwaka 2011 na kutaka kununua Nissan Extrail ya mwaka 2016.
Naomba uzoefu na ujuzi wenu wakuu.
Gari zote hizi hapa chini.
View attachment 2644881
View attachment 2644882
Wazo zuri, tena chukua kuanzia late 2017 au 2018 (facelifted NT32). Utakufurahia sana.