Je, ni wazo zuri kubadili gari kutoka Toyota Vanguard 2011 kwenda Nissan Extrail Third Generation ya 2016?

Kama ni Mimi mabaki na Vanguard coz ya muonekano
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Vuta chombo ambacho kitaikosha roho yako.
Kimsingi unatakiwa uwe na gari ambayo ukiipaki sehemu lazima ugeuze shingo kuicheki tena huku ukitabasamu.

Kama ni tofauti na hivyo ujue hiyo gari haijaukosha moyo wako na upo nayo si kwa sababu unaipenda bali kwa sababu ya kufuata mkumbo au ndipo mfuko wako ulipoishia.
 
mkuu tatizo ni mfuko, we unadhani watu wanapenda vits,starlet na funcargo??
 
CIF USD 10,000-12,000, Kodi 14M (unless hujui kucheki tra calculator) Total around 40m,

Vanguard inazunguka mitaa hiyo hiyo

Yes, ina bei nzuri sana ukilinganisha na bei za Toyota kwa za miaka hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…