Wakuu naomba kufahamu wataalamu wa magari, je ni wazo jema mtu kutaka kuuza Vanguard ya mwaka 2011 na kutaka kununua Nissan Extrail ya mwaka 2016.
Naomba uzoefu na ujuzi wenu wakuu.
Gari zote hizi hapa chini.
View attachment 2644881
View attachment 2644882
Toyota bado wanafyatua Vanguard au wamesitisha.?
izo rav 4 new models ni kali kinoma noma,boda yake imechongwa hasaMwisho 2013 kama sio 2012. Baada ya hapo wameendelea na RAV 4 tu
za 2018. bei hato iwezaWazo zuri, tena chukua kuanzia late 2017 au 2018 (facelifted NT32). Utakufurahia sana.
Mkuu usitoke kwenye Toyota kaa humo. Kibongobongo Toyota Ina mafundi wengi wanaojua madhaifu yake. Nissan wengi wataanza kujifunza kutengeneza hiyo ya kwako.
ikiwa mfuko unaruhusu na ukawa tayari kulipia gharama kubwa kwa service ya kawaida unaweza kukaa kwenye Nissan.
Binafsi nimepitia changamoto kadhaa za spea na ufundi nilipomiliki gari tofauti na Toyota . Kwa sasa
Nitatoka kwenye Toyota siku Tanzania ikiwa dona kantri.
Bei nafuu + Kodi nafuu, 14m tuu, compared na gari zingine za mwaka huo. Gari yenyewe ukikomaa iko around USD 10,000 CIFza 2018. bei hato iweza
xtrial ya 2018 milion 14??Bei nafuu + Kodi nafuu, 14m tuu, compared na gari zingine za mwaka huo. Gari yenyewe ukikomaa iko around USD 10,000 CIF
mkuu tatizo ni mfuko, we unadhani watu wanapenda vits,starlet na funcargo??Vuta chombo ambacho kitaikosha roho yako.
Kimsingi unatakiwa uwe na gari ambayo ukiipaki sehemu lazima ugeuze shingo kuicheki tena huku ukitabasamu.
Kama ni tofauti na hivyo ujue hiyo gari haijaukosha moyo wako na upo nayo si kwa sababu unaipenda bali kwa sababu ya kufuata mkumbo au ndipo mfuko wako ulipoishia.
CIF USD 10,000-12,000, Kodi 14M (unless hujui kucheki tra calculator) Total around 40m,xtrial ya 2018 milion 14??
CIF USD 10,000-12,000, Kodi 14M (unless hujui kucheki tra calculator) Total around 40m,
Vanguard inazunguka mitaa hiyo hiyo
toyota kluger ya mwaka 2018 ni moto around 45M bado cf Na ni gari kweliYes, ina bei nzuri sana ukilinganisha na bei za Toyota kwa za miaka hiyo