Je ni yupi anapaswa kulaumiwa nyoka au ibilisi?

Je ni yupi anapaswa kulaumiwa nyoka au ibilisi?

Msamaha ulikuwa sio wa hapo hapo...lazma utumike adhabu uonje ghadhabu ya Mungu. Kumbuka kipindi cha kina musa...
kipindi cha Musa ilikuwa siku zimeshaenda sana Mungu akachoshwa na kiburi cha mwanadamu, hii ya eva na adam ni mwanzoni kabisa wakiwa binadam wawili tu Duniani. Hivyo Mungu alikuwa bado anampenda adam na alikuwa na nafasi moyoni mwake
 
nashukuru umesema uumbaji ulioandikwa katika Bibilia, hizo ni simulizi tu hazina ukweli wowote, Mungu si binadamu ahangaike kuchukua udongo atengeneze mwanadamu kwa masaa 24 akitokwa na jasho

kusema nyoka au shetani alimdanganya mwanadamu, hiyo ni janja ya mwanadamu mwenyewe kukwepa uwajibikaji, kifo mwanadamu alikikuta kipo (Asili), kilisababishwa na mabadiliko (evolution) fikiria km wanadamu tunavyozaana km tungelikuwa tuna kufa Je kungelikuwa na ardhi yeyote ya kutosha kuishi wanadamu walio kufa na walio hai sasa?

kila jamii ina simulizi zake za mwazo wa dunia na mwanzo wa binadamu, bibilia ni simulizi za uumbji za dunia ya wayahudi, kwa taarifa hawa wayahudi na waarabu, tangu mwanzo walikuwa na Mungu anayeitwa ENLY Mungu huyu alikuwa Mungu mtia mimba na kwa niaba ya miungu, alimtia mimba MADU ambaye hakuwa tayari kuupokea uzazi lkn kwa sababu ya miungu alikubali, wakati huo alikuwapo na mtu anayeitwa ADAM alikuwa na mkewe aliyeitwa LILITHI, LILITHI ni jini jike LILITHI huyu siku moja aliringa kujaamiiana na ADAMU akasikitika sana, ndipo Mungu akaja kumlaza usingizi akachukua ubavu akamtengenezea mke mwingine anaitwa HAWA,

Simulizi zsa uumbaji zilizoandikwa ktk misaafu ya kidini ni simulizi za Miungu zilizoboreshwa
Hii ni mpya mkuu.
Thanks
 
Ibilisi alikuwa ni malaika na alitaka kuipindua Mungu Means alikuwa na nguvu karibu na Mungu na pia hakunyang'anywa zile nguvu alizokuwa nazo.
Kwa nini hakunyang'anywa hizo nguvu??...
 
Kila kitu alichokiumba Mungu kilo kwenye utaratibu wake,na Mungu hakosei,ukija kwenye anguko huwezi leo ukasema nyoka na shetani ni vitu tofauti,maana nyoka alikua a natembea kwa miguu kama kawaida ndio maana baada ya anguko la Hawa Mungu alimlaani Nyoka akamwambia tangu leo kwa tumbo utakwenda na mavumbi ndio kitakua chakula Chako. Na kulifahamu hili ni lazima uwe na ufunuo unaposoma maandiko bila msaada wa Mungu hutaweza kulifahamu hilo kamwe hata mwanasayansi,msomi yeyote hataelewa hili.i amuhitaji Roho mtakatifu kukifunua kwako.na unaposema ni historia nadhani unakosea kwasababu Hilo ni Neno la Mungu liloandikwa kwa ufunuo kupitia kwa MANABII, kwani Neno la Mungu Kwanza huja kwa Nabii ndipo ulipate wewe.
Sasa kumbuka Huwezi kumlaumu Adam kwani tayari shetani sikuzote huangalia mahali penye upenyo.na pia ujue Adam ni kiumbe cha Asilimia katika uumbaji wa Mungu,Adam hakua na kitovu kama tulivyo sisi ambao tunavyo kwakua tumenyonya tokea tumbo ni mwa mama zetu,Adam hakudanganywa bali hawa ndio alidanganywa na ndio maana aliweza kushiriki tendo hili.
Sawa sawa 1 nyoka ni Ibilisi zile ni lugha za picha. Fikiria ni nyoka gani mwenye kuongea? Au ndo tuamini zamani sungura na fisi wan
Ibilisi hakua malaika.
Ni malaika aloasi
 
IlUOTE="Mr What, post: 18984707, member: 394702"]Kwa nini hakunyang'anywa hizo nguvu??...[/QUOTE]
Ili mimi na ww tuchague njia sahh
 
Ni vema umeuliza swali hili naomba pia niulize je Kuna dhambi ya Kurithi? Yaani mtoto anazaliwa na dhambi ya kurithi?
 
Soma tena hiyo Biblia yote utaelewa vizuri
 
Mkuu imekaa POA! Au, pia tunaweza muuliza ndugu Siwila, MTU akimuua mwenzake kwa bunduki analaumiwa mtengeneza bunduki?
Hv baba mwenye upendo wote na ujuzi wote anaweza kuweka sumu kwenye chumba anacholala mtoto wake mwenye umri wa miaka 3?
 
Back
Top Bottom