Je, ni yupi kafanya ajira nyingi sana mpaka sasa duniani katika hawa genius?

Je, ni yupi kafanya ajira nyingi sana mpaka sasa duniani katika hawa genius?

Nilitaka kusema hivyo hivyo. Nimeshangaa nimeangalia list sijamwona wakati da’vinci ndio alikuwa hatari kabisa yani hatari kuliko wote picha lake kubwa lilitakiwa liwe pale juu kabisa, he was an Anatomist, Architect, Astronomer, Botonist, Cartographer, Engineer, Geologist, Hydrodynamicist, Mathematician, Musician, Theatre producer, Scientist, Inventor, kwahiyo huwa nashangaa sana wanapowasema kina newton , namkubali sana huyu mwamba, alizaliwa 1452 , 15th April 10:30pm na mama mmoja anaitwa Catarina, huko Florence Italy kwenye kijiji kinaitwa Da’vinci…Kwenye huu uzi Leonardo anatakiwa awe pale juu alafu picha ni KUBWA SANA MASTA
Mkuu babu yako alizaliwa tarehe gani, mwaka gani, sehemu gani, na saa ngapi, na mama yake alikuwa anaitwa nani
 
Mkuu babu yako alizaliwa tarehe gani, mwaka gani, sehemu gani, na saa ngapi, na mama yake alikuwa anaitwa nani
Nkikwambia si ntakuwa nimereveal babu yangu ni nani ? Nlisoma historia ya davinci ndio mana namjua alafu sasa nna memori kali sana nna uwezo wa kukumbuka tarehe muda na siku nilioongea na mtu yeyote deal lolote siku yeyote sisahau kirahisi, Mama wa babu yangu alikuwa anaitwa Martha mwenzako nlipata bahati yakukaa na babu yangu na tukapiga story, me hata wewe ukinii inspire kuna sehemu katika records za ubongo wangu nitaweka memory zako, me ni mdadisi mkuu i know everything about my family najua birthday za watu wote waliozaliwa na mimi kuanzia muda mpaka tarehe, so sio ishue mkuu, kichwani nimememorise bash scripts na code za java itanishinda hii tarehe muda na siku mkuu ?..
 
Nilitaka kusema hivyo hivyo. Nimeshangaa nimeangalia list sijamwona wakati da’vinci ndio alikuwa hatari kabisa yani hatari kuliko wote picha lake kubwa lilitakiwa liwe pale juu kabisa, he was an Anatomist, Architect, Astronomer, Botonist, Cartographer, Engineer, Geologist, Hydrodynamicist, Mathematician, Musician, Theatre producer, Scientist, Inventor, kwahiyo huwa nashangaa sana wanapowasema kina newton , namkubali sana huyu mwamba, alizaliwa 1452 , 15th April 10:30pm na mama mmoja anaitwa Catarina, huko Florence Italy kwenye kijiji kinaitwa Da’vinci…Kwenye huu uzi Leonardo anatakiwa awe pale juu alafu picha ni KUBWA SANA MASTA
Sorry hapa mkuu kwanza ? Kwa mara kwanza saa zilinza kutumika mwaka gani za kutambua majira na dakika .
Huu mwaka wa 1452 siyo jana...
 
Nilitaka kusema hivyo hivyo. Nimeshangaa nimeangalia list sijamwona wakati da’vinci ndio alikuwa hatari kabisa yani hatari kuliko wote picha lake kubwa lilitakiwa liwe pale juu kabisa, he was an Anatomist, Architect, Astronomer, Botonist, Cartographer, Engineer, Geologist, Hydrodynamicist, Mathematician, Musician, Theatre producer, Scientist, Inventor, kwahiyo huwa nashangaa sana wanapowasema kina newton , namkubali sana huyu mwamba, alizaliwa 1452 , 15th April 10:30pm na mama mmoja anaitwa Catarina, huko Florence Italy kwenye kijiji kinaitwa Da’vinci…Kwenye huu uzi Leonardo anatakiwa awe pale juu alafu picha ni KUBWA SANA MASTA
kuongezea, hakuwai ingia darasani.
 
Kwa
Sorry hapa mkuu kwanza ? Kwa mara kwanza saa zilinza kutumika mwaka gani za kutambua majira na dakika .
Huu mwaka wa 1452 siyo jana...
nza saa ya zamani kabisa aliitengeneza yeye na nadhani labda ndio wakapiga heaabu wakajua muda, huyu masta ndio alitengeneza namna ya kuvaa mask ukiwa theatre unafanya operation na vitu kama hivyo ila ye alifanya kizaman ila saivi ndio wanatuletea hizi N95, mkuu yeye ndio alisketch kifaru, majengo makubwa yote mengi primary designer ni da vinci, namna ya kufanya operation yeye, yeye ndio alitoa sketch ya helikopta which means hata ndege zilianzia huko, mkuu maelezo ya da vinci ni mengi kupita maelezo ndio mana nlivyoona hili bandiko nikakimbilia nione kama yupo nlipoona hayuo nikaona haiwezekani,
 
kuongezea, hakuwai ingia darasani.
Alikuwa mtoto wa nje ya ndoa ndiyo maana hakukubaliwa katika shule nyingi kipindi hicho ila baba yake mzee ser piero da vinci alimpeleka kwenye chama cha wachoraji kinachojulikana kama "Compagnia di San Luca ambacho kipo Florence" jamaa akachuliwa hini ya veroccio kwa miaka mitano nadhani .

Kiufupi ni kwamba hata hicho alichokisomea yaani uchoraji na uchongaji vilimsaidia kwenye vumbuzi zake nyingi sanaaa in short "neil degrasse tyson" aliwahi kutoa quote moja ambayo napenda kuitumia mpaka leo ni kwamba "SCIENTIST SIO YULE ANAYESOMEA KWA MIAKA MINGI NA KISHA AKAWA ANAINGIA MAABARA KUFANYA CHUNGUZI ,SCIENTIST NI YULE MWENYE CURIOSITY"

mambo mengi ya kisayansi yamevumbuliwa kupitia curiosity za watu .......

Am out
 
Alikuwa mtoto wa nje ya ndoa ndiyo maana hakukubaliwa katika shule nyingi kipindi hicho ila baba yake mzee ser piero da vinci alimpeleka kwenye chama cha wachoraji kinachojulikana kama "Compagnia di San Luca ambacho kipo Florence" jamaa akachuliwa hini ya veroccio kwa miaka mitano nadhani .

Kiufupi ni kwamba hata hicho alichokisomea yaani uchoraji na uchongaji vilimsaidia kwenye vumbuzi zake nyingi sanaaa in short "neil degrasse tyson" aliwahi kutoa quote moja ambayo napenda kuitumia mpaka leo ni kwamba "SCIENTIST SIO YULE ANAYESOMEA KWA MIAKA MINGI NA KISHA AKAWA ANAINGIA MAABARA KUFANYA CHUNGUZI ,SCIENTIST NI YULE MWENYE CURIOSITY"

mambo mengi ya kisayansi yamevumbuliwa kupitia curiosity za watu .......

Am out
Very nice mister .. Good point [emoji1666][emoji106]
 
Alikuwa mtoto wa nje ya ndoa ndiyo maana hakukubaliwa katika shule nyingi kipindi hicho ila baba yake mzee ser piero da vinci alimpeleka kwenye chama cha wachoraji kinachojulikana kama "Compagnia di San Luca ambacho kipo Florence" jamaa akachuliwa hini ya veroccio kwa miaka mitano nadhani .

Kiufupi ni kwamba hata hicho alichokisomea yaani uchoraji na uchongaji vilimsaidia kwenye vumbuzi zake nyingi sanaaa in short "neil degrasse tyson" aliwahi kutoa quote moja ambayo napenda kuitumia mpaka leo ni kwamba "SCIENTIST SIO YULE ANAYESOMEA KWA MIAKA MINGI NA KISHA AKAWA ANAINGIA MAABARA KUFANYA CHUNGUZI ,SCIENTIST NI YULE MWENYE CURIOSITY"

mambo mengi ya kisayansi yamevumbuliwa kupitia curiosity za watu .......

Am out
why out boss, keep on flooding us with those useful infos boss
 
sasa mkuu kama hao wote wamedesa kwa leonardo, kwa nn tusimpe heshima yake?
Mkuu Leonardo aliitwa jina la pili Da vinci sababu alizaliwa nje ya ndoa sasa alipewa jina lapili la mji alikozaliwa yan leonardo wa da vinci, huyu bwana mara nyingi alikuwa anaweza kuchora (painting) kwa mkono wa kulia alafu akawa anaandika kwa mkono wa kushoto at the same time, mavifaru, magari, darubin, helikopta ambayo ikaja kuwa ndege, submarine, architecture designs nyingi wamekopy kwake, unajua ile body anatomy ya binadamu ye ndio wakwa kuitandika, ndio mtu wa kwanza kuchora aina zote za meno ya binadamu na staili zake, yan biology ilijua meno ya binadamu yako 32 kupitia da vinci, alafu the city of Milan italy na miundombinu yake yooote aliifyatua yeye kmmk. JAMAA NI HATARI SANA. Article nyingi duniani zinasema

Greatest genius of all time. The one and only universal genius.

The man could paint with one hand and write a paper with the other AT THE SAME TIME! No one will ever come nearly as close artistically and in terms of being ahead of their time.

Obvious number 1
 

Attachments

  • 6D076B40-E0A7-4A95-8865-B441389390D5.jpeg
    6D076B40-E0A7-4A95-8865-B441389390D5.jpeg
    81.7 KB · Views: 8
Nilitaka kusema hivyo hivyo. Nimeshangaa nimeangalia list sijamwona wakati da’vinci ndio alikuwa hatari kabisa yani hatari kuliko wote picha lake kubwa lilitakiwa liwe pale juu kabisa, he was an Anatomist, Architect, Astronomer, Botonist, Cartographer, Engineer, Geologist, Hydrodynamicist, Mathematician, Musician, Theatre producer, Scientist, Inventor, kwahiyo huwa nashangaa sana wanapowasema kina newton , namkubali sana huyu mwamba, alizaliwa 1452 , 15th April 10:30pm na mama mmoja anaitwa Catarina, huko Florence Italy kwenye kijiji kinaitwa Da’vinci…Kwenye huu uzi Leonardo anatakiwa awe pale juu alafu picha ni KUBWA SANA MASTA
Huyo anaitwa ni 'Renaissance Man'
 
Back
Top Bottom