je nikaze roho nimkubali huyu kaka???

je nikaze roho nimkubali huyu kaka???

inakaribia mwaka sasa tangu afariki, tulikuwa marafiki sna na shost angu, nayumbishwa sana na maneno ya watu ikitokea nkimkubali na wakajua km nipo nae!, tunapenda sana na huyo kaka, japo cjamkubali lkn tunapendana! niko ktk wakati mgumu kaka nisaiedieni

Dah! hii kesi yako ngumu aisee. Kama ingekuwa mnapendana na hauyumbishwi na maneno ya watu ningekwambia go for it kwani sioni tatizo lolote kwenye haya mahusiano zaidi ya vidomodomo vya watu ambavyo vitakuandama na kama hauko strong basi vitakuyumbisha na kukukosesha raha katika mahusiano yako. Mwaka unatosha kabisa kuzika jeraha la msiba.
 
Achana nae huyo hakufai kwa sababu:

1.0 Ulishatembea na rafiki yake na kuachana, kama bado ni marafiki inaweza kuleta shida kwa hao marafiki hasa mumeo ambaye atakosa amani kila amuonapo rafiki yake na maneno ya hapa na pale ambayo yanaweza kuwafitinisha.

2.0 Still you have the chance to others, labda purposely uwe ulikuwa umefunga mlango.

3.0 Hujanijuza bado kuhusu mahusuano na huyo jamaa anayekutaka yalifikia wapi?

huyu jamaaa bado cjaingia ktk mahusiano nae! yy bado ananiomba nimkubalie hadi sasa! na bado cjamkubali!ndomana nataka ushauri wenu kwa hili coz nahisi kumpenda sana na nafsi yangu kwa upande mwengine inasita kwa nahisi km namsaliti marehemu rafk angu
 
follow your heart. Akili haiwezi kuuzidi moyo.
:thinking:
 
Mkubali uzibe pengo la shost wako. Angalizo msi do hadi mpime na mkishapima mfunge ndoa mara moja. I wish u gudluck!
 
Mkubali kiharaka,lakini angalia na wewe usije ukagongwa na gari!!
MP.
 
Mi nakushangaa, sababu unajichanganya mwenyewe. Mara unaumia, mara unampenda sana, mara unashindwa kuamua, mara unataka watu wengine tukuamulie ufanye nini wakati wewe unajua jibu lipo wazo moyoni na akilini mwako. Mwe! Ngatele une.
 
Kwaheshima ya rafiki yako naomba usimkubalie huyo jamaa kwsbb itakusumbua kiakili milele na milele,wanaume wapo wengi kuwa mvumilivu utapata tu mwanaume wa kukuoa nd nt that guy!thx
 
huyu jamaaa bado cjaingia ktk mahusiano nae! yy bado ananiomba nimkubalie hadi sasa! na bado cjamkubali!ndomana nataka ushauri wenu kwa hili coz nahisi kumpenda sana na nafsi yangu kwa upande mwengine inasita kwa nahisi km namsaliti marehemu rafk angu
Ni kweli ukikubali umemsaliti rafiki....

Mwambie 'hapana' kwa heshima ya rafiki yako.
 
mkapime ukimwi......
then kama majibu safi na moyo umemdondokea pata kitu roho inapenda...
 
bibi wewe chukua mzigo huo, acha wafu wazike wafu wao, ndio ulimpenda rafiki yako na sasa amefariki, kwa hiyo hakuna tena pingamizi,
mama tunu nae kaolewa na mume wa rafiki yake baada ya huyo rafiki kufariki, na sasa mke wa mheshimiwa woooo
sikiza moyo wako
 
naona mahusiano yako yamegubikwa na utata mkubwa, kama kuna uwezekano ni bora uachane na hayo mawazo ili jinamizi la marehemu shosti wako lisikutafune. :hand:
ya ya ya ya......., wanaume tupo wengi bhana, kwa nini usumbuliwe na utata huo,........, (lakin kaka horse power, nakumbushia kale ka stori ketu.... 'nimeingia choo cha kike' mbona kimya sana?)
 
Mambo ya Mapenzi ni mambo ya Moyo,It has to be your heart speaking to his heart.Sikiliza moyo wako,heshimu hisia zako lakini hakikisha una uhakika na hisia zako.Kwa sababu kama utakuwa umemtamani ni dhahiri kuwa jinamizi la rafiki yako litakutesa sana kwenye maisha yako.

Mapenzi yako kwake unayajua wewe,sisi huku hata kama tutashauri hatuwezi kuondoa ukweli kama unampenda au laa'Nadhani unaufahamu usemi wa LOVE IS BLIND.Kama kweli unampenda haya mambo mengine yatakuwa ni changamoto ndogo sana.

Jamii always huwa ina comment katika kila jambo,liwe zuri au baya.Sio watui wote katika jamii watakaofurahishwa na kitu chochote unachofanya.Usitafute sana kumfurahisha kila mtu.Angalia moyo wako,hisia zako,hisia za mwenzako na maisha yako ya baadaye.Je,do you see him besides you milele yote? Isijekua umemtamani tu kwa vile alikua anakuita mke mdogo.Kwa sababu kama ulikua unampenda lazima ungekuwa na wivu nae tangu rafiki yako yuko hai.Cha msingi wewe ndo mwamuzi mkuu katika hili
 
Sema na Moyo wako, Mpe MUNGU nafasi yake Chukua hatua

Habari za nani kasema nini hazina msingi wowote hapo
 
Upime moyo wako na jihakikishie mapenzi aliyonayo kwako kama ni ya kweli na sio matamanio ya kufanya uwasherati tu.
Kama kuna mapenzi ya kweli ni juu yako kufanya kama moyo wako unavyohitaji, wala usiwashirikishe mashoga watakuharibia, wakuchukulie. Wenzio wapo wanaomtaka pia, sio wewe peke wako, ukichelewa utamkosa. Ila ndoa sio kitu cha kukurupuka unatakiwa umshirikishe Mungu katika kila step unayotaka kufanya.
 
Back
Top Bottom