Vf-successfully
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 253
- 166
- Thread starter
-
- #61
Kote ni sahihi maana hapa wapo watu walio wai kuzipoteza hizo card wanauzoefu na hiloMbona unapenda sana ku-complicate mambo ndugu yangu. Kama kweli yuko huko aende hiyo benki watampa maelezo ya kutosha kulingana na kadi aliyonayo. Unafikiria kwa mfano hawawezi kujua kuwa mteja wao akipoteza kadi akiwa nje ya nchi yao anatakiwa afanye nini ili kupata mpya? Ok... tufanye hawawezi kujua procedures za Bongo kama ulivyosema, je mawasiliano hayawezekani? Hata kama benki haitaki kuwaulizia, je yeye hawezi kuulizia kwenye karne hii yenye kila aina ya mawasiliano? Kwa mfano akiandikia banki husika email kuulizia na kuulizia hapa ni wapi atapata jibu sahihi zaidi?
Wakuu Habari Zenu,
Naomba kufahamishwa niko nje ya nchi na ninataka kufungua bank account kwenye Benki ya Standard ambapo benki hii iko pia Tanzania.
Ninachotaka kujua, Je kama nikirudi Tanzania nitapata huduma za kibenki kama mteja wa Standard niwapo Tanzania maana wasiwasi ni kuwa nimefungulia huku.
Da mkuu mbona unanitishaKwa kifupi unaweza kutoa pesa ila hutaweza kuweka ukiwa nje ya hiyo nchi pia kwa Tanzania hawawezi ku access akaunti yako hadi nchi uliyofungulia account,tatizo hilo niliwahi kulipata nikiwa south África
Sent using IPhone X
Mleta mada hakuuliza masuala ya kadi, hayo mambo ya kadi tumeyaleta wachangiaji!! Yeye alizungumzia huduma za kibenki kwa ujumla wake!!Mbona unapenda sana ku-complicate mambo ndugu yangu. Kama kweli yuko huko aende hiyo benki watampa maelezo ya kutosha kulingana na kadi aliyonayo. Unafikiria kwa mfano hawawezi kujua kuwa mteja wao akipoteza kadi akiwa nje ya nchi yao anatakiwa afanye nini ili kupata mpya? Ok... tufanye hawawezi kujua procedures za Bongo kama ulivyosema, je mawasiliano hayawezekani? Hata kama benki haitaki kuwaulizia, je yeye hawezi kuulizia kwenye karne hii yenye kila aina ya mawasiliano? Kwa mfano akiandikia banki husika email kuulizia na kuulizia hapa ni wapi atapata jibu sahihi zaidi?
Ukweli usio fichikaMleta mada hakuuliza masuala ya kadi, hayo mambo ya kadi tumeyaleta wachangiaji!! Yeye alizungumzia huduma za kibenki kwa ujumla wake!!
Na ukimsoma vizuri mleta mada anaonesha wazi kwamba hili suala halifahamu vizuri na ndio maana akahisi kuwa na akaunti Standard Chartered Bahama kunaweza kusaidia kupata huduma za kibenki TZ kwavile na kwenyewe kuna Standard Chartered.
Na katika hilo wala siwezi kumshangaa, mtu yeyote asiye na uzoefu anaweza kuhisi hivyo hivyo... kwamba hii ni Stanchart, na ile ni Stanchart sasa kwanini kusiwe na uwezekano wa kupata huduma as if yupo kwenye domicile branch!!
But all in all, ikiwa hata akienda huko benki kuna uwezekano, kwa kiasi kikubwa akaambiwa haya haya aliyoambiwa hapa; sasa kuna sababu gani ya kwenda benki physically?!
Ningekuelewa endapo ungesema awa-contact customer care virtually, lakini seriously mtu aende benk physically kuuliza maswali kama haya?!
Soma vzr nilichandika acha ubishi usio na maana yoyote. Hiyo kadi nimetumia tu kama mfano. Iwe hudum iwe nini lakini maelezo ya benki ndiyo sahihi na ya kuaminika kuliko haya hapa kwa kiasi kikubwa kabisa. Namna ya kuwa-contact ni yeye mwenyewe aamue. Kama ana nafasi why not visit a branch physically? Na pia nimetoa option ya electronic. Jitahidi uache ubishi kwa jambo lililo wazi. Taratibu zinabadilika kila siku. Wewe unaweza kumshauri kulingana na uzoefu wako wa mwaka jana na hata mwezi wa kwanza mwaka huu, kumbe leo hii taratibu zimeshabadilika!Mleta mada hakuuliza masuala ya kadi, hayo mambo ya kadi tumeyaleta wachangiaji!! Yeye alizungumzia huduma za kibenki kwa ujumla wake!!
Na ukimsoma vizuri mleta mada anaonesha wazi kwamba hili suala halifahamu vizuri na ndio maana akahisi kuwa na akaunti Standard Chartered Bahama kunaweza kusaidia kupata huduma za kibenki TZ kwavile na kwenyewe kuna Standard Chartered.
Na katika hilo wala siwezi kumshangaa, mtu yeyote asiye na uzoefu anaweza kuhisi hivyo hivyo... kwamba hii ni Stanchart, na ile ni Stanchart sasa kwanini kusiwe na uwezekano wa kupata huduma as if yupo kwenye domicile branch!!
But all in all, ikiwa hata akienda huko benki kuna uwezekano, kwa kiasi kikubwa akaambiwa haya haya aliyoambiwa hapa; sasa kuna sababu gani ya kwenda benki physically?!
Ningekuelewa endapo ungesema awa-contact customer care virtually, lakini seriously mtu aende benk physically kuuliza maswali kama haya?!
Hapa watakushauri kulingana na uzoefu wao. Lakini taratibu za benki zinaweza kuwa zimebadilika hivyo bado sehemu sahihi ni benki husika.Kote ni sahihi maana hapa wapo watu walio wai kuzipoteza hizo card wanauzoefu na hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakutumia upya kadi yako.Je kama nikipoteza card ya bank ambapo nitakuwa niko Huko Tz je uwezekano wa kuipata upoje
Sent using Jamii Forums mobile app
Forex or Local Tsh Acc.Namaanisha unahamisha pesa kutoka Bahama kwenda akaunti ya Kibongo, na njia itakayotumika uwezekano mkubwa ni Wire Transfer ambayo kwa kawaida ina-range from USD 25 (+10 +X ) to USD 30(+10 +X).
Hiyo USD 25 au USD 30 ndo transfer charge, USD 10 inaenda kwa Correspondence Bank, na hiyo USD X ambayo inakuwa kati ya USD 5-10 inachukuliwa na Local Bank unakoingiza hiyo pesa!
Kwa maana nyingine, kama Bahama una USD 10K, Bongo itaingia takribani USD 9950. Kama Bongo unayo forex account, itaingia kama ilivyo lakini kama una local currency account, hizo USD 9950 zitakuwa converted into TZS na kuingizwa kwenye akaunti.
Tanzania kuna Standard Bank?Wakuu Habari Zenu,
Naomba kufahamishwa niko nje ya nchi na ninataka kufungua bank account kwenye Benki ya Standard ambapo benki hii iko pia Tanzania.
Ninachotaka kujua, Je kama nikirudi Tanzania nitapata huduma za kibenki kama mteja wa Standard niwapo Tanzania maana wasiwasi ni kuwa nimefungulia huku.
My advice goes to a Foreign Currency Account but a backup TZS Account ni muhimu!
Mimi na wewe nani mwenye ubishi usio na maana?!Soma vzr nilichandika acha ubishi usio na maana yoyote. Hiyo kadi nimetumia tu kama mfano. Iwe hudum iwe nini lakini maelezo ya benki ndiyo sahihi na ya kuaminika kuliko haya hapa kwa kiasi kikubwa kabisa. Namna ya kuwa-contact ni yeye mwenyewe aamue. Kama ana nafasi why not visit a branch physically? Na pia nimetoa option ya electronic. Jitahidi uache ubishi kwa jambo lililo wazi. Taratibu zinabadilika kila siku. Wewe unaweza kumshauri kulingana na uzoefu wako wa mwaka jana na hata mwezi wa kwanza mwaka huu, kumbe leo hii taratibu zimeshabadilika!
Forex Acc inakuokoa endapo nchi itakumbana na mfumuko wa bei.My advice goes to a Foreign Currency Account but a backup TZS Account ni muhimu!
EXACTLY...Forex Acc inakuokoa endapo nchi itakumbana na mfumuko wa bei.
Local Currency Acc unaweka hela ndogo tu kwa ajili ya matumizi ya kila siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo meeengi lakini bado huja.address nilichokuhoji! Kwanini mhusika asitumie initiative ya kuwasiliana na bank ya Bongo ambako atapata first hand info? Kama hiyo bank ya Bahamas haiwezi kujua operation za hiyo ya Bongo, wewe ndiyo utajua? Huoni kuwa hapa anaweza kabisa kupata majibu yasiyo sahihi na akayaamini lakini baadae yakajam-cost sana kama hayako sahihi? Huo muda aliotumia kuanzisha thread kuulizia kwa nini asingewasiliana na Standard Chartered Bongo ambako ndiyo wahusika?Mimi na wewe nani mwenye ubishi usio na maana?!
Narudia swali langu la awali kabisa... Bank iliyo Bahama watafahamu vipi how banks operate in another country?!
Na hapa napenda kusisitiza... Standard Chartered Tanzania ni subsidiary Bank inayo-operate under Tanzanian Banking Regulations, na ile ya Bahama kama na yenyewe ni subsidiary itakuwa ina-operate kwa regulations za Bahama!
Tofautisha kati ya subsidiary bank na foreign branch!
Kuna uwezekano mkubwa hata banking sofwares wanazotumia zikawa tofauti! Kuna uwezekano mkubwa sana tena sana mtu akiwa kwenye system za Standard Chartered Bank Tanzania hawezi ku-access account ya Standard Chartered Bank Bahama!
Na nina uhakika kwa 99% hata akienda branch ataambiwa tu kwamba ataweza ku-WDL kwa kutumia Card yake or else, anaweza ku-request wire transfer kutoka Bahama to TZ, ingawaje hivi sasa kuna njia nyingine very cheap inaitwa transferwise lakini siwezi kumshauri!!
Kwa maana nyingine, ni mtu au watu wenye uelewa na transactions za Tanzania ndio wanaoweza kumpa jibu sahihi! Akienda kuwauliza Standard Chartered Bank Bahama wanaweza hata wasijue Standard Chartered Bank Tanzania wana-issue accounts zipi, cards zipi, Cash WDL restrictions zipo vp n.k!
Kwa mfano, hata cash WDL limit per transaction kwa kutumia MasterCard kwenye non-hosting country inatofautiana kati ya nchi na nchi! Sasa unadhani hata kwa jambo dogo la kufahamu maximum cash limit pale Bahama watafahamu?!!
Na kwamba taratibu zinabadilika kila siku ni kweli lakini mabadiliko ya Standard Chartered Bank Bahama hayawezi kuwa ya Tanzania!! Hii maana yake nini?!
Unaweza kukuta wakati Bahama bado unaweza kutumia MasterCard lakini sheria mpya za BoT zikasema MasterCard na VISA Card zina-facilitate online transactions kwa urahisi na hivyo zinaweza kurahisisha money laundering na kwahiyo from now, Bank zinatakiwa kutumia normal ATM Cards, na yeyote anayetaka kufanya WDL au Deposit from or to a foreign country atumie traditional money transfer methods kamavile TT!
Hilo linawezekana lakini likifanyika Tanzania katu Bahama hawatafahamu, na matokeo yake wanaweza kumwmbia "YES, ukiwa Tanzania unaweza kutumia MasterCard" wakati kumbe Tz zimeshapigwa ban!
Maelezo meeengi lakini bado huja.address nilichokuhoji! Kwanini mhusika asitumie initiative ya kuwasiliana na bank ya Bongo ambako atapata first hand info? Kama hiyo bank ya Bahamas haiwezi kujua operation za hiyo ya Bongo, wewe ndiyo utajua? Huoni kuwa hapa anaweza kabisa kupata majibu yasiyo sahihi na akayaamini lakini baadae yakajam-cost sana kama hayako sahihi? Huo muda aliotumia kuanzisha thread kuulizia kwa nini asingewasiliana na Standard Chartered Bongo ambako ndiyo wahusika?
Ndiyo. Unapata huduma zote. Mimi mwenyewe ninaishi nje ya Tanzania. Nina akaunti ya Standard Bank hiyo hiyo. Huwa ninakwenda Tanzania mara nyingi tu na mara ya mwisho nilikuwa Tanzania miezi mitatu iliyopita. Kila wakati nikiwa Tanzania sijapata matatizo yo yote ya kutumia akaunti yangu.Wakuu Habari Zenu,
Naomba kufahamishwa niko nje ya nchi na ninataka kufungua bank account kwenye Benki ya Standard ambapo benki hii iko pia Tanzania.
Ninachotaka kujua, Je kama nikirudi Tanzania nitapata huduma za kibenki kama mteja wa Standard niwapo Tanzania maana wasiwasi ni kuwa nimefungulia huku.