Je, nikimnyima tendo nitakuwa sawa?

Ila mwanaume anaweza kuwa carrier akabeba virus akavipeleka Kwa mkewe.
 
Huyo chaguo lakoooo.....chaguo lako
 
😂😂😂 Umeolewa na waziri wa sanaa, burudani na michezo.!!
Azam tv burudani kwa woteee!!
 
Bora umpe hata ningekuwa mimi siwezi kukaa na genye na pesa ipo ntawagegeda tu huko nje.
 
Ana pepo huyo aisee , ukimchekea atakletea "MGENI" ndani.
 
Nilichoamua sitaki tena sex na yeye, tutatiana nikiwa natafuta mimba tu nikipata sitaki aniguse tena ninawatoto 2 bàdo 1 tu...
Sasa hapa utakuwa umebana na kuachia nini 😂?. Kwa sababu kama ni ngoma utainywa hapo. Siku hizi pepo za ngono zimemwagwa kuvunja na kuharibu chumi na familia. Mungu akusaidie.
 
Hutaki kuutambua ukweli wa kwamba sio wewe tu duniani mwenye Vagina wacha jamaa abadilishe ladha kachoka kila siku kula tembele
 
Hahaha
 
Shukuru Mungu huyo ndio mwanaume
Wanawake wenzako hulia kinyume..
Yaani jogoo kumtungi mtihani
 
huyo mstaarabu sana watano tu, mimi kwanza simu haigusi maana akigusa ni kosa la jinai na ukweli ni kwamba mwanaume mwenye afya kamili hawezi kua na mwanamke mmoja hii ni nature ya kidunia,
Hahaha
 
Hahaha
 
huyo mstaarabu sana watano tu, mimi kwanza simu haigusi maana akigusa ni kosa la jinai na ukweli ni kwamba mwanaume mwenye afya kamili hawezi kua na mwanamke mmoja hii ni nature ya kidunia,
Huyo dingi anafanya ufala msimtetee, hafichi mpaka anashikwa kizembe.

Mwishowe anatokea equalizer anamgongea mke

Na huyu mke wake ni bahati kwake, sababu wakati yuko busy hivyo...na yeye angekuwa anam bless raia mwingine.

Matokeo yake watu wanatengeneza magenge, halafu wanaita familia.

Hayo magenge yanatuletea baadae wezi,malaya, vichaa fresh na magasho.

Unakuta toto linamwambia mdingi au mother..."mama k**A mm**ko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…