- Thread starter
- #21
kichaa wewe 🤣 🤣 🤣 🤣haya lipia tangazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kichaa wewe 🤣 🤣 🤣 🤣haya lipia tangazo
mh weweMbona kawaidah tu sioni sababu y kuachan nae
mbele au nyuma?Hilo gari naomba lifti tafadhali!
nmechekaaaa🤣🤣🤣🤣""Ni mkaka anayepambana sana, anajali, anahudumia pale anapoweza na kule 6*6 ndo usiseme. Hamna kitu ananificha.""
Nimeelewa apo tu kwingine sitak kuingilia
Hili la kumwambia ahame nalifanyia kazi leoJisepee kwa huyo mama boy wako.. Wazazi walewa, watoto wakifikisha umri fulani, huwa wanawaondoa watoto wao home ili wakajijengee uwezo wa kujitegemea kwa kila nyanja.
Jingine ni kwamba mama anakutazama wewe kama source ya pili ya income kwake... Ndo maana anakutaka umpelekee bia kila ukienda.
KABLA YA KUONDOKA, MSHAURI JAMAA AHAME KWAO AKAPANGE... AKIGOMA NDO USEPE
Ukinipa mbele au nyuma ni wewe tu.. Lifti haina kuchaguambele au nyuma?
m nakuchagulia mbele ili usiwe ka baloziUkinipa mbele au nyuma ni wewe tu.. Lifti haina kuchagua
labda nkushauri mwenzang.....jarb kumkalisha chini mpange maisha yenu kwanz ukion unavyo jarb kumshauri kaelekei...hapo itabidi uchukue maamuzi mwenyew kama mwanamke...ila kama mama yake kuona amebadilika kwang mm naona sio mbaya since wew ndie mama yake kwa sas na unatakiwa umbadilishe positivelyHabari wadau, ama kweli yakikufika huna namna utazungumza tu. Mwenzenu yamenifika shingoni na sijui kama nikichukua maamuzi ya kumuacha nitakua nakosea au lah!
Nikiri katika mahusiano yote niliyopitia sijawahi kuwa na mwanaume anayenifanya nijisikie furaha kama huyu kaka.Uhusiano wetu una mwaka sasa. Ni mkaka anayepambana sana, anajali, anahudumia pale anapoweza na kule 6*6 ndo usiseme. Hamna kitu ananificha. In short he is a man in every woman's dream mpaka nikawa naogopa kumpoteza bwana.
Mbembe ikaja baada ya kunitambulisha kwa mama yake mzazi (Eh Mungu). Mama alinipokea vizuri tu lakini siku ya kwanza tu akaniambia ukija niletee bia, mtoto wa kike nikapeleka. Baada ya hapo kila nikiona simu ya yule mama yeye ni kutaka hela tu kwangu. Nikajiuliza ni kisa kaniona na gari au ni nini?
On top of that mama yake hatak apange, kashikilia akae nyumbani eti asiharibu hela kwa kulipa kodi. Mshahara wake wote unatumika kwenye matumizi ya nyumbani, kama anabakiza ni kiasi kdg sana. Sasa kutokana na ukaribu huo kati yao naogopa hata kumshauri asije ona nawaingilia maisha yao.
Napata hofu kuwa ntakua adui kwa yule mama, maana akibadilika kimatumizi ataona mimi ndo kisababishi. Jamaa anapanga mipango ya ndoa lakini naogopa sana kuingia kwenye ile familia. Maana hata akiongea nae kwenye simu akiomba hela akimwambia hana anamwambia ahakikishe anaipata anampa na kijana anafanya hivyo.
Je nikimuacha huyu kijana mapema nitakuwa nakosea??????
Ai wewe usifanye hivyoNatamani sana kusema neno lolote, lakini nafsi inaniambia ninyamaze....
Sawa, ata hivyo nyuma sipendelei[emoji41][emoji41]m nakuchagulia mbele ili usiwe ka balozi
Nimechekaaaaa 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Em nipiyemu namba zako kwanza,naona kuna fursa hapa,mimi najielewa sipo under control ya mama,nipe chance
sasa mbona ulitaka nikuchagulie kigeugeu na wwSawa, ata hivyo nyuma sipendelei[emoji41][emoji41]
kivip mkuu?Unakosea tena sana tuuu
Ukimuacha tupe mrejeshoHabari wadau, ama kweli yakikufika huna namna utazungumza tu. Mwenzenu yamenifika shingoni na sijui kama nikichukua maamuzi ya kumuacha nitakua nakosea au lah!
Nikiri katika mahusiano yote niliyopitia sijawahi kuwa na mwanaume anayenifanya nijisikie furaha kama huyu kaka.Uhusiano wetu una mwaka sasa. Ni mkaka anayepambana sana, anajali, anahudumia pale anapoweza na kule 6*6 ndo usiseme. Hamna kitu ananificha. In short he is a man in every woman's dream mpaka nikawa naogopa kumpoteza bwana.
Mbembe ikaja baada ya kunitambulisha kwa mama yake mzazi (Eh Mungu). Mama alinipokea vizuri tu lakini siku ya kwanza tu akaniambia ukija niletee bia, mtoto wa kike nikapeleka. Baada ya hapo kila nikiona simu ya yule mama yeye ni kutaka hela tu kwangu. Nikajiuliza ni kisa kaniona na gari au ni nini?
On top of that mama yake hatak apange, kashikilia akae nyumbani eti asiharibu hela kwa kulipa kodi. Mshahara wake wote unatumika kwenye matumizi ya nyumbani, kama anabakiza ni kiasi kdg sana. Sasa kutokana na ukaribu huo kati yao naogopa hata kumshauri asije ona nawaingilia maisha yao.
Napata hofu kuwa ntakua adui kwa yule mama, maana akibadilika kimatumizi ataona mimi ndo kisababishi. Jamaa anapanga mipango ya ndoa lakini naogopa sana kuingia kwenye ile familia. Maana hata akiongea nae kwenye simu akiomba hela akimwambia hana anamwambia ahakikishe anaipata anampa na kijana anafanya hivyo.
Je nikimuacha huyu kijana mapema nitakuwa nakosea??????
Nilitaka nisikukwaze kwasababu wewe ndio mtoa lifti,sasa mbona ulitaka nikuchagulie kigeugeu na ww
...nje ya mada , mimi nataka nyumambele au nyuma?