Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

""Ni mkaka anayepambana sana, anajali, anahudumia pale anapoweza na kule 6*6 ndo usiseme. Hamna kitu ananificha.""
Nimeelewa apo tu kwingine sitak kuingilia
nmechekaaaa🤣🤣🤣🤣
 
Jisepee kwa huyo mama boy wako.. Wazazi walewa, watoto wakifikisha umri fulani, huwa wanawaondoa watoto wao home ili wakajijengee uwezo wa kujitegemea kwa kila nyanja.

Jingine ni kwamba mama anakutazama wewe kama source ya pili ya income kwake... Ndo maana anakutaka umpelekee bia kila ukienda.

KABLA YA KUONDOKA, MSHAURI JAMAA AHAME KWAO AKAPANGE... AKIGOMA NDO USEPE
Hili la kumwambia ahame nalifanyia kazi leo
 
Habari wadau, ama kweli yakikufika huna namna utazungumza tu. Mwenzenu yamenifika shingoni na sijui kama nikichukua maamuzi ya kumuacha nitakua nakosea au lah!

Nikiri katika mahusiano yote niliyopitia sijawahi kuwa na mwanaume anayenifanya nijisikie furaha kama huyu kaka.Uhusiano wetu una mwaka sasa. Ni mkaka anayepambana sana, anajali, anahudumia pale anapoweza na kule 6*6 ndo usiseme. Hamna kitu ananificha. In short he is a man in every woman's dream mpaka nikawa naogopa kumpoteza bwana.

Mbembe ikaja baada ya kunitambulisha kwa mama yake mzazi (Eh Mungu). Mama alinipokea vizuri tu lakini siku ya kwanza tu akaniambia ukija niletee bia, mtoto wa kike nikapeleka. Baada ya hapo kila nikiona simu ya yule mama yeye ni kutaka hela tu kwangu. Nikajiuliza ni kisa kaniona na gari au ni nini?

On top of that mama yake hatak apange, kashikilia akae nyumbani eti asiharibu hela kwa kulipa kodi. Mshahara wake wote unatumika kwenye matumizi ya nyumbani, kama anabakiza ni kiasi kdg sana. Sasa kutokana na ukaribu huo kati yao naogopa hata kumshauri asije ona nawaingilia maisha yao.

Napata hofu kuwa ntakua adui kwa yule mama, maana akibadilika kimatumizi ataona mimi ndo kisababishi. Jamaa anapanga mipango ya ndoa lakini naogopa sana kuingia kwenye ile familia. Maana hata akiongea nae kwenye simu akiomba hela akimwambia hana anamwambia ahakikishe anaipata anampa na kijana anafanya hivyo.

Je nikimuacha huyu kijana mapema nitakuwa nakosea??????
labda nkushauri mwenzang.....jarb kumkalisha chini mpange maisha yenu kwanz ukion unavyo jarb kumshauri kaelekei...hapo itabidi uchukue maamuzi mwenyew kama mwanamke...ila kama mama yake kuona amebadilika kwang mm naona sio mbaya since wew ndie mama yake kwa sas na unatakiwa umbadilishe positively
 
Natamani sana kusema neno lolote, lakini nafsi inaniambia ninyamaze....
 
Em nipiyemu namba zako kwanza,naona kuna fursa hapa,mimi najielewa sipo under control ya mama,nipe chance
 
Habari wadau, ama kweli yakikufika huna namna utazungumza tu. Mwenzenu yamenifika shingoni na sijui kama nikichukua maamuzi ya kumuacha nitakua nakosea au lah!

Nikiri katika mahusiano yote niliyopitia sijawahi kuwa na mwanaume anayenifanya nijisikie furaha kama huyu kaka.Uhusiano wetu una mwaka sasa. Ni mkaka anayepambana sana, anajali, anahudumia pale anapoweza na kule 6*6 ndo usiseme. Hamna kitu ananificha. In short he is a man in every woman's dream mpaka nikawa naogopa kumpoteza bwana.

Mbembe ikaja baada ya kunitambulisha kwa mama yake mzazi (Eh Mungu). Mama alinipokea vizuri tu lakini siku ya kwanza tu akaniambia ukija niletee bia, mtoto wa kike nikapeleka. Baada ya hapo kila nikiona simu ya yule mama yeye ni kutaka hela tu kwangu. Nikajiuliza ni kisa kaniona na gari au ni nini?

On top of that mama yake hatak apange, kashikilia akae nyumbani eti asiharibu hela kwa kulipa kodi. Mshahara wake wote unatumika kwenye matumizi ya nyumbani, kama anabakiza ni kiasi kdg sana. Sasa kutokana na ukaribu huo kati yao naogopa hata kumshauri asije ona nawaingilia maisha yao.

Napata hofu kuwa ntakua adui kwa yule mama, maana akibadilika kimatumizi ataona mimi ndo kisababishi. Jamaa anapanga mipango ya ndoa lakini naogopa sana kuingia kwenye ile familia. Maana hata akiongea nae kwenye simu akiomba hela akimwambia hana anamwambia ahakikishe anaipata anampa na kijana anafanya hivyo.

Je nikimuacha huyu kijana mapema nitakuwa nakosea??????
Ukimuacha tupe mrejesho
 
Back
Top Bottom