Jipu
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 2,950
- 6,215
Cristiano Ronaldo aeleza sababu ya kuachana na Irina Shayk
Wakuu Cristiano Ronaldo ameitoa sababu ya kuachana na Irina Shayk. Cr7 anasema Kwamba Tulielewana sana, lakini alikuwa na tabia ya kusema: 'Kwanini unamleta mama yako kila mahali tunakokwenda? Lazima uchague kati yangu na yeye Cr7 anaeleza pia Kwamba Nilimjibu kuwa Sitoweza kamwe kumtelekeza...