Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

uwiii
 
ndio huwa inakuwa hivyo mamkwe wa hivyo mwisho atuandoka umwache yeye na mwanae, huyo kijana jifunge kiume mwambie wasiwasi wako ili uone kama anaona hisia zako au ana-ignore, kama ana-ignore jua huyo bado hajakomaa/hana-expirience au hataki kuchukua tahadhari. Sisi wakristo husema mme huwa na mke mmoja tu na si vinginevyo.
 
Pambana mama! Tukisema kila mtu aweke "mambo ya mamamkwe wake hapa" ili tubadilishane kila mtu akimbilie anapoona pana unafuu, trust me 90% tutarudi kwa mamawakwe wale wale! Maana utamtazamaaaa mama mkwe mpya utaona hapana bora zimwi likujualo!

Mwisho Wa siku kumbuka kuanzisha uhusiano mpya ni kazi na gharama kubwa! Yaani hapo formula ni Moja tu! Mmwagie mamaake moyo wako wooote! Ukiweza hilo amini amini utakua mwanamke mwenye raha kuliko wanawake wote chini ya jua!
 
Nashukuru sana
 
There is a price to pay and it is certainly not hefty.
 
There is a price to pay and it is certainly not hefty.
Dah, umetema yai laini sana Mkuu! Hilo neno la mwisho sijawahi kuliona, siunajua tena sisi wengine wa "st. Abdallah"
 
Ooooooooh, bila samahani Mkuu! Asante kwa kunitafunia! By the way ni kweli new gal anatakiwa ajue kua kila Tamu ina chungu yake!
Akisubiria apate a perfect man, a perfect mother in law a perfect life atafeli mno.

Ujana usimdanganye akajiona bado mdogo wanaume wapo.

Hapo hapo alipo abonyeze hand break avute juu.
 
kosa sio jamaa kosa liko kwa mama kama jamaa mna elewana naomba kaa chini jaribu kuongea na na muelezee juu ya mama yake mzazi naona inaweza saidi zaidi kuliko kuwa na mawazo na maumivuuu....

ka story yako tu mimi nimeona mamam ni kero
 
Akisubiria apate a perfect man, a perfect mother in law a perfect life atafeli mno.

Ujana usimdanganye akajiona bado mdogo wanaume wapo.

Hapo hapo alipo abonyeze hand break avute juu.
Naaam! Hawezi kupata mahusiano yaliyo perfect kote! Hua nawashauri vijana wanaotaka kuoa kua ukiona mwenzio angalau anamazuri 60% basi chukua oa!
 
kosa sio jamaa kosa liko kwa mama kama jamaa mna elewana naomba kaa chini jaribu kuongea na na muelezee juu ya mama yake mzazi naona inaweza saidi zaidi kuliko kuwa na mawazo na maumivuuu....

ka story yako tu mimi nimeona mamam ni kero
Mkuu hiyo Avator yako inanyegesha mno!

Tusimuhukumu Mama tu! Hatujui kama alihangaika vipi kumfikisha kijana wake hapo alipo!
 
Mmmh!!!, hicho nacho n kipengele,,, just think twice kabla yakufnya maamuzi ya aina yoyte yale.
 
Sio sahihi kumuacha mwanaume (utakuwa umemuonea) maana hapo kosa ni la mama mkwe na sio mwanaume hivyo unapaswa kuongea nae kwanza ila kikubwa msisitize sana kuhusu umuhimu wa nyinyi kupanga ili muanze kujiandaa na maisha yenu kama familia, jaribu kuongea nae zaidi ya mara mbili tatu katika lugha ambazo hatoona kama unataka amtelekeze mama yake!!!
 
hata dada anatatizo moja kufanya mapenzi na mtu ambaye hawajafunga ndoa pili kuna element ya ubinafsi kuombwa hela akachanganya eti kwa kuwa ana "gari'
Na ameanza kulalamika mapema sana, je ataweza kumtunza huyo Mama akiwa mzee? Ikiwa ni pamoja na kumpatia huduma muhimu pale atakapokuwa hawezi kabisa?
 
Tiririka hapa nini pm sijui mp acha hizo
 
kosa sio jamaa kosa liko kwa mama kama jamaa mna elewana naomba kaa chini jaribu kuongea na na muelezee juu ya mama yake mzazi naona inaweza saidi zaidi kuliko kuwa na mawazo na maumivuuu....

ka story yako tu mimi nimeona mamam ni kero
Mama hawezi kuwa kero please!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…