Je nimeharibu gari kwa kuliendesha huku taa ya oil ikiwaka?

Je nimeharibu gari kwa kuliendesha huku taa ya oil ikiwaka?

Mkuu, iliwaka taa kama ya chano hivi. Ila fundi alivyobadirisha Oil na Ku-flush engine mambo yakawa mukide.

779a3ecab96eed821453d0c65aa637e9.jpg
Unaona sasa we ulipanic bure tu hyo taa ikiwaka haiwezi kuzuia gari kuto kutembea taa ya njano yeyote kwenye dashbord hapo ikiwaka maanake inakutahadharisha tu tatizo kwenye jambo fulani maana ake ni kwamba unaweza ukaendelea kulitumia hilo gari lakini hakikisha unamuona specialist ili akueleze tatizo ni nn au imewaka kwa sababu gani, mfano hyo taa inaweza kuwaka hata kama mfuniko wa petroli hujafunga vzr, au umetoka carwash kuna vimajiji viliingia kwenye system ya umeme, lkn pia inaweza kuwaka kama switch ya fan yanautomatic kama imejam so upozaji wa injini unakuwa hafifu, lakin inaweza kuwaka pia kama pepar element ya aircleaner ni chafu kupitiliza yan kifupi sababu ni nyingi sana
Kwa ushahuri we nicheki tu me ni cyo fundi ila nina ka grade two cha veta cha dizel injini mkuu.
 
Unaona sasa we ulipanic bure tu hyo taa ikiwaka haiwezi kuzuia gari kuto kutembea taa ya njano yeyote kwenye dashbord hapo ikiwaka maanake inakutahadharisha tu tatizo kwenye jambo fulani maana ake ni kwamba unaweza ukaendelea kulitumia hilo gari lakini hakikisha unamuona specialist ili akueleze tatizo ni nn au imewaka kwa sababu gani, mfano hyo taa inaweza kuwaka hata kama mfuniko wa petroli hujafunga vzr, au umetoka carwash kuna vimajiji viliingia kwenye system ya umeme, lkn pia inaweza kuwaka kama switch ya fan yanautomatic kama imejam so upozaji wa injini unakuwa hafifu, lakin inaweza kuwaka pia kama pepar element ya aircleaner ni chafu kupitiliza yan kifupi sababu ni nyingi sana
Kwa ushahuri we nicheki tu me ni cyo fundi ila nina ka grade two cha veta cha dizel injini mkuu.
Mkuu, nitakutafuta aka ka engine ukaangalie, 1NZ FE VVTi
 
Mfano Geabox ya automatic ya Nissan x _trail inauzwa lita 40,000hadi 45,000 ukiambiwa unasema bei kubwa weka ya kawaida fundi anakuwekea asiejua baada muda Geabox inakufa tafadhari pata ushauri sio wote wanaoweka oil na kumwaga wanajua
 
Service hio hio unayosema wewe...oil change. Wenzetu Ulaya wanafanya 10k-16k interval or annual, whichever comes first. Yaani unafanya service baada ya km 15,000 au baada ya miezi kumi na mbili hata kama hujafikisha km 15k. Sasa kwa utaratibu huu ukikuta mtu anapitisha service anaweza kupiga 20,000km bila service halafu unauziwa gari wewe huku dunia ya tatu....magari ya aina hii yanaingizwa sitaki kutaja wanaoingiza nisije kuonekana nina bifu za kibiashara. Ila kuna kampuni maarufu inaleta magari yana hali mbaya sana.
Mkuu ni pm hayo makampuni yenye gari mbovu maana nampango wa kuagiza soon
 
UNAPO BADIRISHA OIL MAKE SURE PIA UNA REPLACE OIL FILTER PIA KUTUMIA OIL YENYE UBORA
ZIPO SABABU NYING ZINAZOWEZA SABABISHA TAA YA OIL KUWAKA
{1}UCHAFU KTK OIL WAYS,FILTER
kutoka na matumiz yasiyo bora ya oil
{2}short
 
Mfano Geabox ya automatic ya Nissan x _trail inauzwa lita 40,000hadi 45,000 ukiambiwa unasema bei kubwa weka ya kawaida fundi anakuwekea asiejua baada muda Geabox inakufa tafadhari pata ushauri sio wote wanaoweka oil na kumwaga wanajua
Mkuu hiyo oil ni namba ngap na kampun gani
 
Service hio hio unayosema wewe...oil change. Wenzetu Ulaya wanafanya 10k-16k interval or annual, whichever comes first. Yaani unafanya service baada ya km 15,000 au baada ya miezi kumi na mbili hata kama hujafikisha km 15k. Sasa kwa utaratibu huu ukikuta mtu anapitisha service anaweza kupiga 20,000km bila service halafu unauziwa gari wewe huku dunia ya tatu....magari ya aina hii yanaingizwa sitaki kutaja wanaoingiza nisije kuonekana nina bifu za kibiashara. Ila kuna kampuni maarufu inaleta magari yana hali mbaya sana.
Kampuni yenye ofisi pale naniliu.....

Acha nisepe
 
MREJESHO WAKUU.

Fundi amelichukua. Kabla hajafungua chochote, aka-flush engine kwa kuweka liquid flani (kama 0.5 liter hivi). Baada ya kutoa Oil. Oil ilikua chafu sana. Baada ya hapo akafungua Sump kule chini ambako Oil inakaa/ inalala gari likiwa halijawashwa. Kule kulikua na ka-gauze flani (mesh, chekecheo hivi) kamezibwa sana na oil chafu/ ilioganda kama tope hivi. Hivyo Oil ilikua haipiti ili kuja juu. Ndio maana sensor ikasema hakuna Oil coz juu haifiki. NB. ingawa nikipima oil level ni nzuri. kwahiyo, oil level inakua poa ila OIL PRESSURE ipo low.
oil Pump haijawa damaged. so sump imesafishwa, oil mpya ndio inawekwa na filter mpya inafungwa.

Sijafanya computer diagnosis, jamaa wa diagnosis (member wa humu JF) alinipigia cm na kusema sorry kwa kutofika jana. ila amenipa ushauri mzuri ambao nilimwambia fundi pia na nadhani umesaidia (aliongelea kufungua sump pia).

Shukrani sana wakuu, ingawa chombo bado haijakamilika ila naona afadhali.

Kikiwashwa, tutacheki tena tuone kama taa yoyote itawaka hafu nitarudisha feedback.
Umenisaidia sana.
 
Back
Top Bottom