obsesd
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 1,225
- 529
mmh uko sahihi kabisa na fikira zako.mi nilifikiri ni wanawake tu ndo wanaolalamika kuhusu simu..
eti hajanipigia..
mara sms anachelewa kujibu
mara nikimpigia anachelewa kupokea....
babu zetu na bibi zetu walifaidi mno kuishi bila simu...
huyo mwanaume wa kununa back instead ya kuface tatizo na kulitokomeza sijui wa wap??
mpigie bana kaka, kununa nuna tabia za kike kweli tena.
handle mambo yako kiume zaidi sawa??