Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tushawambia wakiwa waongo wawe na memory hawaelewi ona sasa kaburi lishakuliwa.Mrudie tu maana yule mwingine ana kidudu hakikuridhishi.View attachment 2835759
Na wewe kwanini ulikata mawasilianoKwanini mliachana?
Best friend upo za muda mrefuKwanini mliachana?
Watu mmefukua makaburiHizi post tunazotumaga huku tujue pia kuna archives jaman. Nimecheka kama mazuri
Lazima maana sisi ndo wale archivist tunaojua kusave records zetuWatu mmefukua makaburi
HongeraLazima maana sisi ndo wale archivist tunaojua kusave records zetu
hahahahah
waongo wawe na kumbukumbu
Ila wewe jamaa 😂😂😂Wakati mnaachana ulituomba ushauri?
Pambana na hali yako,tuna mambo mengi ya maana.
Kuna mkaka tulikuwa kwenye mahusiano ila tuliachana miaka 5 imepita sasa amenitafuta turudiane. Na mimi nipo single. Kumrudia mpenz mlieachana kuna shida yoyote. Maana kuna msemo eti ex harudiwi.
Kwa wavuvi camp watrja wamekalia viti sana?Sema kabla ya yote hakikisha mnapimana maradhi yote kuanzia HIV hadi GONO sugu.
Tatizo ni kuwa haitakuja kuwa kama zamani, pia uwezekano wa compatibility ya kinu na mtwangio kuendana kama zamani ni mdogo sana.