kibla matata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2020
- 412
- 380
Umenitoa tongo tongo mkuu🙏🙏Viwanja vya ndege, Mbuga za Wanyama, Majeshi, Ardhi, n.k.
Ashhh noma kweli na ndege tena
Noma kweliKushika vyanzo vyote vya mapato vya nchi mdaiwa mpaka Deni liishe
Sasa hivyo vitu wanavikamataje wakati wanaweza kuzuiwa kuingia nchini?Viwanja vya ndege, Mbuga za Wanyama, Majeshi, Ardhi, n.k.
Yapo makubaliano yanayowekwa hapo kabla kwa kuwa mkopaji huwa katika hali ngumu ya uchumi hivyo hujikuta anasaini Kila kilicho kwenye mkatabaSasa hivyo vitu wanavikamataje wakati wanaweza kuzuiwa kuingia nchini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bilashaka baadhi ya mali za nchi husika zitakamatwa na/au kusimamiwa na wadai ili kufidia au kulipa deni. Hakuna mkopo hutolewa bila dhamana.Tunafahamu kwamba mtu yeyote yule au taasisi inapokwenda kuchukua mkopo bank au kwa mtu lazima kwanza kuwe na makubaliano. Makubaliano hayo ni pamoja na dhamana ya kitu fulani.
Je, taifa lolote linapokopa fedha bank au kwa taifa lingine dhamana huwa ni nini na endapo nchi ikashindwa kulipa deni kwa muda muafaka nini hutokea?
Maana kuna mataifa tunasikia yana daiwa madeni tangu yapate uhuru hadi leo bado hawajalipa...
NAOMBA WAJUZI WA MAMBO MNIJUZE [emoji120][emoji120][emoji120]
Mbona Dr Magufuli anajenga sana barabara na madarajaUkigoma kulipa ina maana IMF na World bank, wanakata au kupunguza ushirikiano na wewe(haupati tena faida za kuwa kule)hili ni jambo kubwa baya ukifanyiwa, na baadae labda ikifikia kukuwekea vikwazo vya biashara, mwenyewe utaamua kukaa mezani ulipe kidogo kidogo.
NB:Hata marekani ambae ni mfadhili mkubwa ana deni World Bank kama sikosei, mikopo ni muhimu katika kukuza uchumi,tatizo ni tunaitumiaje
Kwa huku kwetu ngazi ya taifa inatumia mkopo kama ngazi ya familia yani kula vizuri mapocho pocho kuliko kujenga😊