kibla matata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2020
- 412
- 380
Tunafahamu kwamba mtu yeyote yule au taasisi inapokwenda kuchukua mkopo bank au kwa mtu lazima kwanza kuwe na makubaliano. Makubaliano hayo ni pamoja na dhamana ya kitu fulani.
Je, taifa lolote linapokopa fedha bank au kwa taifa lingine dhamana huwa ni nini na endapo nchi ikashindwa kulipa deni kwa muda muafaka nini hutokea?
Maana kuna mataifa tunasikia yana daiwa madeni tangu yapate uhuru hadi leo bado hawajalipa...
NAOMBA WAJUZI WA MAMBO MNIJUZE 🙏🙏🙏
Je, taifa lolote linapokopa fedha bank au kwa taifa lingine dhamana huwa ni nini na endapo nchi ikashindwa kulipa deni kwa muda muafaka nini hutokea?
Maana kuna mataifa tunasikia yana daiwa madeni tangu yapate uhuru hadi leo bado hawajalipa...
NAOMBA WAJUZI WA MAMBO MNIJUZE 🙏🙏🙏