Je, nini hutokea endapo taifa lolote lile ulimwenguni litashindwa kulipa deni?

Je, nini hutokea endapo taifa lolote lile ulimwenguni litashindwa kulipa deni?

Mbona Dr Magufuli anajenga sana barabara na madaraja
Uko serious?Au kila wakati ni wakati wa Magufuli this Magufuli that, ungebakia katika kujaribu kumwelewesha mleta thread.

Anyway hata wakati huu Capital Expenditure (Madaraja e.t.c) ni ndogo ukilinganisha na Recurrent Expenditure(Mishahara e.t.c) ambayo kwa my POV ni kama ngazi ya familia pesa nyingi tunabadilishia mboga na mavazi,harusi e.t.c kuhusu matofali tunaenda kidogo kidogo.

So your new GodMan,Kiongozi wa malaika bado hajazikimbia hizi hali. "Jinale lihimidiwe"in Kangi voice 😆😆😆😆
 
Uko serious?Au kila wakati ni wakati wa Magufuli this Magufuli that, ungebakia katika kujaribu kumwelewesha mleta thread.
Anyway hata wakati huu Capital Expenditure (Madaraja e.t.c) ni ndogo ukilinganisha na Recurrent Expenditure(Mishahara e.t.c) ambayo kwa my POV ni kama ngazi ya familia pesa nyingi tunabadilishia mboga na mavazi,harusi e.t.c kuhusu matofali tunaenda kidogo kidogo.
So your new GodMan,Kiongozi wa malaika bado hajazikimbia hizi hali. "Jinale lihimidiwe"in Kangi voice 😆😆😆😆
Wanasema tumuache ajiongezee miaka mingine mitano.
 
Unaanza kugawa nyara za Taifa mf mto,ziwa,mkoa,wanyama,mbuga,madini nk
 
Tunafahamu kwamba mtu yeyote yule au taasisi inapokwenda kuchukua mkopo bank au kwa mtu lazima kwanza kuwe na makubaliano. Makubaliano hayo ni pamoja na dhamana ya kitu fulani.

Je, taifa lolote linapokopa fedha bank au kwa taifa lingine dhamana huwa ni nini na endapo nchi ikashindwa kulipa deni kwa muda muafaka nini hutokea?

Maana kuna mataifa tunasikia yana daiwa madeni tangu yapate uhuru hadi leo bado hawajalipa...

NAOMBA WAJUZI WA MAMBO MNIJUZE 🙏🙏🙏
Tafuta rescue package/proposal ya ugiriki baada ya kushindwa kulipa dena la washirika wake.
 
Tunafahamu kwamba mtu yeyote yule au taasisi inapokwenda kuchukua mkopo bank au kwa mtu lazima kwanza kuwe na makubaliano. Makubaliano hayo ni pamoja na dhamana ya kitu fulani.

Je, taifa lolote linapokopa fedha bank au kwa taifa lingine dhamana huwa ni nini na endapo nchi ikashindwa kulipa deni kwa muda muafaka nini hutokea?

Maana kuna mataifa tunasikia yana daiwa madeni tangu yapate uhuru hadi leo bado hawajalipa...

NAOMBA WAJUZI WA MAMBO MNIJUZE 🙏🙏🙏
We hujasikia China imechukua mgodi wa shaba kule Zambia?
 
Back
Top Bottom