Hicho ndicho kilifanyika Buguruni ..pale na hakitawezekana.. walifanya wamarekani na the famous "projects" ikafail.Bonge moja la idea...
Aiseee....Hicho ndicho kilifanyika Buguruni ..pale na hakitawezekana.. walifanya wamarekani na the famous "projects" ikafail.
Majengo ni miundombinu tu ya kutekeleza mfumo.. mtu huyo huyo ukimuweka ghorofani unamkatili riziki yake iko chini.. na ghafla rich people will take over. Sinza ilikuwa kwa ajili ya watu masikini,
Mbweni palivyopangwa squatter zikawabolished na wakapewa viwanja.. waliuza na wakakimbilia bunju na boko wakafanya masquatter makubwa..
Kuwa na mji Bora Ni kuboresha akili. Basi.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Shida kubwa hii Mipango inafail kwa sababu ya mambo mengi. Kilicho bora ni kwa ajili ya walio bora. Maana kilicho bora Ni gharama.UN walikuwa na mpango wa kupaboresha wakatu ule Anna Tibaijuka ni mkuu wa UN habitat haieleweki huu mpango uliishia wapi au hela zilikuja zikaliwa
Hapana haya mambo hayapo Tanzania pekee ukienda kenya kuna kibera, South Africa kuna soweto dawa ni kujenga miundo mbinu jenga maghorofa wakae wakitaka kuuza au kupangisha ni juu yao.Shida kubwa hii Mipango inafail kwa sababu ya mambo mengi. Kilicho bora ni kwa ajili ya walio bora. Maana kilicho bora Ni gharama.
Ukitaka Manzese ibadilike, lazima wanaokaa Manzese wabadilike. It's as simple as that.
Hata ukiwabeba wa manzese ukawapeleka masaki na wamasaki ukawapeleka manzese miezi 12 tu.. Manzese itakuwa Masaki na Masaki itakuwa Manzese.
Kuboresha Manzese, Boresha kipato chao, Boresha Afya zao, Boresha Elimu yao.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tatizo unataka kutatua tatizo lako la displeasure. Haufurahishwi.. lakini ili uwe na utatuzi was kudumu, sustainable solution... Lazima utibu mzizi wa tatizo..Hapana haya mambo hayapo Tanzania pekee ukienda kenya kuna kibera, South Africa kuna soweto dawa ni kujenga miundo mbinu jenga maghorofa wakae wakitaka kuuza au kupangisha ni juu yao.
Miji kama manzese ni kitovu cha uhalifu, umalaya na magonjwa ya kuambukiza
Tunazungumzia kuboresha makazi ukiboresha makazi unatatua matatizo kama uhalifu, umalaya na biashara nyingine haramu pia unaondoa magonjwa ya mlipuko kama kipindupindi iwapo wataamua kuuza ni juu yao ila maeneo hayo yatabaki salama wengine wanaweza wasiuze wakapangisha tayari watakuwa na kipato cha ziadaTatizo unataka kutatua tatizo lako la displeasure. Haufurahishwi.. lakini ili uwe na utatuzi was kudumu, sustainable solution... Lazima utibu mzizi wa tatizo..
Na tatizo la wakazi wa Kibera, wa soweto na Manzese, vingunguti, msasani bonde la mpunga ni, Yale Yale Umasikini, Elimu Duni na kusahauliwa na mfumo.
Hakuna mradi Tanzania, Kenya Wala South Afrika unaowatambua masikini. Ulaya ziko Affordable Housing Schemes and trailer parks.. lakini bado wanashida ya homelessness.. wewe Afrika usiyekuwa na mfumo Sahihi utawezana wapi..
Kwa kifupi Miji Ni hardware, ya kutumiwa na mifumo laini Sahihi(software) Kama sheria na mifumo ya Usimamizi kumuwezedha mwanadamu kuishi maisha mazuri.
Kama ilivyo kwa kila kitu chenye asili hiyo ya mifumo na hardware.. usipomuandaa mtumiaji wake vizuri hawezi kufikia optimal inteded use of the infrastructure.
Watu wa Manzese wakiwa na Elimu Bora, Afya Bora na Uchumi Imara, watajenga nyumba bora, watafanya maamuzi sahihi. Watalipa Kodi ya kutosha kuweza kufanya rehabilitation ya miundombinu.
Wazo lako ni jema Kama one time solution..na tilikwisha ijaribu pale Buguruni, na tukaikimbia maana sio endelevu. Unawahamisha ..unawaweka gorofani wanauza wanaenda squatter unarudia cycle itakuwa hiyo hiyo milele. Mind you ongezeko la watu masikini linaendelea kukua.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wakishakuuza unadhani wataenda wapi!?Tunazungumzia kuboresha makazi ukiboresha makazi unatatua matatizo kama uhalifu, umalaya na biashara nyingine haramu pia unaondoa magonjwa ya mlipuko kama kipindupindi iwapo wataamua kuuza ni juu yao ila maeneo hayo yatabaki salama wengine wanaweza wasiuze wakapangisha tayari watakuwa na kipato cha ziada