FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Mwanasheria anasema, kuoa na kufunga ndoa ni vitu viwili tofauti, binafsi yake hapendelei kufunga ndoa sababu ya ‘repercussions’ endapo mtagombana.
Anasema ni bora uwe na ‘X’ kuliko kuwa na ‘Mtalaka / Mtaliki’.
===========================
www.jamiiforums.com
Ahsanteni wanasheria.
Anasema ni bora uwe na ‘X’ kuliko kuwa na ‘Mtalaka / Mtaliki’.
Pep Guardiola amekamilisha talaka kwa kupoteza Jumba na Nusu ya utajiri wake, mtalaka adai Pep alikuwa bize na mpira
Pray for Pep Soma pia https://www.jamiiforums.com/threads/pep-guardiola-aachana-na-mkewe-baada-ya-miaka-zaidi-ya-30-kuwa-pamoja.2297069/
Ahsanteni wanasheria.