mkuu heshima kwako kaka mkubwa..[emoji4] [emoji4]
Lakini mkuu kumbuka kuwa kifo cha huyu jamaa kimeleta utata mwingi sana kwa sababu aliwahi kuhukumiwa kifungo cha maisha kutokana na kesi ya kumuua mke wake wa pili na kupelekea Hatimaye kushtakiwa na mauaji ya mke wake mwaka 1998, alikimbilia Costa Rica, kisha Panama, Venezuela na hatimaye kwenda Thailand, ambapo alikamatwa mwaka 2002.
Alirejeshwa Atlanta kwa kesi, alihukumiwa mwaka 2006 na kuhukumiwa maisha ya gerezani.
Alikuwa na mwendesha mashtaka David Boone ambaye alikuwa anamtetea kwani inasemekana alifarakana na huyo mke wake wa pili.
Mke wake aliamua kumshitaki klkwani aliamini kuwa endapo kesi itafika mahakamani basi sehemu ya mali za Sullivan atapewa huyo mwanamke kwani alidai taraka.
Ndipo bwana James akamua kumtafuta jangili mmoja anaitwa Phillip Harwood na kumpa kiasi cha , $25,000 kumuua mke wake Lita Sullivan alipofungua mlango wa nyumba yake ya mji wa Atlanta ..
Lakini kutoka na kesi hiyo kuunguruma mahakamani kwani ilikuwa ni lazima James Sullivan ahukumiwe kifungo cha maisha lakini wakili wake alimtetea ambapo ilipelekea kukamatwa kwa yule jangili aliyelipwa pesa ndefu na kufungwa miaka 20 .
Lakini James alifungwa kifungo cha nje kwani wakili wake alimtetea kuwa alikuwa bado ana mawazo juu ya kifo cha mke wake hivyo hangeweza kuvumilia maisha ya gerezani ,.
kutokana na kuwa na mawazo ya kufiwa na mke wake au sijui alikuwa anafanya unafiki ndo akawa na mawazo ya hapa na pale na kupelekwa kujiua yeye mwenyewe shambani huko bila kumhusisha mtu..
shida ilikuwa ...... ni wapi mwili wake ulipotelea,..
Baadhi ya documentary zinasema kifo chake kinahusishwa na FBI waliokuwa wanamsaka kwa kuwa alikuwa na makosa mengi sana ikiwemo la kuimba nyimbo ambazo zilikuwa zinawapa hofu kubwa watu( Alliens and UFO) na kukimbiza gari hasa nyakati za usiku kwa kasi sana ..japo alipewa onyo lakini hakuiacha tabia ile..
Lkini pia inasemekana kuwa familia ya marehemu Lita ndo ilipanga njama za kulipiza kisasi kwa kumuua binti yao..hivyo na wao wakaamua kumpoteza bila ushahidi
Lakini documentary zingine zinasema jamaa aliuliwa na FBI kwani alianza kuzungumzia mambo ya mental abduction yaliyokuwa yanafanywa na Aliens kwa viongozi wastaafu katika serikali ya marekani kuhofia kutoa siri za uhusiano wa seeikali ya marekani na Viumbe toka sayari za mbali( Aliens)..
Lakini ushahidi mwingine unasema kuwa ilikuwa ni hofu yake ya kuogopa kifungo cha maisha hivo aliamua kujiua kwa kuwa alikuwa mkiwa aliyejaa hofu na roho ilikuwa inamsuta kwa kumuua mkewe...
Mpaka leo bado FBI wanaendelea na uchunguzi sijui watapata jawabu juu ya kupotea kwake..
Sent using
Jamii Forums mobile app