Je, nini kilimpoteza mwanamuziki Jim Sullivan baada ya kuimba kuhusu kutekwa na Aliens?

Je, nini kilimpoteza mwanamuziki Jim Sullivan baada ya kuimba kuhusu kutekwa na Aliens?

Sullivan left Los Angeles on March 4, 1975, to drive to Nashville alone in his Volkswagen Beetle. The next day, after being cautioned by a highway patrol over his driving, he checked into the La Mesa Motel in Santa Rosa, New Mexico. Later reports suggest he did not sleep there, and left his key inside the room, but bought vodka at the town store. He was seen the following day about 26 miles away, at a remote ranch owned by the Gennetti family. His car was later found abandoned at the ranch, and he was reportedly last seen walking away from it. The car contained Sullivan's money, papers, guitar, clothes, and a box of his unsold records.[4][5][7]
He was never seen again, and reports have variously attributed his disappearance to being murdered, becoming disoriented and lost, or, particularly in the light of the title of his first album, alien abduction. Search parties failed to find any trace of him. A decomposed body resembling Sullivan was later found in a remote area several miles away, but was determined not to be his.
 
@da´vinci..ebu tufafanulie zaid kuhus kisa cha DB Cooper.Unazan hiki kisa kilitungwa kwa dhumnh gan?.Mm binafs nimekua nikiamin kisa hiki n kwel.Kumbe wengne mnamtazamo tofaut na mm. Tuambie zaid unavyokichukulia hiki KISA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naamini alliens watakupo japo si ktk namna ambayo huonyeshwa,ila naamini kuna viumbe way more stronger than we(humans) kinachofanya mwanadamu awe SUPERIOR Kuliko viumbe wengine ni Balance aliyonayo ktk almost kila kitu eg Akili,hisia n.k,naamini pia kuna Species nyingine nyingi ambazo zilipotea/kupotezwa na bado hazijatambulika,take an example of what happened at the time of prophet LUTH,ile miji ya sodoma na gomora ni kwamba ArDHi yake iligeuzwa juu chini,ni kama kusema ilishikwa ktk pande zake(ncha zake) na ikageuzwa km zulia,na vyote vilivyokuepo juu ya Ardhi eg miti,mawe,wadudu,wanyama n.k viliteketezwa na kudidimizwa chini zaidi ili kisipatikane kitu cha kutoa ushahidi,japo jiwe la chumvi la mke wa luth lipo ila halina details za kina km ambavyo masalia ya vitu vingine hutoa taarifa ya eneo husika pale yapatikanapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salute Comrades
Intro
Mnamo mwaka 1969 mwanamuziki aitwae Jim Sullivan alirekodi albamu aliyoipa jina la U.F.O, ndani ya albamu hiyo kuna mistari anaimba kua ..aliacha familia yake akawa ametekwa na aliens . Baada ya miaka sita gari lake lilikutwa shambani jangwani kwenye jiji la New Mexico mpaka leo hajapatikana wapi alipo.

Anaitwa James Antony Sullivan kazaliwa August 13 1940 katika eneo la san Diego jijini California marekani. Alikua muimbaji, mtunzi na mpiga gitaa.

Jinsi alivyopotea
Tarehe 4 march 1975 Jim Sullivan aliondoka jijini Los Angeles akielekea Nashville, alikua yeye peke yake ndani ya gari lake aina ya Volkswagen. Siku iliyofuata polisi wa patrol barabarani walimuonya kutokana na uendeshaji wake wa kasi hivyo akaona apumzike kwenye Motel ya La mesa eneo la santa rosa jijini New Mexico, lakini taarifa zingine zinasema hakulala hapo kwenye hiyo hotel, aliacha funguo kwenye mlango wa chumba cha hotel (ndani).

Siku iliyofuata gari lake lilikutwa umbali wa Maili 26 kwenye shamba lililokua linamilikiwa na familia ya Gennetti, na hakuna yoyote aliyemuona akitoka ndani ya hilo gari. Ndani ya gari lake kulikutwa Pesa,gitaa,karatasi, nguo na copy kadhaa za albamu yake. Hakuonekana tena mpaka leo watu wanasema kua labda aliuawa, au alipotea, wengine wanasema kua inawezekana ni kutokana na mambo aliyoimba ndani ya wimbo wa Allien abduction.

Kuna mwili pia ulipatikana maeneo ya shambani uliofanana na jim lakini hakua yeye hivyo mpaka leo hajaonekana wala hajulikani alipo.

Ndugu wana Jf je nanyi mwaona nini kitakua chanzo cha kupotea kwake?
Na kwa masrahi yapi labda mpaka wampoteze?

Msimamo wa mwandishi kuhusu Unidentified Flying Objects (UFO)
Mimi Da'Vinci naamini kua hakuna cha UFOs wala Allien, ni mkakati wa nchi kubwa kubwa kututisha tu wanadamu na kutu Brain wash tu. Ni mambo tu wanayotengeneza ili kuona dunia si sehem salama.
Vitu kama vile..
  • Ozone layer kutoboka
  • Virusi vya ukimwi
  • Kutuaminisha kua kuna mtu aliyewahi tokea anaitwa D.B Cooper wakati hajawahi kuwepo.
  • Kwamba kuna jiwe angani linakuja kwa kasi kuigonga dunia
  • Etc etc
Ahsante
Da'Vinci
Ukisoma ufunuo Yohana aliona nyota ikiiangukia dunia na wengi walikufa na kuangamia, nashangaa wao husema eti sayari Mara jiwe sisi tushaambiwa nyota itaanguka sio kugongwa
 
Ukisoma ufunuo Yohana aliona nyota ikiiangukia dunia na wengi walikufa na kuangamia, nashangaa wao husema eti sayari Mara jiwe sisi tushaambiwa nyota itaanguka sio kugongwa
Shida IPO hapo. Kitabu cha ufunuo mnakitafsiri kama kilivyoandikwa
 
mkuu heshima kwako kaka mkubwa..[emoji4] [emoji4]

Lakini mkuu kumbuka kuwa kifo cha huyu jamaa kimeleta utata mwingi sana kwa sababu aliwahi kuhukumiwa kifungo cha maisha kutokana na kesi ya kumuua mke wake wa pili na kupelekea Hatimaye kushtakiwa na mauaji ya mke wake mwaka 1998, alikimbilia Costa Rica, kisha Panama, Venezuela na hatimaye kwenda Thailand, ambapo alikamatwa mwaka 2002.

Alirejeshwa Atlanta kwa kesi, alihukumiwa mwaka 2006 na kuhukumiwa maisha ya gerezani.

Alikuwa na mwendesha mashtaka David Boone ambaye alikuwa anamtetea kwani inasemekana alifarakana na huyo mke wake wa pili.

Mke wake aliamua kumshitaki klkwani aliamini kuwa endapo kesi itafika mahakamani basi sehemu ya mali za Sullivan atapewa huyo mwanamke kwani alidai taraka.

Ndipo bwana James akamua kumtafuta jangili mmoja anaitwa Phillip Harwood na kumpa kiasi cha , $25,000 kumuua mke wake Lita Sullivan alipofungua mlango wa nyumba yake ya mji wa Atlanta ..


Lakini kutoka na kesi hiyo kuunguruma mahakamani kwani ilikuwa ni lazima James Sullivan ahukumiwe kifungo cha maisha lakini wakili wake alimtetea ambapo ilipelekea kukamatwa kwa yule jangili aliyelipwa pesa ndefu na kufungwa miaka 20 .

Lakini James alifungwa kifungo cha nje kwani wakili wake alimtetea kuwa alikuwa bado ana mawazo juu ya kifo cha mke wake hivyo hangeweza kuvumilia maisha ya gerezani ,.

kutokana na kuwa na mawazo ya kufiwa na mke wake au sijui alikuwa anafanya unafiki ndo akawa na mawazo ya hapa na pale na kupelekwa kujiua yeye mwenyewe shambani huko bila kumhusisha mtu..


shida ilikuwa ...... ni wapi mwili wake ulipotelea,..

Baadhi ya documentary zinasema kifo chake kinahusishwa na FBI waliokuwa wanamsaka kwa kuwa alikuwa na makosa mengi sana ikiwemo la kuimba nyimbo ambazo zilikuwa zinawapa hofu kubwa watu( Alliens and UFO) na kukimbiza gari hasa nyakati za usiku kwa kasi sana ..japo alipewa onyo lakini hakuiacha tabia ile..


Lkini pia inasemekana kuwa familia ya marehemu Lita ndo ilipanga njama za kulipiza kisasi kwa kumuua binti yao..hivyo na wao wakaamua kumpoteza bila ushahidi


Lakini documentary zingine zinasema jamaa aliuliwa na FBI kwani alianza kuzungumzia mambo ya mental abduction yaliyokuwa yanafanywa na Aliens kwa viongozi wastaafu katika serikali ya marekani kuhofia kutoa siri za uhusiano wa seeikali ya marekani na Viumbe toka sayari za mbali( Aliens)..


Lakini ushahidi mwingine unasema kuwa ilikuwa ni hofu yake ya kuogopa kifungo cha maisha hivo aliamua kujiua kwa kuwa alikuwa mkiwa aliyejaa hofu na roho ilikuwa inamsuta kwa kumuua mkewe...

Mpaka leo bado FBI wanaendelea na uchunguzi sijui watapata jawabu juu ya kupotea kwake..



Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh,hapa panaweza kuwa na ukweli kati ya uliyoyasema
 
Picha za Yesu kivipi ndugu? Haya mambo yanayohusisha imani ni fumbo manake hata kuhusu Aliens kuna various proof abt them, cha msingi ni kuamini unachoona sahihi.
Jamaa anaamini uwepo wa Yesu wakati Alliens picha zao zimechorwa zama za Kale kabla ya Yesu nadhani ni huko Aztec
 
Back
Top Bottom