Daah kweli ndege ya Malaysia ilipotea kweli mpaka sasa hakuna hata fununu ya kuwa ilipotelea wapiukishangaa ya Jim sulivan.. kumbuka majuzi tu ndefe kuubwa kabisa ilipotea
hii ina mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah kweli ndege ya Malaysia ilipotea kweli mpaka sasa hakuna hata fununu ya kuwa ilipotelea wapiukishangaa ya Jim sulivan.. kumbuka majuzi tu ndefe kuubwa kabisa ilipotea
hii ina mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Lile Jiwe la Luthu lipo mkuu? Daah kakipatikana ka picha itapendeza sanaNaamini alliens watakupo japo si ktk namna ambayo huonyeshwa,ila naamini kuna viumbe way more stronger than we(humans) kinachofanya mwanadamu awe SUPERIOR Kuliko viumbe wengine ni Balance aliyonayo ktk almost kila kitu eg Akili,hisia n.k,naamini pia kuna Species nyingine nyingi ambazo zilipotea/kupotezwa na bado hazijatambulika,take an example of what happened at the time of prophet LUTH,ile miji ya sodoma na gomora ni kwamba ArDHi yake iligeuzwa juu chini,ni kama kusema ilishikwa ktk pande zake(ncha zake) na ikageuzwa km zulia,na vyote vilivyokuepo juu ya Ardhi eg miti,mawe,wadudu,wanyama n.k viliteketezwa na kudidimizwa chini zaidi ili kisipatikane kitu cha kutoa ushahidi,japo jiwe la chumvi la mke wa luth lipo ila halina details za kina km ambavyo masalia ya vitu vingine hutoa taarifa ya eneo husika pale yapatikanapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu lkn kuna ushahidi wa picha zilizowahi kuchora kwenye miamba enzi hizo kabla hata Yesu hajazaliwa,tafuta humu kuna uzi mkuuKuna mambo mengi sana ni fix za wazungu UFO na aliens kwangu naamini 100% ni vitu ambavyo havipo.
Mkuu wazungu wakiamua kuliundia jambo zengwe hawashindwi na utakuwepo ushahidi mzito mzito.Mkuu lkn kuna ushahidi wa picha zilizowahi kuchora kwenye miamba enzi hizo kabla hata Yesu hajazaliwa,tafuta humu kuna uzi mkuu
Ukweli kabisa mkuu ishu ni kuamini unachoona sahihi, kuamini kwamba Yesu yupo isiwe sababu ya kupinga uwepo wa Aliens.Jamaa anaamini uwepo wa Yesu wakati Alliens picha zao zimechorwa zama za Kale kabla ya Yesu nadhani ni huko Aztec
Kwani hata ile michoro yetu ya Mapangoni ya Kondoa Irangi na sisi wazee wetu walifanya sanaa na sijui ili iweje?Mkuu wazungu wakiamua kuliundia jambo zengwe hawashindwi na utakuwepo ushahidi mzito mzito.
Mkuu unaweza jazia nyama japo kidogo hapa?IPO somewhere imewekwa ila ukionekana unafuatilia kuijua unapotezwa hata mwili wako hautapatikana
Case ya michoro pangoni iko tofauti na haya masuala ya aliens.Kwani hata ile michoro yetu ya Mapangoni ya Kondoa Irangi na sisi wazee wetu walifanya sanaa na sijui ili iweje?
Kwani zile picha ni za yesu?Yesu alikuwepo vitabu vinaelezea,sayansi hadi picha zake..hivyo ukishamjua Yesu basi Huna haja ya ku-doubt uwepo wa Mungu
Aliens pia wapo vitabu vinaelezea, sayansi hadi picha zakeYesu alikuwepo vitabu vinaelezea,sayansi hadi picha zake..hivyo ukishamjua Yesu basi Huna haja ya ku-doubt uwepo wa Mungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naomba nione picha ya Yesu....achana na yule jamaa aliyeigiza movie ya yesu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naweza pata picha ya yesu? kama unayo nisaidie tafadhari?Yesu alikuwepo vitabu vinaelezea,sayansi hadi picha zake..hivyo ukishamjua Yesu basi Huna haja ya ku-doubt uwepo wa Mungu
Kamati ya roho mbayaUbarikiwe mkuu kwa msaada wa Wikipedia