Je, nini kinasababisha matiti kulegea kabla ya kuzaa?

Je, nini kinasababisha matiti kulegea kabla ya kuzaa?

Thread haina hata picha, nashindwa kuwaelewa munazungumzia nini haswa
 
Wengine hizo sa sita tumezionea kwenye saa za ukutani tu!!!
Nduuukiii
 
  • Thanks
Reactions: SDG
labda kwenye msingamano ndani ya daladala wakware wanayaparamia kwa kisingizio cha kusukumana🙁
Jaha[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Nyie nao msituchoshe,wangapi kati yenu pumbu zimesimama wima,wengi wenu zimelegeeaa ka nini sijui,sababu ni nini
mtu pumbu iko katkat ya paja inahusuu?ingekua ziwa hilo si lingekua kitovuni?.,
Ila ikija kwenye hiyo sehemu kuna vitu vya ajabu...
Kuna zile zimeachana, kuna zilizoungana na kudondoka kama kifurushi kimoja, kuna zilizolegea na kunyorodoka kama mashavu ya bibi, kuna wengine wana vidunguli vitatu...
 
Ila ikija kwenye hiyo sehemu kuna vitu vya ajabu...
Kuna zile zimeachana, kuna zilizoungana na kudondoka kama kifurushi kimoja, kuna zilizolegea na kunyorodoka kama mashavu ya bibi, kuna wengine wana vidunguli vitatu...

tehe tehe tehe tehe khaaaaaa jf sitoki ng'o
 
Naomba kuuliza... Hivi kwa nini baadhi ya wadada matiti yao hayalingani. Yaani utakuka kuna moja kubwa zaidi ya lingine
Linaaza moja kukua linfuata lingine .... La kushoto kubwa la kulia dogo kiasi .... Labda sababu ya heartbeat [emoji1]
 
Maumbile tu...wapo wanawake wameshazaa lakini wana maziwa na Maumbile mazuri mpaka akwambiye kama kazaa.. Huwezi juwa... Kwa jinsi alivyo. Na kuna mwingine hajazaa lakini maziwa hovyo.
 
mimi pia ni muhanga.
sijazaa ila nna maziwa makubwa,yamelainika yenyewe tu.
nina asili ya maziwa makubwa.. na kila nnavonenepa ndivyo na yenyewe yanajaa wakati mwingine yanajaa mpaka yanauma kabisa.

nikikonda nayo yanapwaya yanakua kawaida. j
nna watu nawafahamu ni malaya wa kutupwa ila wanavichuchu, yani hawana maziwa makubwa na wengine madogo kabisa.
mimi sina hizo tabia ila nna miziwa imejaa
Natamani kufanya mazoezi naamini yatapungua ila sijui nianzie wapi, maana nataka nipate pa kufanyia mazoezi kama mahala wachezapo netball,basket nk
Ni maumbile tu, usiwaze.. Born this way. Kuna watu wanafanya usiku na mchana, wananyonywa kuliko kawaida na bado chuchu sa sita. Kwa hiyo ni maumbile tuuuu
 
mimi pia ni muhanga.
sijazaa ila nna maziwa makubwa,yamelainika yenyewe tu.
nina asili ya maziwa makubwa.. na kila nnavonenepa ndivyo na yenyewe yanajaa wakati mwingine yanajaa mpaka yanauma kabisa.

nikikonda nayo yanapwaya yanakua kawaida. j
nna watu nawafahamu ni malaya wa kutupwa ila wanavichuchu, yani hawana maziwa makubwa na wengine madogo kabisa.
mimi sina hizo tabia ila nna miziwa imejaa
Natamani kufanya mazoezi naamini yatapungua ila sijui nianzie wapi, maana nataka nipate pa kufanyia mazoezi kama mahala wachezapo netball,basket nk
We unaishi wapi niangalie uwezekano wa kukusaidia
 
Back
Top Bottom