meseryside
Member
- Apr 9, 2017
- 46
- 23
Chips mayai izo wa kisasaHuko mjini ndiko wanaongoza kulegea matiti sijui nako wanalima lami? [emoji6] [emoji6]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chips mayai izo wa kisasaHuko mjini ndiko wanaongoza kulegea matiti sijui nako wanalima lami? [emoji6] [emoji6]
matunzo? unatunza vipi matiti yasilegee na umenyonyesha watoto watatu? natamani kujua! kwenye asili nakubali nina ndugu zangu wana watoto ila vifua vyao bado vimesimama vile vile
ni rahisi sana ma diaSio rahisi!
Naomba kuuliza... Hivi kwa nini baadhi ya wadada matiti yao hayalingani. Yaani utakuka kuna moja kubwa zaidi ya lingineUnazani kunyonyesha watu wazima na mimeno yao 32 mchezo, afu msiwe mnauliza maswali ya kijinga.
Ni asili & matunzo
kuna wadada wamezaa na bado wako vilevile
mimi pia ni muhanga.
sijazaa ila nna maziwa makubwa,yamelainika yenyewe tu.
nina asili ya maziwa makubwa.. na kila nnavonenepa ndivyo na yenyewe yanajaa wakati mwingine yanajaa mpaka yanauma kabisa.
nikikonda nayo yanapwaya yanakua kawaida. j
nna watu nawafahamu ni malaya wa kutupwa ila wanavichuchu, yani hawana maziwa makubwa na wengine madogo kabisa.
mimi sina hizo tabia ila nna miziwa imejaa
Natamani kufanya mazoezi naamini yatapungua ila sijui nianzie wapi, maana nataka nipate pa kufanyia mazoezi kama mahala wachezapo netball,basket nk
Eti ila ana ndala HahahahahahaNi asili ya mtu
Mleta thread najua ulichowaza ila kuna watu ni wahuni tena sio kidogo ila ukiwaangalia chuchu zimesimama
Na kuna wengine wametulia(huwenda hakuwahi hata kulala na mwanaume) ila ana ndala
Miili inatofautiana
Ni maumbile tu wala usipate shidamimi pia ni muhanga.
sijazaa ila nna maziwa makubwa,yamelainika yenyewe tu.
nina asili ya maziwa makubwa.. na kila nnavonenepa ndivyo na yenyewe yanajaa wakati mwingine yanajaa mpaka yanauma kabisa.
nikikonda nayo yanapwaya yanakua kawaida. j
nna watu nawafahamu ni malaya wa kutupwa ila wanavichuchu, yani hawana maziwa makubwa na wengine madogo kabisa.
mimi sina hizo tabia ila nna miziwa imejaa
Natamani kufanya mazoezi naamini yatapungua ila sijui nianzie wapi, maana nataka nipate pa kufanyia mazoezi kama mahala wachezapo netball,basket nk
Hapana dear labda ni asili yako tu, kwanza ukiwa na mimba kuelekea mwishoni kifua kinajaa so mtoto akija kunyonya lazima yataanguka.Kuna jinsi ya kumnyonyesha mtoto ambayo inasaidia yadondoke, yani wewe ndio unakuwa unai support nyonyo, sio yeye ndio anaivuta atakavyo, mtoto anakuwa free na chuchu tu sio nyonyo yote. Kuna some of the exercise pia za kuyafanya yasidondoke. Kuna vitu vya asilia pia ambavyo unaweza kuwa unapaka ili yasidondoke eg: olive oil. Kuvaa the right bra bila kusahau lishe nzuri
mimi nafurahishwa sana na maziwa makubwa. yanavutia na ni matamu. wala usijali sehemu kubwa ya wanaume wanataka tangafresh kubwakubwa. vichuchu ni mbwembwe tu.mimi pia ni muhanga.
sijazaa ila nna maziwa makubwa,yamelainika yenyewe tu.
nina asili ya maziwa makubwa.. na kila nnavonenepa ndivyo na yenyewe yanajaa wakati mwingine yanajaa mpaka yanauma kabisa.
nikikonda nayo yanapwaya yanakua kawaida. j
nna watu nawafahamu ni malaya wa kutupwa ila wanavichuchu, yani hawana maziwa makubwa na wengine madogo kabisa.
mimi sina hizo tabia ila nna miziwa imejaa
Natamani kufanya mazoezi naamini yatapungua ila sijui nianzie wapi, maana nataka nipate pa kufanyia mazoezi kama mahala wachezapo netball,basket nk
umesahau na kuchoropoa mimba. Napo pia kunalaza matitiSuala la Matiti linategemea vitu vitatu zaidi.
1/Maumbile ya Mtu(Jinsi alivyoumbwa au Asili yake)
2/Umri (Kadri umri wa binti unavyosogea mbele, ndivyo matiti hukua na kulegea)
3/Uzazi (Kupata mimba na kuzaa hupelekea matiti kuwa makubwa na kumwagika chini)
Kwa mfano wewe Shunie umbile lako hapo kifuani lipo vipi?inategemea na umbile la mtu tu
Me yangu ni lapa Ely yaan yamelalaKwa mfano wewe Shunie umbile lako hapo kifuani lipo vipi?
Nauliza tu mkuu