Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni Ccm mkuuMtandao wa 𝕏 umefungiwa Tanzania week hii wadau kwanini serekali inafanya hivi au ndio wanataka censorship?
Hii imeleta picha kuwa Tz is against free speech
Mtandao wa 𝕏 umefungiwa Tanzania week hii wadau kwanini serekali inafanya hivi au ndio wanataka censorship?
Hii imeleta picha kuwa Tz is against free speech
Google utaona telegram na 𝕏 zimefungwa TanzaniaMbona natumia X sijaona kitu kama hicho au unataka kusema utafungwa hapo badae
Wanataka CensorshipJana muda fulani x ilikuwa down sana, now it's okay.
Lakini lolote laweza kutokea, ipo homa ya uchaguzi.
Mimi mpaka muda huu niko telegram mkuu, au imefungwa kwa baadhi ya watu
Serekali inazinguaTatizo ni Ccm mkuu
Telegram ufungwe kabisa! Huu mtandao ni "hell" kuzimu kabisa!
Japo wanafungaNow mambo Yako shwari...
Ushachanganya madesa, sasa Kwani telegram ndio x(Twitter)!?Mimi mpaka muda huu niko telegram mkuu, au imefungwa kwa baadhi ya watu
inategemea na matumiz yakoTelegram ufungwe kabisa! Huu mtandao ni "hell" kuzimu kabisa!
Mleta uzi kauliza telegram na x.Ushachanganya madesa, sasa Kwani telegram ndio x(Twitter)!?
Mimi telegram is down since last week kitu connection zero q.umamake f@ckzegavamentMimi mpaka muda huu niko telegram mkuu, au imefungwa kwa baadhi ya watu
X inapiga kazi napokea notifications Ila telegram is downMleta uzi kauliza telegram na x.
Wewe ndiyo umechanganya madesa