Je nini sababu haswa ya mtandao wa Twitter / 𝕏 na telegram kufungiwa Tanzania?

Je nini sababu haswa ya mtandao wa Twitter / 𝕏 na telegram kufungiwa Tanzania?

Mimi mbona natumia na sijaona changamoto yoyote kwa mitandao hiyo,though kuna watu wanasema wanapata tabu sana kupata mawasiliano na telegram
Mwenye changamoto kama hii anaweza tumia hii
Ingia hapo chagua server, connect then connect proxy na telegram itakaa sawa
 
It is formerly blocked
Screenshot_20240901_180953_Samsung Internet.jpg
Brother mbona mimi nimetoka huko muda huu na situmii VPN? Soma hiyo ni post ya muda gani na nimeweza kusoma?!
 
Mimi mbona natumia na sijaona changamoto yoyote kwa mitandao hiyo,though kuna watu wanasema wanapata tabu sana kupata mawasiliano na telegram
Mwenye changamoto kama hii anaweza tumia hii
Ingia hapo chagua server, connect then connect proxy na telegram itakaa sawa
Unatumia telegram gani desktop,telegram X au ipi?
 
Mtandao wa 𝕏 umefungiwa Tanzania week hii wadau kwanini serekali inafanya hivi au ndio wanataka censorship?

Hii imeleta picha kuwa Tz is against free speech
Acha urongo !
Kisimu chako ni feki
 
Ok if it's in a process of blocking it sawa, but so far it's still accessible
Yeah ila telegram ya kawaida imezuiliwa nadhani telegram X na telegram ya desktop ndio zinafanya kazi since wanatumia server tofauti
 
Back
Top Bottom