- Thread starter
- #41
Kwani Facebook na Instagram na Tiktok matusi hamna?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Facebook na Instagram na Tiktok matusi hamna?
Jifunze kutype vizuri kiongozi pia jitathminiAcha urongo !
Kisimu chako ni feki
Labda ndiyo mnawahimiza wafungie, maana hawajafungia lakini watu mnalalamika wamefungia.Mtandao wa 𝕏 umefungiwa Tanzania week hii wadau kwanini serekali inafanya hivi au ndio wanataka censorship?
Hii imeleta picha kuwa Tz is against free speech
But ndio spaces za 𝕏 pia mtandao wa viongozi huu na watu wanapata pesa kupitia huu mtandao unadhani ukifungwa haya yote tutapatia wapiHuu mtandao tokea ulipotoka kuwa twitter na kununuliwa na kuwa X, hauna tena maana
Ufungiwe tu huana maaana kama nchi zingine wameshaanza kuufungia, hapa ni suala la muda tu
![]()
X goes offline in Brazil after Elon Musk’s refusal to comply with local laws
Millions of users shut out and 500,000 switch to rival platform Bluesky as providers enact supreme court banwww.theguardian.com
Telegram kiongoziLabda ndiyo mnawahimiza wafungie, maana hawajafungia lakini watu mnalalamika wamefungia.
Ova
Telegram ya kawaida,pia plus messengerUnatumia telegram gani desktop,telegram X au ipi?