Je, niolewe naye? Baba yake alizaa na Mama yangu



Du! LOL, nimeshindwa hata kuunganisha hata huo undugu unao ukokotoa lol
 


Mie nampenda ila sijui kama ni sahihi kuolewa na yeye au hapana.
 

Kiafya: magonjwa ya kurithi yanakuja vipi kama hakuna connection ya damu?

Kijamii: familia yangu na yake ni tofauti. Tumekutana ukubwani tu. 2 Months ago.

Kiakili: Sina uhakika.

Kidini: Unaweza ukanisaidia source? Kuna moja imetolewa hapa lakini haiendani na case hii.
 
Incest ni mpaka kuwe na blood relationship. Hawa wana relate vipi kwa damu hata iwe incest? Big lady olewa tu provided mnapendana

Ndugu yangu, we acha tu. nazidi kuchanganyikiwa hata sijui nifuate lipi.
 
mmeshamegana nyie!

Acha hizo bana. Hatujamegana. Kama tumemegana ningeshindwa nini kusema? Kwani mie mtoto mdogo!

Acha hisia mbaya! lol

Jinsia gani weye tukupake wanja? Haluuuuuuu!
 

Asante sana nitaongea na mama!
 

Duh JF bana! Asante kwa mwongozo. Hoja kinzani umezisoma lakini?
 

Wewe hii habari ya kutunga au?
Unatutajia kabila xy, y sijui nn huko ndio tueleweje?
Mm nataka kukushauri kwa kuangalia mila za makabila husika. Yataje.
 
Acha hizo bana. Hatujamegana. Kama tumemegana ningeshindwa nini kusema? Kwani mie mtoto mdogo!

Acha hisia mbaya! lol

Jinsia gani weye tukupake wanja? Haluuuuuuu!

sasa hajakumega akutangazie ndoa! Umeona wapi hiyo?
 
Wewe hii habari ya kutunga au?
Unatutajia kabila xy, y sijui nn huko ndio tueleweje?
Mm nataka kukushauri kwa kuangalia mila za makabila husika. Yataje.

Haaaa haaaaa umenifurahisha. Hebu nieleze hapo mila za makabila yafuatayo zinasemaje?

Wabondei
Wanyakyusa
Waluguru
Wangoni
Wasukuma

Huo ndo m,changanyiko halisi. Please usiniulize zaidi.

Huyu Baba yake Mwanaume A ninayempenda, yaani Mzee B pia hakuwa ameonana na A miaka mingi pia. Ila alimweleza kwa sasa yeye amemwoa Binamu yake. Mzee B ni Christian. Ila sipendi kufuata mkumbo huo nahitaji kuwa na uhakika.

Lete nondo sasa . . . . lol
 
sasa hajakumega akutangazie ndoa! Umeona wapi hiyo?

We vipi jamani? Kipi cha ajabu? Si wote wako hivyo unavyofikiri. Watu wanasomana tabia kwanza na kuwa marafiki kabla ya kufikia uamuzi wa kuelezea nia. Wapo wanaoolwewa kabla ya mahusiano ya mwili.

Rudi kwenye mada bana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…