The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Haaaa haaaaa umenifurahisha. Hebu nieleze hapo mila za makabila yafuatayo zinasemaje?
Wabondei
Wanyakyusa
Waluguru
Wangoni
Wasukuma
Huo ndo m,changanyiko halisi. Please usiniulize zaidi.
Huyu Baba yake Mwanaume A ninayempenda, yaani Mzee B pia hakuwa ameonana na A miaka mingi pia. Ila alimweleza kwa sasa yeye amemwoa Binamu yake. Mzee B ni Christian. Ila sipendi kufuata mkumbo huo nahitaji kuwa na uhakika.
Lete nondo sasa . . . . lol
wabondei
waluguru
wangoni
binamu ruksa....sijui hayo mengine....