Haaaa haaaaa umenifurahisha. Hebu nieleze hapo mila za makabila yafuatayo zinasemaje?
Wabondei
Wanyakyusa
Waluguru
Wangoni
Wasukuma
Huo ndo m,changanyiko halisi. Please usiniulize zaidi.
Huyu Baba yake Mwanaume A ninayempenda, yaani Mzee B pia hakuwa ameonana na A miaka mingi pia. Ila alimweleza kwa sasa yeye amemwoa Binamu yake. Mzee B ni Christian. Ila sipendi kufuata mkumbo huo nahitaji kuwa na uhakika.
Lete nondo sasa . . . . lol
Kwanza Mkuu samahani hapo juu kwenye nyekundu nimeweka sawa jina, linatakiwa liwe MAMMAMIA tena kwa herufi kubwa na wala sio Mamamia.Mamamia, watoto wa damu moja si wale tu waliozaliwa ndani ya ndoa. Hata wale waliozaliwanje ya ndoa kama wanachangia damu kwa njia ya wazazi au mzazi mmoja bado diniinatambua kwamba wako ndugu wa damu hata kama uhusiano wao hautokani na ndoahalali. Hivyo kama wako ndugu wa damu hata dini haikubali kufungisha ndoa hiyokwa sababu za kiroho na za kibaolojia. Tunapoongea mambo ya vizuizi vya ndoahasa cha undugu (consanguinity) hatuangalii uhalali wa mahusiano ya wazazi wawahusika bali uchangiaji wao wa damu.
Kwa kesi hii ya huyu dada, kimsingi hakuna uhusiano wa damu kati yao kwa vilewazazi wao wamewazaa na partners wengine. Pili, hao wazazi hawaishi pamoja kamamme na mke (walizaa kama marafiki tu na urafiki ukaisha). Kwa hivo huyu dadakwa mawazo yangu aweza olewa na yule kijana, vinginevo heshima za mila na ukoovinawashauri vinginevo.
Asante my dear. Ila naona maoni ya hapa yanazidi kuniweka njia panda.
Njia panda kivipi wakati mimi naona mko kwenye process ya kubadilishana viapo??
Hapa ndoa haizuiliki!!
Babu DC!!
wabondei
waluguru
wangoni
binamu ruksa....sijui hayo mengine....
Duuuh! Naanza kupata moyo!
Wanyakyusa na Wasukuma niaje?
Njia panda kivipi wakati mimi naona mko kwenye process ya kubadilishana viapo??
Hapa ndoa haizuiliki!!
Babu DC!!
Babu acha hizo bana! Rudi kwenye mstari.
Wala hatuko kwenye process bado nimeuliza kutaka kujua kwanza. Sasa ndoa haizuiliki kivipi tena?
Unajua unazeeka vibaya babu? Teeh tee teee
Hapa umesema haya ila pia umeshasema mengi huko nyuma!!
Akili yangu ya 1947 ikaona hivyo!!
Sasa, hebu angalia hiyo flow ya maelezo halafu urudie tena kusema kama kweli Babu anazeeka vibaya??
Babu DC
We Babu weweeee, na hicho Kibdoda boda chako soma mada kuu na leta ushauri bana. Usikwepe hoja! Grrrrrrrrrrr
Kuna Mwanaume ambaye ametokea kunipenda sana, nami nampenda sana ingawa hatujafikia hatua ya mahusiano ya kimwili.
Kuna Mwanaume ambaye ametokea kunipenda sana, nami nampenda sana ingawa hatujafikia hatua ya mahusiano ya kimwili. Napenda kumwita A.
Kinachonitatiza ni kuwa enzi za ujana wao, Baba yake A (Namwita B) na Mama yangu walizaa binti ambaye tumpe jina C. Sasa mimi na C tunashare Mama lakini Baba zetu tofauti. C ni dada yangu, yeye ni mkubwa mimi ni mdogo. Wazazi wangu wote walifariki. A na C hawajawahi kufahahamiana hadi walipokutana hivi karibuni na kutambulishwa na baba yake yaani B katika harusi ya Binti mwingine wa baba yake A (yaani baba B) ambaye alizaa na Mwanamke mwingine tena.
Kwa upande wa A, yaani Mwanaume tunayependana amelelewa na familia nyingine toka utotoni ambayo mama yake Mzazi na A aliolewa na Baba mwingine. A ana ndugu zake huko waliolelewa pamoja. Hii ndiyo familia yake ya sasa.
Sasa swali langu kwenu wana MMU, je mimi naweza kuolewa na Mwanaume huyu yaani A?
Nyakumbuka Babu!
Biologically, A na Big Lady hawana uhusiano wa damu...Ukifanya DNA test hakuna kitu hapo....Ni kama mie na Maty au MJ1!!
Kumekuwa na mwingiliano wa malezi kiasi kwamba undugu kati ya Big Lady na A, pamoja na kwamba wanashare dada (C) uko mbali sana (far fetched)!! Inakuwa vigumu kwa watu wa kawaida kuuona!!
Kwa upande wangu sioni kikwazo kama mnaweza kukubaliana na kuwa tayari kuhandle hizo complications nyingine. Mfano mtakuja kuzaa mtoto ambaye atakuwa kwa upande mmoja anamwita C mama mdogo na hapo hapo anamwita shangazi!! Mko tayari kwa hilo??
Pia kuna suala la jamii...watu wanaweza kuwa na maneno maneno kwamba kijana (A) na baba yake wanashughulika na mtu (Big Lady) na Mama yake!! Mtaweza kuuchuna na waacha waseme tu kwa raha zao??
Nitarudi tena baadaye kidogo, ngoja kwanza nitafute mafuta kwa ajili ya tuk tuk ya Babu!!
Babu DC!!
Unajua Big Lady, maneno mazito hayaji hivyo hivyo...Kuna investment kubwa tayari imeshafanyika. Uko tayari kuachana na hiyo biashara ambayo tayari inaonesha mwelekeo wa kukutoa??
Asante sana babu DC. Huyu ndo Babu ninayemjua sasa. Ngoja niendelee kutafakari.
Kuolewa na ndugu wa karibu kiasi hicho.....
mmmmhhhhhhhhh!!!!!!!
Akili kichwani mwako!!