Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,933
- 988
Mkuu inapendeza ukiwa ndani ya mada bila kutoka kwenye mstari. Huna haja ya kufanya assumption ambazo hazipo just kwa kuwa umependa kufanya hivyo.
Hoja ni kuwa Mtoto wa baba mkubwa nina muunganiko wa damu na yeye kupitia baba yangu.
Huyu Mwanaume A sina Muunganiko naye wa damu kupitia Baba wala Mama. Ila tumeunganishwa kupitia dada yangu tu. basi. Sasa mwongozo wako au ushauri uangalie kupitia hoja hii.
Mama, kumbuka hapo nyuma umejitetea/jieleza kuwa hamchangii baba wala mama. Nami nimekujibu from the same angle. Sasa umekuja na hoja ya mahusiano ya damu. Ok!
Ikiwa A anamwita B, baba ni lazima atamwita mama yako mama. A na dada yako wanauhusiano wa damu wa moja kwa moja zaidi ya yale ya mtoto wa baba mkubwa. Then, jiweke wewe kwenye nafasi ya A. Je! Ni halali kwake kumwoa mtoto wa mama mkubwa (mke wa baba mkubwa) ambaye hakuzaa na baba mkubwa? Ndani ya mada, je ni halali A kumwoa mtoto wa mama wa kambo ambaye mama wa kambo hakuzaa na baba yako?