Je, nirudiane nae au niachane nae moja kwa moja?

Je, nirudiane nae au niachane nae moja kwa moja?

Habarini za asubuhi wapendwa

STORY YA KABINTI KAMOJA.

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nipo hapa kuomba ushauri wenu.

Mimi ni binti wa kitanzania nina miaka27 nilibahatika kupata mwanaume akanioa nikawa naishi nae na tukafanikiwa kupata mtoto mmoja ambae kwa sasa ana miaka miwili na nusu lakini nimeamua kumuacha huyu mwanaume kwasababu zifuatazo

1. Nikiwa naumwa ananipeleka hospitali na huduma nyingine anafanya lakini haonyeshi kujali haniulizi naendeleaje.

2. Nikiwaambia kaka zangu wamshauri jambo anachukia kabisa na anakataa.

3. Anampenda mtoto wake kuliko mimi.

4. Anafanya kazi nje ya mkoa tunao ishi hivyo kuonana ni mara chache sana .

5. Nilimwambia Mama yangu kwamba kwa sasa mume wangu anajali kuhusu mtoto tu ata chumbani haniwazi sana mimi lakini cha ajabu mume alipo sikia alikasirika sana na ikawa mzozo.

6. Kwenye mazungumzo nilijikuta namwambia kwamba alipata alama ndogo sana kidato cha nne sasa alipo sikia ivyo alikasirika sana na wakati ni jambo la kawaida tu.

7. Hapendi kushauriwa na Kaka zangu wala hapendi akipigiwa simu na ndugu zangu ili kusuruhishwa mgogoro wowote ule.

8. Kila muda maneno yake ni kusema mimi namdharau tu.

9. Anachukia mimi kuishi na mtoto wangu hapa kwetu mara anasema Mama hajanilea vizuri.

Mimi baada ya kuyaona yote haya nikaamua kuondoka na kurudi nyumbani kwetu japo yeye ananitafuta anasema nirudi tulee mtoto lakini sitaki amenichosha sana sasa naomba ushauri ndugu zangu je.? Nitakua nimefanya maamuzi mazuri kumuacha huyu mwanaume au mimi ndio nitakua na makosa.

Naomba Niwasilishe.
Upupu mtupu umeumwaga hapa.
 
Habarini za asubuhi wapendwa

STORY YA KABINTI KAMOJA.

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nipo hapa kuomba ushauri wenu.

Mimi ni binti wa kitanzania nina miaka27 nilibahatika kupata mwanaume akanioa nikawa naishi nae na tukafanikiwa kupata mtoto mmoja ambae kwa sasa ana miaka miwili na nusu lakini nimeamua kumuacha huyu mwanaume kwasababu zifuatazo

1. Nikiwa naumwa ananipeleka hospitali na huduma nyingine anafanya lakini haonyeshi kujali haniulizi naendeleaje.

2. Nikiwaambia kaka zangu wamshauri jambo anachukia kabisa na anakataa.

3. Anampenda mtoto wake kuliko mimi.

4. Anafanya kazi nje ya mkoa tunao ishi hivyo kuonana ni mara chache sana .

5. Nilimwambia Mama yangu kwamba kwa sasa mume wangu anajali kuhusu mtoto tu ata chumbani haniwazi sana mimi lakini cha ajabu mume alipo sikia alikasirika sana na ikawa mzozo.

6. Kwenye mazungumzo nilijikuta namwambia kwamba alipata alama ndogo sana kidato cha nne sasa alipo sikia ivyo alikasirika sana na wakati ni jambo la kawaida tu.

7. Hapendi kushauriwa na Kaka zangu wala hapendi akipigiwa simu na ndugu zangu ili kusuruhishwa mgogoro wowote ule.

8. Kila muda maneno yake ni kusema mimi namdharau tu.

9. Anachukia mimi kuishi na mtoto wangu hapa kwetu mara anasema Mama hajanilea vizuri.

Mimi baada ya kuyaona yote haya nikaamua kuondoka na kurudi nyumbani kwetu japo yeye ananitafuta anasema nirudi tulee mtoto lakini sitaki amenichosha sana sasa naomba ushauri ndugu zangu je.? Nitakua nimefanya maamuzi mazuri kumuacha huyu mwanaume au mimi ndio nitakua na makosa.

Naomba Niwasilishe.
Mkuu sijaona sababu kubwa ya kuvunja ndoa yako. Naona unadeka deka tu.
Ngoja uje ukutane na gume gume ndipo utaeleea vizuri.
Yani sijaona sababu ya msingi ya wewe kuvubja ndoa yako ila nilichokiona ni kwamba jamaa kakosea kuoa.
 
Asubuhi yote hii mapenzi😂😂😂 iko hivi kipindi mkiyaanza hatukuwepo na mbaya zaidi mshazaa unatarajia ushauri wa hapa jf ndio ukawe mstakabali wa familia yako? Kasema unamdharau si mkae chini muyajenge ujue wapi umekosea hizo habari za kurudi kwenu utarudi mpaka lini ila na wazazi wako wanaokuruhusu urudi akili zao hazipo sawa sijaona changamoto kubwa yabkufanya mtu akimbilie kwao umeona naampenda mtoto zaidi ww kaa nae vizuri hakuna jambo linahribika kwenye maongezi ila kwaku hujitambui mpaka ushauriwe na jf basi MUACHE HUYO JAMAA UTAPATA MWINGINE ILA UJUE UTAKUA TAYARI MAMA WA WATOTO WA WILI KWA BABA WAWILI TOFAUTI NA HAKUNA ALIEKAMILIKA AU UKIONAJE ZAA UPELEKE HIVO VIKASUKU VIKALIE HAPO KWENU WW UENDELEE KUTAFUTA ANAEKUFAA BADALA YA KUMTENGENEZA ANAYEKUFAA.......

MANYANI HAYAISHAGI MUNGU AKUSAIDIE KIZAZI CHAKO KIJIKWAMUE MWENYE HIYO AKILI ULIONAYO
 
Mkuu sijaona sababu kubwa ya kuvunja ndoa yako. Naona unadeka deka tu.
Ngoja uje ukutane na gume gume ndipo utaeleea vizuri.
Yani sijaona sababu ya msingi ya wewe kuvubja ndoa yako ila nilichokiona ni kwamba jamaa kakosea kuoa.
Mkuu kuna code usimfungulie hatakiwi kujua kwamba jamaa kakosema kumuweka ndani hatakiwi kujua anayofanya ni ujinga huyu ni kumpamba aachane na jamaa tumuokoe mwanaume mwenzetu basi akistuka huyu itakua nongwa
 
Habarini za asubuhi wapendwa

STORY YA KABINTI KAMOJA.

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nipo hapa kuomba ushauri wenu.

Mimi ni binti wa kitanzania nina miaka27 nilibahatika kupata mwanaume akanioa nikawa naishi nae na tukafanikiwa kupata mtoto mmoja ambae kwa sasa ana miaka miwili na nusu lakini nimeamua kumuacha huyu mwanaume kwasababu zifuatazo

1. Nikiwa naumwa ananipeleka hospitali na huduma nyingine anafanya lakini haonyeshi kujali haniulizi naendeleaje.

2. Nikiwaambia kaka zangu wamshauri jambo anachukia kabisa na anakataa.

3. Anampenda mtoto wake kuliko mimi.

4. Anafanya kazi nje ya mkoa tunao ishi hivyo kuonana ni mara chache sana .

5. Nilimwambia Mama yangu kwamba kwa sasa mume wangu anajali kuhusu mtoto tu ata chumbani haniwazi sana mimi lakini cha ajabu mume alipo sikia alikasirika sana na ikawa mzozo.

6. Kwenye mazungumzo nilijikuta namwambia kwamba alipata alama ndogo sana kidato cha nne sasa alipo sikia ivyo alikasirika sana na wakati ni jambo la kawaida tu.

7. Hapendi kushauriwa na Kaka zangu wala hapendi akipigiwa simu na ndugu zangu ili kusuruhishwa mgogoro wowote ule.

8. Kila muda maneno yake ni kusema mimi namdharau tu.

9. Anachukia mimi kuishi na mtoto wangu hapa kwetu mara anasema Mama hajanilea vizuri.

Mimi baada ya kuyaona yote haya nikaamua kuondoka na kurudi nyumbani kwetu japo yeye ananitafuta anasema nirudi tulee mtoto lakini sitaki amenichosha sana sasa naomba ushauri ndugu zangu je.? Nitakua nimefanya maamuzi mazuri kumuacha huyu mwanaume au mimi ndio nitakua na makosa.

Naomba Niwasilishe.
Nimeona wenzio wamekushauri ujinga hapo juu!!

Sasa unarudi kwenu hujafukuzwa hivi unaacha kayak yako yaaninkwako Ili uzekee nyumbani so ndio!!?

Shukuru anampenda mtoto wako ulikua anataka amchukie!!?

Swala la mapenzi yake kwako no wewe kuamua,mheshim Dana huyo jamaa ana matatizo kidogo sana kumbe ukiugua hospital anakupeleka inatosha mengine jiongeze!!

Uliondoka nyumbani Bado hujakua!?acha kudeka unajua anayokumbana mayo kwenye utafutaji!!?

Matumizi ya nyumba anatoa!?kama anatoa yatosha ukitaka gem lianzishe mwenyewe unataka nini!!

Usilazimisje kumuunganisha kimawazo na kwenu hukonsijui kaka zako yeye hajaoa kaka zako mshauri mwenyewe!!

Sasa unasema habari ya matokeo ya form four kwaninhayo ndio yanaleta Hela za matumizi!?
We jaa kimya Lea mwanao,Linda mji wako maisha ya songe mengine majaaliwa !hakuna mwanamme aliekamilika kama wewe hapo unaonekana bado hujatoka kwenu kimawazo yaani hujaamua kuolewa ipasavyo!

Hakuna mwanamme anaetaka mkewe awe anataka influence kutoka kwao Kwa kina mwanamke!!
 
Habarini za asubuhi wapendwa

STORY YA KABINTI KAMOJA.

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nipo hapa kuomba ushauri wenu.

Mimi ni binti wa kitanzania nina miaka27 nilibahatika kupata mwanaume akanioa nikawa naishi nae na tukafanikiwa kupata mtoto mmoja ambae kwa sasa ana miaka miwili na nusu lakini nimeamua kumuacha huyu mwanaume kwasababu zifuatazo

1. Nikiwa naumwa ananipeleka hospitali na huduma nyingine anafanya lakini haonyeshi kujali haniulizi naendeleaje.

2. Nikiwaambia kaka zangu wamshauri jambo anachukia kabisa na anakataa.

3. Anampenda mtoto wake kuliko mimi.

4. Anafanya kazi nje ya mkoa tunao ishi hivyo kuonana ni mara chache sana .

5. Nilimwambia Mama yangu kwamba kwa sasa mume wangu anajali kuhusu mtoto tu ata chumbani haniwazi sana mimi lakini cha ajabu mume alipo sikia alikasirika sana na ikawa mzozo.

6. Kwenye mazungumzo nilijikuta namwambia kwamba alipata alama ndogo sana kidato cha nne sasa alipo sikia ivyo alikasirika sana na wakati ni jambo la kawaida tu.

7. Hapendi kushauriwa na Kaka zangu wala hapendi akipigiwa simu na ndugu zangu ili kusuruhishwa mgogoro wowote ule.

8. Kila muda maneno yake ni kusema mimi namdharau tu.

9. Anachukia mimi kuishi na mtoto wangu hapa kwetu mara anasema Mama hajanilea vizuri.

Mimi baada ya kuyaona yote haya nikaamua kuondoka na kurudi nyumbani kwetu japo yeye ananitafuta anasema nirudi tulee mtoto lakini sitaki amenichosha sana sasa naomba ushauri ndugu zangu je.? Nitakua nimefanya maamuzi mazuri kumuacha huyu mwanaume au mimi ndio nitakua na makosa.

Naomba Niwasilishe.
Endelea kukaa home mshauriane na kaka zako cha kufanya,kuhusu malezi ya mtoto,kaka zako na mama yako watakupa mwongozo.
By the way unasema miaka 27 kabinti kamoja?
 
Habarini za asubuhi wapendwa

STORY YA KABINTI KAMOJA.

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nipo hapa kuomba ushauri wenu.

Mimi ni binti wa kitanzania nina miaka27 nilibahatika kupata mwanaume akanioa nikawa naishi nae na tukafanikiwa kupata mtoto mmoja ambae kwa sasa ana miaka miwili na nusu lakini nimeamua kumuacha huyu mwanaume kwasababu zifuatazo

1. Nikiwa naumwa ananipeleka hospitali na huduma nyingine anafanya lakini haonyeshi kujali haniulizi naendeleaje.

2. Nikiwaambia kaka zangu wamshauri jambo anachukia kabisa na anakataa.

3. Anampenda mtoto wake kuliko mimi.

4. Anafanya kazi nje ya mkoa tunao ishi hivyo kuonana ni mara chache sana .

5. Nilimwambia Mama yangu kwamba kwa sasa mume wangu anajali kuhusu mtoto tu ata chumbani haniwazi sana mimi lakini cha ajabu mume alipo sikia alikasirika sana na ikawa mzozo.

6. Kwenye mazungumzo nilijikuta namwambia kwamba alipata alama ndogo sana kidato cha nne sasa alipo sikia ivyo alikasirika sana na wakati ni jambo la kawaida tu.

7. Hapendi kushauriwa na Kaka zangu wala hapendi akipigiwa simu na ndugu zangu ili kusuruhishwa mgogoro wowote ule.

8. Kila muda maneno yake ni kusema mimi namdharau tu.

9. Anachukia mimi kuishi na mtoto wangu hapa kwetu mara anasema Mama hajanilea vizuri.

Mimi baada ya kuyaona yote haya nikaamua kuondoka na kurudi nyumbani kwetu japo yeye ananitafuta anasema nirudi tulee mtoto lakini sitaki amenichosha sana sasa naomba ushauri ndugu zangu je.? Nitakua nimefanya maamuzi mazuri kumuacha huyu mwanaume au mimi ndio nitakua na makosa.

Naomba Niwasilishe.
Wote hamna akili

Kwanza ungenikuta Mimi ningekupotezea siku nyingi
Penzi na mahusiano hayahitaji ushauri kutoka Kwa MTU yeyote
 
Back
Top Bottom