Je, nirudiane nae au niachane nae moja kwa moja?

Je, nirudiane nae au niachane nae moja kwa moja?

Yani hata sasa itakuwa anajutia lakini anaona aibu kurudi kwake kwasababu aliondoka kwa mbwembwe nyingi
Kosa liko kwa huyo dada.

Kama ameona jamaa yake ana matatizo ana haki ya kumfundisha jinsi ya ku care kwa. Kuwa sio wanaume wote wanaijua hiyo Sanaa.


Atafute muda akae chini na mwenzie ampe ABCD anazotaka yeye badala ya mambo yao kupeleka kwa kaka zake ambao ni mashemeji wa jamaa ...hapo anamuaibisha na hii inamletea jamaa hasira na msongo wa MAWAZO.


Jambo lingine ni kuwa akiamua kuwa single mama ajue kuwa thamani yake kwenye jamii hapo tena kwa kuwa kila mwanaume atakuwa anamuona kama mtumba tu kwa kuwa ana mtoto na kuna motto kwa wanaume kuwa kudate na single mama au kumuoa lazima kwanza akuoneshe kaburi la mzazi mwenzake.


KUACHANA SIO SOLUTION YAKE.
 
Yani hata sasa itakuwa anajutia lakini anaona aibu kurudi kwake kwasababu aliondoka kwa mbwembwe nyingi

Huyo mwanaume pamoja na madhaifu yake bado namsifu kwa msimamo wake mpka now


Mwanaume wa kiumeni hawezi kurudiana na huyu Malaya maana sio ajabu akajashauriwa ampe jamaa sumu na kwa kuwa ana akili za kushikiwa atamuwekea sumu kweli na sio ajabu jamaa akishakufa na huyo X wake aliyemshauri akimuacha atakuja hapa kulalamika kuwa "nilimuua mume wangu kwa ajili ya x wangu na sasa ameniacha...nifanyeje? Naomeni ushauri wenu...."
I'm just thinking out of the box
 
Hujielewi. Uhusiano ni wa watu wawili lakini kwa Ufinyu wako wa Akili umeingiza sijui kaka zao na Mama yako humo ndani unategemea nini? Hivi kila linalotokea kwenye Uhusiano wenu Mumeo angekuwa anaongea na Dada zake na Mama yake Wakushauri kila siku, Hiyo ndoa ungeifurahia?

Ungefurahia mambo yenu kila siku kuwa masikioni mwa ndugu wa Mumeo na wao kutaka kuja kukupanga kila siku?

Wewe mwenyewe ni tatizo na Hujitambui na hutadumu na Mwanaume yeyote kwa tabia hizo. Tena shukuru huyo nado anakubembeleza, Ningekua mimi ningeshakupiga chini kitambo.

Mwanamke Mjinga sana
 
Huyo mwanaume pamoja na madhaifu yake bado namsifu kwa msimamo wake mpka now


Mwanaume wa kiumeni hawezi kurudiana na huyu Malaya maana sio ajabu akajashauriwa ampe jamaa sumu na kwa kuwa ana akili za kushikiwa atamuwekea sumu kweli na sio ajabu jamaa akishakufa na huyo X wake aliyemshauri akimuacha atakuja hapa kulalamika kuwa "nilimuua mume wangu kwa ajili ya x wangu na sasa ameniacha...nifanyeje? Naomeni ushauri wenu...."
I'm just thinking out of the box
Kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom