Je, njia ipi ni nzuri ya kuzuia virusi vya Corona kati ya hizi mbili zinazotumiwa na Tanzania na Kenya?

Je, njia ipi ni nzuri ya kuzuia virusi vya Corona kati ya hizi mbili zinazotumiwa na Tanzania na Kenya?

Fyi JF is a tanzania based Forum, Uswahili ndio utamaduni na maisha yetu,
Sasa unafanya nini jf zwazwa wewe, kwa nini usikate huko kwenye hizo forum za Waganda na Warwanda kama hutafuti bwana wa Kitanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sehemu yeyote ambapo nimetaja uswahili. Kuna tofauti kubwa kati ya uswahili na uzero brain. Kama jiwe nililotupa gizani ndio limesababisha umwage povu hili, basi itakuwa hata wewe pia upo ndani ya kapu hilo hilo. FYI, sikukuomba ruksa nilipojiunga na Jf, wala huna ubavu au nguvu yeyote ile ya kufanya lolote kuhusu uwepo wangu hapa kwenye jukwaa hili. Buda, tembeza kiatu ukikanyaga kubwa kubwa.
 
If the approach is the same all over the world, then what is this bullshit you are trying to imply here,'ati magufuli has a better strategy than that of Kenya' hahahaa......you must be insane.Its like kenya trying to say it has better measures than Egypt coz of fewer infections .
This is one of among very important strategies undertaken by Tanzania government to curb the spread of Virus. This is exactly what China did in Wuhan city to stop the spread of Corona, It is called "mass or blanket fumigation", I have never seen this in any other country in this zone, only point fumigation using hand pumps which are less effective cover bigger areas

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You can have a point there, even in Tanzania all cases are imported except one, which also had contact with someone who travelled recently.

But also it depends with the way the government is prepared to handle those imported cases. There is no doubt that Tanzania is more prepared than many of its neighbors, Tanzania is visited by many foreigners than Uganda, Rwanda and Zambia for example, but Tanzania has fewer cases than those countries, despite the fact that Uganda and Zambia closed their borders far earlier and got their first cases latter than Tanzania.

Kenya also is less prepared compared to Tanzania, good example is the case of deputy governor of Kilifi. But also if you see the way Government of Tanzania has put structure on how to fight this pandemic, from The president himself, through Prime Minister who is the In charge of special ministerial committee, down to district level, you will definitely agree that Tanzania is much better prepared than Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Every government is also doing the same thing.There is nothing like Better preparation there.
 
There is nothing new or even unique here .This things are even been done by county governments using firetrucks.. ..Labda yakitokea Tanzania unaona yakiwa Extraordinary measures[emoji23]
Onyesha wapi Kenya mumenyunyiza dawa kwa mtindo huu. Jana Mombasa wamemwaga dawa ardhini kama wanapiga deki chini.

This is why Tanzania is doing very good in prevention of Corona, we are leaning from those who have managed to control the disease (China), you keep on with your inflated ego and be prepared to pay very heavy price.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Offcourse utasema ni povu kwasababu unachowaza wewe ni porojo, siasa za peni mbili na kusifia sifia mtakatifu wenu. Soma hizi taarifa na uangalie tarehe kwa umakini. City public health officials start fumigating public places in
Lockdown imewashinda sasa mmebadirisha mnaita curfew eti kuanzia 1 jioni hadi 11 asubuhi kwani mnapambana na majambazi au? Ni corona hiyo inaenea hata mchana. Mnacopy tu kutoka kwa wazungu bila kufikiri kwa kutumia akili zenu. Hopeless kabisa.
 
Onyesha wapi Kenya mumenyunyiza dawa kwa mtindo huu. Jana Mombasa wamemwaga dawa ardhini kama wanapiga deki chini.

This is why Tanzania is doing very good in prevention of Corona, we are leaning from those who have managed to control the disease (China), you keep on with your inflated ego and be prepared to pay very heavy price.

Sent using Jamii Forums mobile app
I will post a video here of Nairobi countyfire trucks spraying streets in Nairobi at night.

This was done Yesterday at night when the streets were free of human and vehicular traffic.Kiambu county also fumigated markets in Thika town.
 
Lockdown imewashinda sasa mmebadirisha mnaita curfew eti kuanzia 1 jioni hadi 11 asubuhi kwani mnapambana na majambazi au? Ni corona hiyo inaenea hata mchana. Mnacopy tu kutoka kwa wazungu bila kufikiri kwa kutumia akili zenu.. hopeless kabisa.
Aliyekuambia kwamba nchini Kenya kuna lockdown au kumekuwepo na lockdown ni nani? Curfew ya usiku ni kwasababu wakenya wamekuwa wakikosa kuzingatia maagizo ya wizara ya afya giza linapoingia. Fanya risechi kuhusu masuala kama hayo kabla ya kutupia upupu wako humu.
 
Sio Tz tu jombaa. Huwa najaribu kuwaza aibu kwetu sisi hapa A.M. ingekuwa ya aina gani, kama mijadala ya aina hii ingekuwa hata 80% tu kwa lugha ya kiingereza. Wenzetu huku Afrika wangekuwa wanasema mashariki ni kwa mazero brain. Nimejadiliana sana na warwanda na sanasana waganda, kwenye forum tofauti tofauti na kwenye twitter pia ila akili kama hizi sijaziona hata siku moja.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
County 001 kwa Governor Joho

91296999_2904310772960583_7719458688057999360_o.jpg
91350636_2904310652960595_3115696222866767872_o.jpg
91356043_2904309899627337_5536099659270848512_o.jpg
91364950_2904310042960656_6434188990290591744_o.jpg
91422980_2904309802960680_4590689078663446528_o.jpg
91462653_2904310366293957_7232887791623864320_o.jpg
91469678_2904310542960606_2095092601836273664_o.jpg


County 001 Likoni baada ya patashika nguo kuchanika.

EULm8p9XgAAjlta.jpg
EULm8qEXYAAYLYY.jpg
EULm8qFWkAIInZQ.jpg
EULm8qFWoAALewg.jpg


Halafu mniambie wabongolala, kwa hali hii Corona itatushinda vipi?
 
Hii mumeanza juzi baada ya kujifunza toka Dar. Ali Hassan Joho aliona kinachofanyika Dar, ndio yeye akaanzisha baada ya kipigo cha Likoni, it is too late too little.

Huku tunatumia mashine zinazotoa ukungu na mvuke, ambao unaingia hadi ndani za majengo na Nyumba, ninyi huko mnatumia maji pekee, hayawezi kupenya na kuingia ndani ya Nyumba. Hata hivyo hongereni kwa kujifunza kwa nchi iliyofanikiwa kupunguza kasi ya maambukizi, nikimaanisha Tanzania[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mumeanza juzi baada ya kujifunza toka Dar. Ali Hassan Joho aliona kinachofanyika Dar, ndio yeye akaanzisha baada ya kipigo cha Likoni, it is too late too little.

Huku tunatumia mashine zinazotoa ukungu na mvuke, ambao unaingia hadi ndani za majengo na Nyumba, ninyi huko mnatumia maji pekee, hayawezi kupenya na kuingia ndani ya Nyumba. Hata hivyo hongereni kwa kujifunza kwa nchi iliyofanikiwa kupunguza kasi ya maambukizi, nikimaanisha Tanzania[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Oh no!!! Here comes another d!¢k measuring contest.

Vipi tujuze pia kuhusu ya MV Magogoni na MVs nyengine. Joho pia nayo ka-copy paste pia????
 
Oh no!!! Here comes another d!¢k measuring contest.

Vipi tujuze pia kuhusu ya MV Magogoni na MVs nyengine. Joho pia nayo ka-copy paste pia????
Hiyo sijui, lakini hii imeanza juzi huko Mombasa, na jana Nairobi chini ya Sonko pia mumeanza, kwa Mombasa inaweza kusaidia kwasababu maambukizi sio mengi, ila kwa Nairobi sidhani kama itasaidia.

Ila kitu kimoja ambacho ninawapongeza na ningepesa kusikia kwamba mnaendelea kuiga yale mazuri yanayofanywa na jirani yako. Kuna mambo ya kiuongozi serikalini tumeyafanya, ni vizuri pia kama serikali yenu itakuja kujifunza ili kupunguza kasi ya maambukizi kama ambavyo sisi tumeanza kufanikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo sijui, lakini hii imeanza juzi huko Mombasa, na jana Nairobi chini ya Sonko pia mumeanza, kwa Mombasa inaweza kusaidia kwasababu maambukizi sio mengi, ila kwa Nairobi sidhani kama itasaidia.

Ila kitu kimoja ambacho ninawapongeza na ningepesa kusikia kwamba mnaendelea kuiga yale mazuri yanayofanywa na jirani yako. Kuna mambo ya kiuongozi serikalini tumeyafanya, ni vizuri pia kama serikali yenu itakuja kujifunza ili kupunguza kasi ya maambukizi kama ambavyo sisi tumeanza kufanikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
This things started on Friday. Sonko rescue team ndo wameanza jana. Anyway wacha nikuache uendelee kushabikia vituko sasa trucksmbili zitapuliza hadi wapi?
 
Back
Top Bottom