Je, nyama ya nguruwe inafaa kwa supu?

Mkuu hiyo kitu inawezekana kabisaa kuna mahali Mbeya (Tukuyu) kuna mama anatengeza iko saaf kabisaaa.
 
Mkuu hiyo kitu inawezekana kabisaa kuna mahali Mbeya (Tukuyu) kuna mama anatengeza iko saaf kabisaaa.
Yule nyuma ya stendi au mwingine?
Tuligonga mdudu pale siku mpk akauliza Nyie mmetoka wapi,?
mtanimalizia Nyama😁,
Nayeye akaliwa vilevile
 
Ni manyoya yake tu ndo hayana kazi, tena ukipata wale wa huko vijijini wanaofugwa km mbuzi wanakuwa kama ngiri watamu kinoma hawana mafuta mengi nk
 
Ni manyoya yake tu ndo hayana kazi, tena ukipata wale wa huko vijijini wanaofugwa km mbuzi wanakuwa kama ngiri watamu kinoma hawana mafuta mengi nk
Nimekumbuka Zamani sana walikua wanachoma tu mdudu vilabuni,wala hakuwa maarufu,
Nakumbuka mdogo wa mdingi kijijini kule Tokyo
Nikienda likizo alikua mlevi mlevi basi akienda kilabuni tunaongozana
Mi kazi yangu ilikua kula kitimoto choma tu na ndizi huko tamu balaa.
Walikua hawakaangi
RIP🙏
mda wa kurudi yuko mbwai nimshikilie mpk afike maghetoni kwake😅.
Alikufa kijana sana
 
Ndio babu kijana kitifire ya kuchoma nayo ni tamu mno, hawa nguruwe wa mijini sio watamu kama wa bush nasikia wanapewa ARV ili wanone
 
mimi nimuslim ila sijawahi sikia kwamba pia kuna supu ya mbuzu katoliki
 
Supu ya mbuzi katoliki ipo tamu tena mafuta yake hayagandi na ukinywa uatoka jasho, mdudu bana mtamu acheni utani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…