Siku sikia kabisa wakati wa awamu ya Mkapa mwalimu Nyerere akipinga hata mara moja mikutano ya hadhara. Sasa inashangaza miaka hii bado kuna watu wanaogopa upinzani kiasi cha kuwatumia polisi kunyima vibali vya mikutano.
Mimi namshauri Raisi na serikali yake kuruhusu mikutano na kujibizana kwa hoja. Hata siku moja chama hakitaweza kujirekebisha chenyewe bali hoja na kuona mwelekeo wa wananchi ni muhimu kuliko kukaa vikao na kusifiana kila siku.
Narudia Nyerere alikuwa haogopi maswali, debate wala mikutano wakati ule Mrema alikuwa anafanya mikutano kila mara bila shida yeyote.
Mimi namshauri Raisi na serikali yake kuruhusu mikutano na kujibizana kwa hoja. Hata siku moja chama hakitaweza kujirekebisha chenyewe bali hoja na kuona mwelekeo wa wananchi ni muhimu kuliko kukaa vikao na kusifiana kila siku.
Narudia Nyerere alikuwa haogopi maswali, debate wala mikutano wakati ule Mrema alikuwa anafanya mikutano kila mara bila shida yeyote.