Mkuu Kama haina sifa ya kukuingizia pesa sasa Na baadae hiyo haina sifa ya kuitwa Asset. Nyumba ambayo mtu anakaa yy mwenyewe Tu hai qualify kuwa asset labda Kama umepangisha au Una biashara unafanyia ndani yakeAsset kubwa ya binadamu ni akili yake.
Hongera kujenga maeneo hayo.....bt kuna majumba ya maana kitunda, tandika...mbagala na hata mkuranga ndani ndani vichochoroni....all in all kila mtu abaki na iman yake mkuu.
Mkuu bado nyumba ni mali,usiogopeshwe na tetemekoBaada ya tetemeko kuikumba mikoa kadhaa ya kanda ziwa,nimeanza kujiuliza kama kumilki nyumba bado ni asset ya kuaminika kama tulivyozoea.
Ni kawaida kusikia mtu anasema ukitaka kuwekeza na hela yako isipotee kirahisi,wekeza katika majengo na wala si vyombo vya moto au kitu kingine chochote.
Sometimes ni bora hata chombo cha moto unaweza kukikarabati kwa gharama ndogo na kikatengamaa kuliko hekalu lililoporomoka kutokana na tetemeko.
Baada ya tukio hili la tetemeko, nimeamini asset ni ile tu iliyowekewa bima na hata kama una jumba lako lakini halina bima, basi ujue unajidanganya tu maana moto nao hauwezi kukuacha salama.
Nasema hivi kwasababu naamini inawezekana zaidi ya asilimia 97 ya nyumba zilizobomoka hazikuwa na bima yoyote ikiwemo bima ya moto na wengi wao waliamini wameshajikomboa kimaisha kwa kumiliki nyumba bila kujali ni ya ukubwa gani ili mradi tu ana nyumba.
Tukio hili liwe funzo kwa watu kuwekea bima mali zao zikiwemo nyumba zao.
Mkuu, nashukuru umetupanua mawazo kwa mchango wako huu.Wenzetu wazungu walishaacha zamani kujenga nyumba baada ya kugundua kwamba nyumba sio assets wameiachia serikali yao ijenge na wao wapangishe. Ukiachana na Matetemeko kuna Vita siku hizi angalia kule Libya au Syria majumba ya kifahari yalivyo haribiwa na Mabomu utagundua kwamba nyumba si kitu.
Mkuu sorry nilikuwa nadhan namjibu BAK aliyesema nyumba bado Ni asset kubwaAsset kubwa ya binadamu ni akili yake.
Mkuu kweli ni asset lakini pasipo bima, ni kujidanganya tu.
Leo hii hakuna mabenki yaliyokuwa yanayotegemea nyumba zilizowekwa kama dhamana ya mikopo huko Bukoba na sasa hayaamini kilichotokea?
kuna current assets na fixed assets. According to book of rich dad poor dad,kuwa na nyumba ni majanga. inakuingiza kwenye gharamaz a repair na renovation.Ili uiite nyumba yako ni asset lazima ujiulize inakuzalishia kitu gani kwa mwaka na thamani yake ya kuiuza kwa haraka ni kiasi gani kulingana na gharama za kuipata hiyo nyumba.
Kwa hiyo swali la msingi tu, ni kwamba watu wengi wamepigwa upofu na kuamini kwamba nyumba ni asset akati sio hivo.
Kuna vitu ni quality asset kuliko nyumba
BIMA hazilipi NATURAL CALAMITIES hata TERRORISM ISSUES.Baada ya tetemeko kuikumba mikoa kadhaa ya kanda ziwa,nimeanza kujiuliza kama kumilki nyumba bado ni asset ya kuaminika kama tulivyozoea.
Ni kawaida kusikia mtu anasema ukitaka kuwekeza na hela yako isipotee kirahisi,wekeza katika majengo na wala si vyombo vya moto au kitu kingine chochote.
Sometimes ni bora hata chombo cha moto unaweza kukikarabati kwa gharama ndogo na kikatengamaa kuliko hekalu lililoporomoka kutokana na tetemeko.
Baada ya tukio hili la tetemeko, nimeamini asset ni ile tu iliyowekewa bima na hata kama una jumba lako lakini halina bima, basi ujue unajidanganya tu maana moto nao hauwezi kukuacha salama.
Nasema hivi kwasababu naamini inawezekana zaidi ya asilimia 97 ya nyumba zilizobomoka hazikuwa na bima yoyote ikiwemo bima ya moto na wengi wao waliamini wameshajikomboa kimaisha kwa kumiliki nyumba bila kujali ni ya ukubwa gani ili mradi tu ana nyumba.
Tukio hili liwe funzo kwa watu kuwekea bima mali zao zikiwemo nyumba zao.
Wenzetu wazungu walishaacha zamani kujenga nyumba baada ya kugundua kwamba nyumba sio assets wameiachia serikali yao ijenge na wao wapangishe. Ukiachana na Matetemeko kuna Vita siku hizi angalia kule Libya au Syria majumba ya kifahari yalivyo haribiwa na Mabomu utagundua kwamba nyumba si kitu.
Umesema sahihi kabsa....but hujawatendea haki watu wasiokuwa na skills za busness...yaan wapo watu hata ummpe business iliyosimama kama kampuni ya cocacola...baada ya muda atafilisika.
My take ni kwamba kama mtu ana access ya pesa lakin hana busn skill bora kuwekeza katika majumba...ni bora kwao...
Miongoni mwa assets muhimu ni makazi ya uhakika wewe na familia yako. Nyumba kukulipa sio lazima iwe in terms of direct monetary earnings. Fikiria ungelipa kiasi gani kuisitiri familia yako sio tu kwa makazi lakini na kero nyingine za kupanga.Mkuu Kama haina sifa ya kukuingizia pesa sasa Na baadae hiyo haina sifa ya kuitwa Asset. Nyumba ambayo mtu anakaa yy mwenyewe Tu hai qualify kuwa asset labda Kama umepangisha au Una biashara unafanyia ndani yake
System Ya wazungu na waafrika kuna tofauti sana kaka, wana uhakika wa kula na kulala hata wasipofanya kazi,kutolea mfano syria na libya ni kukata tamaa Ya maisha. Nyumba ni asset and will be always asset hata mafisadi afrika nzima wanawekeza kwenye majumba kwenye miji ya maana duniani.Wenzetu wazungu walishaacha zamani kujenga nyumba baada ya kugundua kwamba nyumba sio assets wameiachia serikali yao ijenge na wao wapangishe. Ukiachana na Matetemeko kuna Vita siku hizi angalia kule Libya au Syria majumba ya kifahari yalivyo haribiwa na Mabomu utagundua kwamba nyumba si kitu.
Miongoni mwa assets muhimu ni makazi ya uhakika wewe na familia yako. Nyumba kukulipa sio lazima iwe in terms of direct monetary earnings. Fikiria ungelipa kiasi gani kuisitiri familia yako sio tu kwa makazi lakini na kero nyingine za kupanga.
System Ya wazungu na waafrika kuna tofauti sana kaka, wana uhakika wa kula na kulala hata wasipofanya kazi,kutolea mfano syria na libya ni kukata tamaa Ya maisha. Nyumba ni asset and will be always asset hata mafisadi afrika nzima wanawekeza kwenye majumba kwenye miji ya maana duniani.
Inategemea una define nyumba kutoka angle gani, maana waliowengi wanaangalia kihasibu lakini sio lazima tufuate principle za accounting , kwa wengine Asset ni lazima iwe generating asset kama alivyo tafsiri Robert Kiyosaki, na ndie alie badilisha mtazamo dunianHii dhana ya watu kuandika hapa na kuweka mahitimisho yao kwa kutumia vigezo visivyohusu kitu kwamba nyumba si asset vinanishangaza sana. Duh!
Nyumba gani hiyo milion 80 unapangisha laki 2[emoji23][emoji23][emoji23] ?! Kijitonyma tu chumba laki Choo cha ku share...labda Iyo nyumba iko madongo poromoka.... Nyumba ya milion 80 ukipangisha chini laki 7 or milion
Nyumba bado ni asset safe, hasa ikiwa eneo zuri, tetemeko la ardhi hutokea mara ngapi kwa karne ngapi hapa Tz?Baada ya tetemeko kuikumba mikoa kadhaa ya kanda ziwa,nimeanza kujiuliza kama kumilki nyumba bado ni asset ya kuaminika kama tulivyozoea.
Ni kawaida kusikia mtu anasema ukitaka kuwekeza na hela yako isipotee kirahisi,wekeza katika majengo na wala si vyombo vya moto au kitu kingine chochote.
Sometimes ni bora hata chombo cha moto unaweza kukikarabati kwa gharama ndogo na kikatengamaa kuliko hekalu lililoporomoka kutokana na tetemeko.
Baada ya tukio hili la tetemeko, nimeamini asset ni ile tu iliyowekewa bima na hata kama una jumba lako lakini halina bima, basi ujue unajidanganya tu maana moto nao hauwezi kukuacha salama.
Nasema hivi kwasababu naamini inawezekana zaidi ya asilimia 97 ya nyumba zilizobomoka hazikuwa na bima yoyote ikiwemo bima ya moto na wengi wao waliamini wameshajikomboa kimaisha kwa kumiliki nyumba bila kujali ni ya ukubwa gani ili mradi tu ana nyumba.
Tukio hili liwe funzo kwa watu kuwekea bima mali zao zikiwemo nyumba zao.