nra2303
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 2,975
- 2,547
Kwanza kabisa nyumba sio asset per se...nyumba inaweza kua asset endapo tu itakua inakuingizia hela mfano kwa kuipangisha au shughuli yoyote ile ya kiuchumi...kama nyumba unaitumia kwa makazi yako binafsi hapo hakuna asset...
Hiyo ni sawasawa na kusema mama wa nyumbani hazalishi economically au hana mchango kwy pato la familia!kitu ambacho sio. Imagine ungekua unalipa kodi mf 300K iyo hela unayoikwepa hapo ndio economic benefit ya kuwa na nyumba.Kwa hiyo nyumba ni asset na inameet definition ya asset hata km hujapangisha au huitumii kwa biashara.